Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
kweli mtaalamuKama ni kweli amenukuliwa akisema, basi atakuwa atakuwa amefanya jambo la maana sana. Kama Taifa ni lazima twende na matakwa ya wakati, na wala si yale yatokanayo na maslahi ya watawala huku yakilindwa kimkakati na vyombo vyetu vya ulinzi na usalama.
Iliyopo ni fair kwa wote!Kwani wewe hutaki katiba iliyo fair kwa wote ?!.