The Humble Dreamer
JF-Expert Member
- Oct 12, 2015
- 7,574
- 10,598
Ni hatari..yan ofisi yake haija jaaa document bali imejaaa pesa na rubberbands tuu kwaajiki ya kufunga pesa..
Kuna watu wanaishi na siyo kusindikiza maisha
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ni hatari..yan ofisi yake haija jaaa document bali imejaaa pesa na rubberbands tuu kwaajiki ya kufunga pesa..
Looh!atakuwa yule... aliyechoma noti mtoto apate joto! Labda lakin
Na hapa alipo inaonekana ndiyo Ofisi yake ya Kazi, kumejaa rubber bands za kufunga hela.
Sijui kama yuko hai au lah!
Ni nani huyu hapa duniani?
View attachment 1421388
Ni Raisi au?Pablo Escobar mexico moja iyo
Plata O Plomo: Ulimwengu wa Siri Kiganjani Kwa Binadamu Mmoja[ Pablo Escobar] - JamiiForumsNdio umetoka kuangalia NARCOS?
Nipm nikupe full historia yake...MFUNGWA PEKEE ALIYEJENGEWA GEREZA NA SERIKALI,HALAFU YEYE AKICHORA MCHORO WA GEREZA HILO...HATARI SANANa hapa alipo inaonekana ndiyo Ofisi yake ya Kazi, kumejaa rubber bands za kufunga hela.
Sijui kama yuko hai au lah!
Ni nani huyu hapa duniani?
View attachment 1421388
Sawa Mkuu..hiv watu kama hawa walizaliwa na mwanamke kweli au ni allienNipm nikupe full historia yake...MFUNGWA PEKEE ALIYEJENGEWA GEREZA NA SERIKALI,HALAFU YEYE AKICHORA MCHORO WA GEREZA HILO...HATARI SANA
Aisee bora ungebaki hukohuko mlipokuwepo
Nipm nikupe full historia yake...MFUNGWA PEKEE ALIYEJENGEWA GEREZA NA SERIKALI,HALAFU YEYE AKICHORA MCHORO WA GEREZA HILO...HATARI SANA
Ni series moja inayomuhusu aliyekua muuza madawa ya kulevya mashuhuri wa wakati huo..Pablo EscobarNARCOS ni nini mshuza?
Halafu Mama yake yupo hai, ni Mmakonde wa Naliendele,kwa sasa anaishi Kibonde maji Mbagala.Sawa Mkuu..hiv watu kama hawa walizaliwa na mwanamke kweli au ni allien
Ntaifatlia hiyo series niichekiNi series moja inayomuhusu aliyekua muuza madawa ya kulevya mashuhuri wa wakati huo..Pablo Escobar
Tanzania kila mtu anamtazama mwenzake kama fursaKwa nini usiiweke hiyo nondo hapa hapa jukwaani ili wote tumjue ni nani kuliko kuitana huko pm
Ndo hiyo hiyo mkuuu jamaa kaiwekea link mm LENGO langu nikupe Namba ya Habibu B. Anga ILI AKUUNGE KWENYE GRUP LAKE.....UISOME NA YA OSAMAKwa nini usiiweke hiyo nondo hapa hapa jukwaani ili wote tumjue ni nani kuliko kuitana huko pm
I think Ni wale KIZAZI waliozaliwa baada ya BINADAMU kuliwa na Wana wa Mungu aka malailka/WALIOASI ndo wakazaliwa Hawa kina PABLO ESCOBERSawa Mkuu..hiv watu kama hawa walizaliwa na mwanamke kweli au ni allien
Ndiyo fursa yenyewe hiyoNdo hiyo hiyo mkuuu jamaa kaiwekea link mm LENGO langu nikupe Namba ya Habibu B. Anga ILI AKUUNGE KWENYE GRUP LAKE.....UISOME NA YA OSAMA