PJ na Hando wameanza vizuri E-Fm

kuna mtangazaji mmoja hivi wa kiss fm anaitwa JOACHM MWENGARUGULU (JML) yuko wap siku hizi?
 
Nimesikiluza kipindi cha joto la asubuhi efm. Hakika PJ na Hando wameanza vyema na kipindi chao.. Mchanganyiko wa Abel Onesmo na Adela umevutia sana.
Ila pia ni vizur ukawaeleza wanajamvi kuwa hao watu wameanza vizur kwa kufanya nini, mana mikoa mingine hiyo E.FM haikamati
 
Clouds kiti cha mchambua magazeti baado cha moto... Fredwaa hivi bado yupo? Abel onesmo ndo mchambua magazeti!!! Anasoma kama wale wa redio Tanzania ya zamani...wenzake hawampi support...yaani zigizaga... Kipanya nae mmmh hata simuelewi... Bora nibaki kwa Bazili Mbakile tu.
 
Basil yupo clouds au Ea radio?
 

Abel onesmo yupo efm..
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…