Pius Msekwa: Kwa mujibu wa Katiba, mpaka sasa Halima Mdee na wenzake hawana sifa za kuwa Wabunge

Pius Msekwa: Kwa mujibu wa Katiba, mpaka sasa Halima Mdee na wenzake hawana sifa za kuwa Wabunge

Wewe ni kinda!

Siyo jibu la swali nililouliza.

Zitto baada ya kufukuzwa na chama kwa kosa la kukipeleka chama mahakamani hakukata rufaa, alikubali akaenda kujiunga na ACT.

Hiyo ni kwa faida yako.
 
Sasa hv mjadala ni ubunge na uanachama wa kina Mdee sio tena watapeleka Wabunge au laa

Hawajaongelea ruzuku inayotokana na uchaguzi huo kama wataipokea au laa
 
Dah, nimelikumbuka lile vagi.
Mueleweshe 100 Likes na mkumbushe kijana anayelivalia njuga suala hili Quinine . Usimsahau (Tundu Lissu Kafuta CCM....) mjinga mjinga Erythrocyte kuwa wanajindanganya. Ili khali Spika kasema atawalinda, kweli kazi ipo atawalinda. Vile vile Mfahamishe Retired na wenzake kuwa huu ni mwendelezo wa ubinafsi wa watu, kuwa kwa vile hatupo nao wakose. Mbona wamegwaya kwa Aida?
 
Siyo jibu la swali nililouliza.

Zitto baada ya kufukuzwa na chama kwa kosa la kukipeleka chama mahakamani hakukata rufaa, alikubali akaenda kujiunga na ACT.

Hiyo ni kwa faida yako.
Wewe bado ni kinda nasema! Uliza uambiwe au fukunyua hapa JF utapata ukweli wa yeye kuwa Mbunge wa Mahakama
 
Time will tell.Tuone hili sakata litaisha vipi. Iam sick and tired of being sick and tired. Kwa mujibu wa katiba Yes. Ila.........let us give time to time. Yajayo.......
Magufuli na co wameshaandaa uhuni. Kesi ya kupinga itafunguliwa mahakamani na huyu kilaza wenu spika hatatambua maamuzi ya Chadema na kesi itapigwa dana dana mpaka miaka mitano iishe. Hapo ndipo tulipofikia. Viongozi wanatumia uhuni wao kuendesha nchi. Nadhani hata wewe unajua kwa kina mipango yote.
 
Hata katiba inasema hivi

Oath of
Members of
Parliament
Act No.15
of 1984,
Art.13
68. Every Member of Parliament shall be required to take and subscribe
before the National Assembly the oath of allegiance before commencing to take
part in the business of the National Assembly save that he may take part in the
election of Speaker before taking that oath.

Je wakati wanaapishwa ndicho kilichofanyika? [emoji28] [emoji28] [emoji28] Katiba bila vyomo vyenye nguvu kuisimamia ni maandishi tu
Suala la kuwepo sheria ni lingine na kuamua kuvunja ni jingine kwahiyo.kwa nchi zetu zinazoendelea siyo ajabu sheria au katiba kuvunjwa kwa maslahi ya CCM na watawala.
 
Umesahau mara hii wakati Zitto akiwa mbunge wa mahakama?
Wamesahau hao wale Ni wabunge ukweli wote utajulikana kadiri sinavyosogea Kama Chadema ilifanya hivyo kuwakomoa imejikomoa yenyewe.Kwisha habari yao , Chadema wivu unawasumbua
 
#HABARI Spika Mstaafu wa Bunge, Pius Msekwa, amesema kwa mujibu wa katiba mpaka sasa @halimamdee na wenzake 18, hawana tena sifa za kuwa wabunge kwa kuwa hawana chama kilichowapeleka Bungeni na hata wakihamia chama kingine hawawezi kupata nafasi hizo, labda mpaka uchaguzi ujao.#EastAfricanRadio
================
Mambo yameanza kuwa sio mambo.
================



Hiyo ni "kwa mujibu wa Katiba ya JMT ya 1977 pamoja na marekebisho yake"

Lakini "kwa mujibu wa Ndugai na Magufuli na CCM yao", hawa wanaweza kuendelea kuwa wabunge...!!

Chini ya CCM ya Magufuli ya sasa, Tanzania imegeuka kuwa BANANA REPUBLIC..

No orders, No laws, No principles, No traditions & customs. Above all, No constitution...!!

Nchi inaendeahwa kwa mujibu wa kichwa na akili za Ndugai na Magufuli...!!!

Arrrggg, this is so embarrassing...
 
Vp kama CCM wakiwatosa hao COVID-19 na kutafuta njia mbadala, CDM inabidi iwe makini mana hapo CCM watakuwa hawana cha kupoteza lakini CDM itakuwa imepoteza wanachama wake walio kengeuka na kuwa COVID-19
 
Kama hawa akinadada wapo humu nawashauri wakaombe msamaha ktk chama chao.
Kwani hawatapoteza zaidi japokuwa mm ni ccm.
Wajipime waliko na wanakoelekea
Watapoteza huo ubunge feki na hivyo watakosa ulaji wa miaka mitano mizima. Pagumu hapo!!!!
 
warudi haraka na wafike kwa kituo wamwage ugali wa CCM maana CCM walimwaga mboga wakati wa uchaguzi wananchi watawaelewa,ila wakibaki huko wajue na kuelewa kuwa CCM haiwapendi ni kutaka kuwaharibia tu,maana niijuavyo CCM watawakumabia siku mbili tatu tu kisha ccm wanawarusha daluga covid 19 kule. maana kila ndugai akizidi kuwa nao na kuwalinda kama alivyosema sidhani kama ndugai atadumu atatumbuliwa kirahisi sana.
 
Mimi napendekeza chadema iagize haraka nafasi zilizoachwa WAZI kujazwa, kisha waanze process za kuliagiza balaza la wanawake kuchakata na kupendekeza majina ya viti maalumu, ili yapelekwe kamati kuu kuchambuliwa, kisha mchakato uchukue muda mrefu hapo kweny kamati kuu. Kuwaacha warelax kabisa akina Halima na wenzie ni kuwapa nafasi kwenda mahakaman, ili wajue hata huko bungeni wanatakiwa waondoke basi chama kioneshe dhamira ya kupata viti maalumu waliofwata taaratibu za chama !
 
Back
Top Bottom