Vyombo vyote Tz vya habari but hapa tunaongelea mtu sio taasisiMitaa inasema Clouds ni tawi la CCM
Hando, Zembwela na Kitenge walipigia debe sana mkataba wa DPW upitishweVyombo vyote Tz vya habari but hapa tunaongelea mtu sio taasisi
Elewa sifa binafsiHando, Zembwela na Kitenge walipigia debe sana mkataba wa DPW upitishwe
PJ anapata wapi nafasi ya kujadili na kuchambua mambo mazito na wakati yuko kwenye media ya machawa wa CCM
Atleast Masoud Kipanya
[emoji3][emoji3][emoji3]Wewe ni nani kati ya hao wawili?
kipanya ana iq gani kubwa muhuni yule? Huyo ni sawa na chawa mpevu mwijakuMtangazi mwenye IQ kubwa ni kipanya tu nchi nzima .