kedrick
JF-Expert Member
- Apr 25, 2015
- 5,080
- 4,914
Mtarishaji kipindi cha P.B mawingu c alikuwa abel onesmo basi ndo kaondoka n wazo na utarishaji wke wa P.BCopy and paste ya mawingu
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mtarishaji kipindi cha P.B mawingu c alikuwa abel onesmo basi ndo kaondoka n wazo na utarishaji wke wa P.BCopy and paste ya mawingu
Abel Onesmo yupo E.fm kaondoka naoClouds kiti cha mchambua magazeti baado cha moto... Fredwaa hivi bado yupo? Abel onesmo ndo mchambua magazeti!!! Anasoma kama wale wa redio Tanzania ya zamani...wenzake hawampi support...yaani zigizaga... Kipanya nae mmmh hata simuelewi... Bora nibaki kwa Bazili Mbakile tu.
Hivi kipanya anaogeaga nn me pia simuelewi cjui ndo kuzeeka yupo yupo tu cjui anawakomeshaKipanya ndo cmuelew elewi hiv
HahahaHivi kipanya anaogeaga nn me pia simuelewi cjui ndo kuzeeka yupo yupo tu cjui anawakomesha
Hebu elekeza mkuu jinsi ya kuipata through AZAM decoder...
Basil yupo clouds au Ea radio?
Hakika atakua amejifunza maaana hana jeuri yoyote kama ni pesa jde hampati jide hata apaehuko efm sasa gerald full kupishana koridoni na jide ambaye walikuwa wanampiga kijembe kipindi wako clouds....gerald ajifunze sasa ugomvi wa mabosi asiingilie, maisha yanabadilika kama hivyo sasa.
Hakika atakua amejifunza maaana hana jeuri yoyote kama ni pesa jde hampati jide hata apae[emoji23] [emoji23]huko efm sasa gerald full kupishana koridoni na jide ambaye walikuwa wanampiga kijembe kipindi wako clouds....gerald ajifunze sasa ugomvi wa mabosi asiingilie, maisha yanabadilika kama hivyo sasa.
tena kuna siku aliwahi kuropoka hewani eti kama jide anaitwa anajiita mwanamziki wa,kizazi kipya dogo aslay ajiitaje!! yaani hiyo siku aliponda hadi nikazima redio.Hakika atakua amejifunza maaana hana jeur yyt km n pesa jde hampat jide hata apae[emoji23] [emoji23]
tena kuna siku aliwahi kuropoka hewani eti kama jide anaitwa anajiita mwanamziki wa,kizazi kipya dogo aslay ajiitaje!! yaani hiyo siku aliponda hadi nikazima redio.