Damn shit we have our land! It is a capital! Majambazi wanakuja na pesa tuwaachie tu kila kitu!?? Hivi serikali inaelewa umuhimu wa bandari au ni ujambazi tu? Hiyo mikataba ije!! Tuione na habari ya kwamba watanzania hawana mtaji pesa ni upumbavu wa kiwango cha lami!Kwa uwezo upi wa kifedha na mtaji walionao? Uzoefu Je?
Bagamoyo Port ni zaidi ya $10bln (27T)
Wewe mjinga,Rais Huwa anasaini mikataba ya utekelezaji au MoUs? Heshima ipi ilishuka?nyamaza tu ili kumsitiri. kati ya vitu vilimshushia hadhi na kuonekana hana uwezo au ana nia ovu na nchi, ni mkataba wa dp world. hadi mtoto mdogo hapa Tanzania alijua maza aliboronga aidha kwa sababu hajui au kwa makusudi. na vipo vingi kwenye mkataba vilibadilishwa baada ya kelele ndio maana tunasema hata yeye alijua alikosea sana.
Alipinga masharti sio mradiHuu si ndio mradi Magufuli aliupinga? CCM lazima waingie maana ndio wanaohusika kwenye hizi mambo
Wewe ni mjinga na watu kama wewe ni WA kupuuzwa tuu.Damn shit we have our land! It is a capital! Majambazi wanakuja na pesa tuwaachie tu kila kitu!?? Hivi serikali inaelewa umuhimu wa bandari au ni ujambazi tu? Hiyo mikataba ije!! Tuione na habari ya kwamba watanzania hawana mtaji pesa ni upumbavu wa kiwango cha lami!
Fungueni basi mipaka yote kila mmoja auze kipande chake cha ardhi tukawe manambe!!! THINK THINK THINK!!
Wewe sijui nikuite bwana mdogo?Tangu lini mikataba ikawa public? Kutakuwa na maana ya mkataba hapo?
kuna uwezekano mkubwa hujui hata unachoongea. ulikuwepo nchi hii kipindi cha sakata la DP WORLD?Wewe mjinga,Rais Hawa anasaini mikataba ya utekelezaji au MoUs? Heshima ipi ilishuka?
Siwezi kubishana na mpumbavu kama wewe! serikali ipi? Hii inayouza kila kitu!? Umuhimu wa Bandari huujui! Serikali ni ya kijambazi hatutegemei wawe na chembe ya kujali!!Wewe ni mjinga na watu kama wewe ni WA kupuuzwa tuu.
DP World huyo hapo Bandarini,tufanye Serikali haijui umuhimu wa bandari wewe ndio unajua,haya tuambie Nchi imepata hasara gani?
Fungua nyuzi zangu zimejaa tele kuhusu DP World.kuna uwezekano mkubwa hujui hata unachoongea. ulikuwepo nchi hii kipindi cha sakata la DP WORLD?
Leta vurugu na upuuzi wako wa No reform No Election uone moto hiyo Oktoba.Pesa za DP world, Misitu, na madini hazijawatosha! Mbona tunaziona mkiagiza magari ya washawasha kutupiga kwenye uchaguzi? Mbona tunaona makarandinga ya majeshi yetu? Mbona tunaona SSH 2025 pikipiki? Samia that, samia that samia fucken shit all over! Hakuna namna! TAL atawaumbua this time NO REFORM NO ELECTION!!
Fala wewe huna facts ndio maana umeshindwa kujibu maswali ππSiwezi kubishana na mpumbavu kama wewe! serikali ipi? Hii inayouza kila kitu!? Umuhimu wa Bandari huujui! Serikali ni ya kijambazi hatutegemei wawe na chembe ya kujali!!
Ni haki ya watanzania kudai na kutoa maoni! wewe mburula wa katiba! Haya leteni huo moto tuone! anza kuchimba handaki kama wew ni njagu!Leta vurugu na upuuzi wako wa No reform No Election uone moto hiyo Oktoba.
Tunaongea kuhusu usalama wa NCHI we kiazi usiye na ufahamu! kazi kulamba mikundu ya wakubwa tu!!Fala wewe huna facts ndio maana umeshindwa kujibu maswali ππ
Nasisitiza tufanye kwamba Serikalini hakuna watu maskini ila upo wewe,haya nipe majibu ya maswali yafuatayo,
1.DP World & Adani wako Bandarini leta hasara ambazo Nchi imepata
2.Je uwepo wao ufanisi umeongezeka au tuko kule kule?
Kama huna majibu katafute punguani wenzako ndio mjazane upumbavu.
Wizi gani mbona unazunguka zunguka na hutaji?Wewe sijui nikuite bwana mdogo?
Mkataba una clauses, nani anaandika hizo clauses? Clients ndiyo wanaandika mkataba. Clients hapo ni muuzaji na mnunuaji. Sasa kama muuzaji - Tanzania- unasema mkataba wangu Nataka usiwe siri kwa Parliament nani atakataa? Kuna limits. Kuna Non Disclosure Agreement, sasa kusema sriri ni nini? Wizi tu huo.
Public/listed companies kila kitu kipo mtandaoni, na ukiwa shareholder unaweza kuhoji mkataba, na ukapewa kufuata sheria. Sasa nyie kuwaambia ati siri, ni wezi tu nyie.
Kuna vipengere vingi vimo ambavyo wanajua kabisa wananchi hawawezi kukubali.
Vurugu sio maoni,mbona hapa unatoka maoni nani kakizuia?Ni haki ya watanzania kudai na kutoa maoni! wewe mburula wa katiba! Haya leteni huo moto tuone! anza kuchimba handaki kama wew ni njagu!
Wewe ni njagu! ukiona maoni kinzani mkundu unapwita!Vurugu sio maoni,mbona hapa unatoka maoni nani kakizuia?
Tufanye DP kote anakoopareti Duniani hakuna usalama.Tunaongea kuhusu usalama wa NCHI we kiazi usiye na ufahamu! kazi kulamba mikundu ya wakubwa tu!!
Mbona unatoa maoni kinzani.hadi unaropoka matusi umepata shida gani?Wewe ni njagu! ukiona maoni kinzani mkundu unapwita!
Umbwa wewe mpaka tuvamie ndio useme hakuna usalama! Kuna maeneo nyeti ambayo hutakiwi kucheza nayo we kiazi!Tufanye DP kote anakoopareti Duniani hakuna usalama.
Haya tuelezee basi Nchi imekosaje usalama Hadi Sasa ππ