Pius Msekwa: Katiba lazima ifuate mahitaji ya wakati uliopo

Kama ni kweli amenukuliwa akisema, basi atakuwa atakuwa amefanya jambo la maana sana. Kama Taifa ni lazima twende na matakwa ya wakati, na wala si yale yatokanayo na maslahi ya watawala huku yakilindwa kimkakati na vyombo vyetu vya ulinzi na usalama.
kweli mtaalamu
 
Nimemsikia mzee Pius Msekwa akihojiwa,ameupiga mwingi akanata na biti na ameonesha ukomavu wake kisiasa kupitia mahojiano yale
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…