Plata O Plomo: Ulimwengu wa Siri Kiganjani Kwa Binadamu Mmoja[ Pablo Escobar]

Plata O Plomo: Ulimwengu wa Siri Kiganjani Kwa Binadamu Mmoja[ Pablo Escobar]

Kwenye hii movie, ujanja woote wa Pablo, Gustavo ndio alikua mwenye akili iliyotulia.
Hata maisha yao halisi, Gustavo was the brain of the cartel. Kosa kubwa alilofanya jamaa ni kuingia kwenye siasa. Pia kuwa Modus oparendi yake ilimuathiri. He was too violent na hasa kuua polisi. Nilisoma kitabu cha wale DEA agents waliomuwinda Pablo wanasema kumtafuta jamaa haikuwa hasa sbb ya unga, bali ni hasira ya polisi wa Columbia juu ya Pablo kutokana na kuua wenzao na ndg zao-REVENGE.
 
Ikiwezekana tuunganishe na hiki kikundi bwana kuba naona Bongo hakueleweki
 
Ni Mara ya 4 Leo nairudia. Nilichokihitaji nimekipata. Baada ya kifo familia yake ilikuwaje? Nishafahamu. Ubarikiwe
 
Nimesoma yote na nika conclude kuwa Joaquon Guzman (El Chap) wa Sinaloa Cartel ya Mexico ambaye anatumikia kifungo cha maisha huko USA ni mchumba tu ukilinganisha na Pablo Escobar
 
MWANZO 6:1-8,"Ikawa wanadamu walipoanza kuzidi usoni pa nchi na wana wa kike walizaliwa kwao,wana wa Mungu waliwaona hao binti za wanadamu ya kuwa ni wazuri,wakajitwalia wake wowote waliowachagua.BWANA akasema,Roho yangu haitashindana na mwanadamu milele,kwa kuwa yeye naye ni nyama,basi siku zake zitakuwa miaka mia na ishirini.Nao Wanefili(nephilims)walikuwako duniani siku zile,tena,baada ya hayo,wana wa Mungu walipoingia kwa binti za wanadamu,wakazaa nao wana,hao ndio waliokuwa watu hodari zamani,watu wenye sifa.BWANA akaona ya kuwa maovu ya mwanadamu ni makubwa duniani na kwamba kila kusudi analowaza moyoni mwake ni baya tu sikuzote.BWANA akaghairi kwa kuwa amemfanya mwanadamu duniani,akahuzunika moyo.BWANA akasema,nitamfutilia mbali mwanadamu niliyemwumba usoni pa nchi,mwanadamu na mnyama,na kitambaacho na ndege wa angani,kwa maana naghairi kwamba nimewafanya....
Kaaa humo The Humble Dreamer
Nini maana ya verse hiyo?
 
Back
Top Bottom