Habibu B. Anga
JF-Expert Member
- May 7, 2013
- 6,557
- 25,717
- Thread starter
- #161
Aiseeeeee [emoji15] [emoji15] [emoji15]
Mkuu baba afrika tafadhali hebu futa hii comment yako! Naamini unajua jinsi ya kufuta comment.. Kwanini unacopy post ndefu kiasi hiki Mkuu?? Unasababisha usumbufu mkubwa sana kiongozi kwa wanaotumia simu.. Tafadhali kuwa mstaarabu futa hii comment..
Mkuu baba afrika tafadhali hebu futa hii comment yako! Naamini unajua jinsi ya kufuta comment.. Kwanini unacopy post ndefu kiasi hiki Mkuu?? Unasababisha usumbufu mkubwa sana kiongozi kwa wanaotumia simu.. Tafadhali kuwa mstaarabu futa hii comment..