born again pagan
JF-Expert Member
- Apr 28, 2014
- 2,336
- 1,491
NarcosPablo Emilio Escobar Gaviria
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
NarcosPablo Emilio Escobar Gaviria
Kwenye hii movie, ujanja woote wa Pablo, Gustavo ndio alikua mwenye akili iliyotulia.Narcos
Umenikumbusha mbali ngoja niirudie tena kwa mara ya 6Narcos
Hata maisha yao halisi, Gustavo was the brain of the cartel. Kosa kubwa alilofanya jamaa ni kuingia kwenye siasa. Pia kuwa Modus oparendi yake ilimuathiri. He was too violent na hasa kuua polisi. Nilisoma kitabu cha wale DEA agents waliomuwinda Pablo wanasema kumtafuta jamaa haikuwa hasa sbb ya unga, bali ni hasira ya polisi wa Columbia juu ya Pablo kutokana na kuua wenzao na ndg zao-REVENGE.Kwenye hii movie, ujanja woote wa Pablo, Gustavo ndio alikua mwenye akili iliyotulia.
We mtoto wewe hahaNgoja kwanza tumalize uchaguzi wa US nije kujipoza na hii.
Nikisema niisome sasa nitakosa utulivu wa akili...
Laterrrrrr
Nini maana ya verse hiyo?MWANZO 6:1-8,"Ikawa wanadamu walipoanza kuzidi usoni pa nchi na wana wa kike walizaliwa kwao,wana wa Mungu waliwaona hao binti za wanadamu ya kuwa ni wazuri,wakajitwalia wake wowote waliowachagua.BWANA akasema,Roho yangu haitashindana na mwanadamu milele,kwa kuwa yeye naye ni nyama,basi siku zake zitakuwa miaka mia na ishirini.Nao Wanefili(nephilims)walikuwako duniani siku zile,tena,baada ya hayo,wana wa Mungu walipoingia kwa binti za wanadamu,wakazaa nao wana,hao ndio waliokuwa watu hodari zamani,watu wenye sifa.BWANA akaona ya kuwa maovu ya mwanadamu ni makubwa duniani na kwamba kila kusudi analowaza moyoni mwake ni baya tu sikuzote.BWANA akaghairi kwa kuwa amemfanya mwanadamu duniani,akahuzunika moyo.BWANA akasema,nitamfutilia mbali mwanadamu niliyemwumba usoni pa nchi,mwanadamu na mnyama,na kitambaacho na ndege wa angani,kwa maana naghairi kwamba nimewafanya....
Kaaa humo The Humble Dreamer