Pablo Blanco
JF-Expert Member
- Dec 20, 2016
- 7,328
- 6,638
shkuba huyo
Hittin Blunts and Bustin Nuts
Hittin Blunts and Bustin Nuts
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ahhaha...naomba pdf yake niipitie, naeza okota mawili matatu ya hawa watu mashuhur
jina tu kama wewe unavyoitwa hamis, peter etc.Unaeza elezea nini chanzo..unaeza nambie nigugo ila we niandikie hapa
Hivi kizazi kama hiki cha hii mbegu kitakaakiibuke tena mana saiv tuna kina Pompeo tuu
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Hivi kizazi kama hiki cha hii mbegu kitakaakiibuke tena mana saiv tuna kina Pompeo tuu
Ahhaha...naomba pdf yake niipitie, naeza okota mawili matatu ya hawa watu mashuhur
Nahisi may be Wana wa Mungu wamejirudia tena mana ROHO YA NDANI NDO HUWA INAAMUA KULIKO MWILI WA NJE NDO MANA KUNA MAJINIWATU...YAPO TAYARI KULALA/KUPASHANA WATOTO ZAO ILI YAPATE UTAJIRIWewe JK kumbe unamanisha ile historia ya kwenye Bible...lakin ile ilikua miaka ming sana hadi huyu wa kwenye picha aishi
Aina hiyo ya kizazi haitakaaa itokeee tena duniani..tutaendelea na kina Trumph na MajaliwaNahisi may be Wana wa Mungu wamejirudia tena mana ROHO YA NDANI NDO HUWA INAAMUA KULIKO MWILI WA NJE NDO MANA KUNA MAJINIWATU...YAPO TAYARI KULALA/KUPASHANA WATOTO ZAO ILI YAPATE UTAJIRI
Ngoja nikuleteee mkuu uksome kwenye Bible The Humble DreamerAhhaha...naomba pdf yake niipitie, naeza okota mawili matatu ya hawa watu mashuhur
Hopely waiting forNgoja nikuleteee mkuu uksome kwenye Bible The Humble Dreamer
Soma MWANZO 6:1-8 The Humble DreamerHopely waiting for
Nimesoma Jk12 ila nikuulize, anaposema wana wa Mungu na wana(binti) wa wanadamu tofaut ni nn wakati kwa jina moja ni watuSoma MWANZO 6:1-8 The Humble Dreamer
Wana wa Mungu (malaika)Nimesoma Jk12 ila nikuulize, anaposema wana wa Mungu na wana(binti) wa wanadamu tofaut ni nn wakati kwa jina moja ni watu
MWANZO 6:1-8,"Ikawa wanadamu walipoanza kuzidi usoni pa nchi na wana wa kike walizaliwa kwao,wana wa Mungu waliwaona hao binti za wanadamu ya kuwa ni wazuri,wakajitwalia wake wowote waliowachagua.BWANA akasema,Roho yangu haitashindana na mwanadamu milele,kwa kuwa yeye naye ni nyama,basi siku zake zitakuwa miaka mia na ishirini.Nao Wanefili(nephilims)walikuwako duniani siku zile,tena,baada ya hayo,wana wa Mungu walipoingia kwa binti za wanadamu,wakazaa nao wana,hao ndio waliokuwa watu hodari zamani,watu wenye sifa.BWANA akaona ya kuwa maovu ya mwanadamu ni makubwa duniani na kwamba kila kusudi analowaza moyoni mwake ni baya tu sikuzote.BWANA akaghairi kwa kuwa amemfanya mwanadamu duniani,akahuzunika moyo.BWANA akasema,nitamfutilia mbali mwanadamu niliyemwumba usoni pa nchi,mwanadamu na mnyama,na kitambaacho na ndege wa angani,kwa maana naghairi kwamba nimewafanya....Wana wa Mungu (malaika)
Wana binti wa wanadamu yaan wasichana
Sio wote watu mkuu hapo kuna malaika na binadamu The Humble Dreamer
Kwahy malaika alilala na binadamu?Wana wa Mungu (malaika)
Wana binti wa wanadamu yaan wasichana
Sio wote watu mkuu hapo kuna malaika na binadamu The Humble Dreamer
Yes..yakazaliwa majitu aka MAJINIKwahy malaika alilala na binadamu?
Haipo hiyo
Nikupe namba yake??Yu wapi The bold