Msitari wa pambizo
JF-Expert Member
- Sep 25, 2014
- 3,098
- 5,451
Nielekeze tu ni wapi nitazisoma makala zake mujarab
Nikupe namba yake??
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Nikupe namba yake??
Kwenye his whatsup group fees ni 5000 kwa mwezNielekeze tu ni wapi nitazisoma makala zake mujarab
Hawa washaniunganisha humu tyrYes..yakazaliwa majitu aka MAJINI
Wapo sema sio levels izo sana sana MexicoNimekupata..ila kizazi kama hiki hakipo tena duniani, saivi tunao wakina Trump
Jamaa hatokei Mexico anatokea Colombia,Medellin AntiquiaPablo Escobar mexico moja iyo
Yap yap mkuuu CHAPA MWENDO..YANAOTWA INVISIBLEHawa washaniunganisha humu tyr
Yes mkuuu..drug dila neva kwisha
Bro wana waMUNGU sio malaika kama ulivyosema bali ni wale wabarikiwa kuna zile kabila za wabarikiwa ndo walikua wanaitwa wana wa Mungu . Malaika hana mwili inakuaje akafanya mapenzi na wanadamuYes..yakazaliwa majitu aka MAJINI
Mkuuu mm naelewa wana wa Mungu ni malaika itanichukua muda kuelewa wana wa Mungu ni wabarikiwa.....TUSUBIRIE COMMENTS ZINGINE TUTAONGEZA MAARIFABro wana waMUNGU sio malaika kama ulivyosema bali ni wale wabarikiwa kuna zile kabila za wabarikiwa ndo walikua wanaitwa wana wa Mungu . Malaika hana mwili inakuaje akafanya mapenzi na wanadamu
Sent using Jamii Forums mobile app
Kwahy malaika alilala na binadamu?
Haipo hiyo
Mkuuu mm naelewa wana wa Mungu ni malaika itanichukua muda kuelewa wana wa Mungu ni wabarikiwa.....TUSUBIRIE COMMENTS ZINGINE TUTAONGEZA MAARIFA
Nimesoma Jk12 ila nikuulize, anaposema wana wa Mungu na wana(binti) wa wanadamu tofaut ni nn wakati kwa jina moja ni watu
Mamake Yesu alipataje mimba?? Na akamzaa Yesu... Roho kisicho onekana kwa macho ya kawaida.malaika/rohoMalaika hawezi kulala na binadamu malaika ni roho inalalaje na mwili
Sent using Jamii Forums mobile app