ndolelejiUduhe
JF-Expert Member
- May 16, 2024
- 2,837
- 3,027
Wote hao hakuna yeyote aliyevunja Katiba !Katiba haina tatizo,tatizo lipo kwenye Tume ya Uchaguzi,Rais,Makamu wa Rais,Waziri Mkuu,Spika na Mwanasheria Mkuu wa Serikali.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Wote hao hakuna yeyote aliyevunja Katiba !Katiba haina tatizo,tatizo lipo kwenye Tume ya Uchaguzi,Rais,Makamu wa Rais,Waziri Mkuu,Spika na Mwanasheria Mkuu wa Serikali.
kaa kwa kutulia Dr slaa naona umeanza mawenge yako tena 🐒
kila nafsi itaonja umauti gentleman, upende usipende. huna haja ya kumbwelambwela hata kidogo 🐒Mafwele muuaji wewe. Ipo siku yako.
Shida yangu ni kwamba hata hao wanaolaumu sasa hivi wanajua na walikuwa wanajua kwamba huko mbele ya safari kutakuja kutokea sintofahamu kama wanazoziona wao sasa hivi na bado haitoonekana popote pale kwamba Katiba labda imevunjwa !Kwa hiyo unakiri kuwa ulikuwa UFISADI kwa kutumia katiba?
chawa wa mama kwa kuwa akili zao zimehamia kwenye matumbo yao, watapinga busara za wazee.Spika mstaafu wa Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania mheshimiwa Pius Msekwa amesema hafurahii ushindi wa 99% wa CCM katika uchaguzi wa serikali za mitaa uliomalizika kwani kuna mapungufu mengi. Pia amesema mtu mwenye akili timamu hawezi kufurahia ushindi huo.
Spika mstaafu ameyasema hayo leo alipohojiwa na Sauti ya Kiswahili ya Ujerumani. Spika amevitaka vyombo vya uchaguzi kuondokana na kasoro ikiwa ni pamoja na matumizi ya nguvu na kuwaengua wapinzani ambapo amesema hilo halikuwahi kutokea hapo zamani kwanini linatokea sana siku hizi? Amehoji Spika Mstaafu.
---------
View attachment 3170482
Wazee wenye hekima, busara pamoja na kujielewa ni lazima wakemee upuuzi unaofanywa na watawala wa sasa. Viongozi wa kidini ambao wanajielewa tumeshuhudia nao pia wameonyesha kutokuridhishwa na uchafuzi uliofanyika.Spika mstaafu wa Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania mheshimiwa Pius Msekwa amesema hafurahii ushindi wa 99% wa CCM katika uchaguzi wa serikali za mitaa uliomalizika kwani kuna mapungufu mengi. Pia amesema mtu mwenye akili timamu hawezi kufurahia ushindi huo.
Spika mstaafu ameyasema hayo leo alipohojiwa na Sauti ya Kiswahili ya Ujerumani. Spika amevitaka vyombo vya uchaguzi kuondokana na kasoro ikiwa ni pamoja na matumizi ya nguvu na kuwaengua wapinzani ambapo amesema hilo halikuwahi kutokea hapo zamani kwanini linatokea sana siku hizi? Amehoji Spika Mstaafu.
---------
View attachment 3170482
Natamani ange lisema hili kwa sauti tofauti kidogo ili liingie vizuri vichwani mwa watu.Pia amesema mtu mwenye akili timamu hawezi kufurahia ushindi huo.😂😂😂
Hii kauli imebeba ujumbe mzito sana kama wataitafakari kwa kina."Pia amesema mtu mwenye akili timamu hawezi kufurahia ushindi huo"
Magufuli yupo , anakusikia. Magufuli hayupo tulikuwa na Nyerere hayupo, Mwinyi hayupo, Mkapa hayupo kazi ya kiongozi yeyote ni kuendeleza mazuri aliyoyakuta na kuacha mabaya Sasa kwanini tihangaike na MagufuliMwasisi wa ujinga wote huu ni Magufuri itatuchukua muda nchi kukaa sawa labda waliok huko juu waanze kufarakana na kuuana.
Hawa wazee ndo waasisi wa mambo yote ya hovyo serikalini. Nawaashangaa sana wanalaumu upuuzi. Warioba ni nguli wa sheria lakini hakumshauri Mwalimu wakati anataifisha mali za watu enzi hizo.. hadi leo kuna watu wanalipwa fidia. Huyu Msekwa akiwa spika ndo mikataba inayoumiza taifa hadi leo ilisainiwa. Hawa wangekaa tu kimya maana sio wasafi. Wanalazimisha kuvunjiwa heshima.Shida yangu ni kwamba hata hao wanaolaumu sasa hivi wanajua na walikuwa wanajua kwamba huko mbele ya safari kutakuja kutokea sintofahamu kama wanazoziona wao sasa hivi na bado haitoonekana popote pale kwamba Katiba labda imevunjwa !
Maana yake ni kwamba kipindi kile wao wakiwa madarakani walikuwa wakiona sawa lakini sasa wao hawapo madarakani wanaona si sawa !
Najaribu kutafakari kama katika kipindi chao ni nani alivunja Katiba katika masuala ya Uchaguzi ?!
Sioni yeyote aliyevunja Katiba !
Je na sasa yanayofanyika kwenye Uchaguzi ni kinyume na Katiba ??!
Au ni kwa sababu yapo mapungufu mengi ndani ya Katiba yanatakiwa kutolewa Ufafanuzi ???!
Itapendeza kama Mzee Msekwa au Mzee Warioba wakitoa ufafanuzi juu ya hili Suala !!
Lawama bila Ufafanuzi wa kwa sababu gani haya yanatokea inazidisha sintofahamu tu !!
Au nasema uongo ndugu zanguni ?! 🙏
Tuna kazi nyingine ya kutafuta uhuru wetu kutoka CCM.Wazee wenye hekima, busara pamoja na kujielewa ni lazima wakemee upuuzi unaofanywa na watawala wa sasa. Viongozi wa kidini ambao wanajielewa tumeshuhudia nao pia wameonyesha kutokuridhishwa na uchafuzi uliofanyika.
Magufuli alipanda magugu mengi ndani ya shamba zuri la ngano. Sasa magugu haya yameota na hata mimea yote ya ngano imefifishwa . Viongozi wa CCM wana nia ovu na shamba la ngano, na pia wanafaidika kwa uwepo wa magugu yaliyopo shambani.
Ni muda sahihi wa kuanza kuuweka ukweli wote kuhusu uwepo wa magugu shambani, na pia kumtambua hila mbaya za adui mwenye kunufaika na uwepo wa magugu hayo, ndipo jitihada za kuweza kulisafisha shamba zofanyike ile Watanzania wapate mavuno mazuri ya ngano.
Imagine hawa ndio think tank ya chama and hence ndio hao wanaotegemewa na taifa; mnategemea tutoke hapa tulipo kweli?CCM ina hazina kubwa sana ya wapumbavu na majuha na ndiyo yanayoshangilia huu upuuzi.
Huwa kenge ni mnyama wa hovyo sana yupo tayari hata kushindana na yeye peke yake.Anapinga sauti ya umma, kwa hiyo kura za ndio zingehesabiwa hapana