Pius Msekwa: Kwa mujibu wa Katiba, mpaka sasa Halima Mdee na wenzake hawana sifa za kuwa Wabunge

Zitto hajawahi kuwa mbunge wa mahakama, alipovuliwa uanachama alijitoa bungeni.
 
Waombe radhi tuu kiishe na heshima ibaki. Mdee ndio kama atajichora sana na hili saga na alivyomwepesi kulia!
 
CCM mnachekesha kweli. Mtaendelea kutawala kwa mapenzi ya polisi/JW/TISS tu. Mlivyomfukuza Membe, mlisubiri mpaka Mahakama ya Rufaa iamue? Kama maamumzi ya vyama yanawachukiza hivyo, futeni vyama vingi ili turudi enzi ya Nyerere. Yaani mnataka kufanya maamzi kwa niaba ya Kamati kuu ya CHADEMA. You should be ashamed of yourselves!
 
Time will tell.

Tuone hili sakata litaisha vipi. Iam sick and tired of being sick and tired

Kwa mujibu wa katiba Yes

Ila.........let us give time to time. Yajayo.......
Mbeleko ya spika ipo...
Usiogope.
 
Wanajua hawawezi kutoboa. 2020 walikataliwa kabisa. Ndio maana wakateka wagombea wa upinzani ili wapite bila kupingwa, kura za kupigiwa nje ya vituo na kuingizwa vituoni kwa mtutu wa bunduki, nk. Wangekuwa wanajua kuwa wanapendwa, wasingefanya hayo.
ila mwenye akili timamu anajiuliza kwa nini ccm haitaki kabisa kusikia katiba mpya na tume huru ya uchaguzi?!!!
 
Du kweli mtu anakupokonya tonge mdomon,. Kirahis namna hiyo
 
Katika nchi hakuna mda wa kupumzika na siasa, yaan mfumo wetu wa maisha ni siasa tupu
 
Job ndugai anasemaje uko?
 
Swala la kufukuzwa uwanachama kina halima Sio la kujadiliwa na ndugai bungeni, Bali anapaswa kuwaondoa kina mdee bungeni Mara moja, hili ni takwa la kikatiba.
 
Kichekesho cha asubuhi,
Akihojiwa na Azam FM Radio, Propesa Kitila Mkumbo amedai kuwa hata baada ya kuvuliwa uanachama, akina Halima watakuwa wabunge wa Jamhuri. Lakini huyohuyo pia kawataka kwenda mahakamani kudai uanachama wao.
Usihangaike na watu waliosoma Ds akili zao zinawaza mafuvu.
 
Unaboa na visredi mbuzi. Subiri maana yajayo yanafurahisha. Hao ni wabunge hadi 2025. Anayeweza kuwaondolea ubunge ni Mwenyezi Mungu tu.
Yaani unaiezi mitatu tu humu na watu huwajui unaleta ujuaji wewe taga,haya kachukue buku saba yako
 

Hicho kifungu ndugai amekikanyagakanyaga na viatu vyake kama vile siyo yeye aliyeapishwa kuilinda hiyo katiba anatakiwa kufunguliwa kesi ya kukiuka katiba ya nchi mawakili tusaidieni katika hili ili huku mbele asitokee mwengine akafanya hayo mauchafuzi
 
@Pascal Mayalla umemsikia Mh Pius Msekwa
Ngoja akuanzishie uzi kukujibu, ila daah P sijui kawaje jamani, wamteue apoe! Mamlaka za uteuzi Mungu anawaona!

P apewe hata ukatibu tarafa huko Ushirombo!

Everyday is Saturday............................... 😎
 
Vp kama CCM wakiwatosa hao COVID-19 na kutafuta njia mbadala, CDM inabidi iwe makini mana hapo CCM watakuwa hawana cha kupoteza lakini CDM itakuwa imepoteza wanachama wake walio kengeuka na kuwa COVID-19

Tanzania ina watu zaidi ya milioni 50 CHADEMA haiwezi kuhangaika na hao nguchilo 19 wahamie huko CCM kama wanawaona ni wengi. Hiyo imeshaisha hakuna makombo
 

CHADEMA haiwezi kuwa sehemu ya huo uchafuzi uliofanyika kama wanahitajika sasa wawakilishi si wachukuliwe wanawake mitaani huko waende CHADEMA haihitaji kuwa sehemu huo uchafuzi uliofanyika. Walipokuwa wanavuruga uchaguzi walisahau kuwa kuna trilioni 2 za msaada. Watakoma na ujinga wao sasa. CHADEMA umeshamaliza kazi inaendelea na ujenzi wa chama bila kutambua kama kuna seriakali
 
Hon Msekwa nailed it all
 
Kwani kamaanisha yeye au ni vifungu vya katiba? Atapigwa biti kwani yeye ndio kaandika hiyo katiba? Hili ni suala la kikatiba uwe unataka au hutaki otherwise badilisha sheria.

Mkuu uko sahihi, lakini Magufuli haheshimu katiba. Cecil Mwambe alijiondoa cdm akajiunga ccm kabisa, kisha akaitwa na spika kuendelea na bunge. Wabunge wa ccm walipomuuliza yuko bungeni kwa uwakilishi wa chama kipi, alisema ameitwa na spika. Na kweli akaendelea kuwa mbunge!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…