Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Thanks man..meeeen me proud of you.wat a wonderful documentary. uko njema mkuu.hongera sana. ukilled it meeeeen
Thanks Mkuu..Daaah kuna watu waliishi ss tuna -survive siyo kuishi big up...mzee...
nimeicheki pia ila naona kama ilifupishwa sana..alafu kuna version tofauti za maisha ya huyu bw...Akhsante sana kaka the bold mimi nimefanikiwa kuona NARCOS season 1&2 nikapata mwanga fulani ila hapa umezisha sana mwanga wa kumjua huyu bwana Gaviria
NARCOS ni fupi mno kulinganisha na historia ya huyu mtuUkitaka kuenjoy zaidi...tafuteni series ya NARCOS
Big up kwa Medelin Cartel N Cali Cartel
Mkuu The bold umetisha
ntakipataje mkuu uniuzie....I have kitabu cha maisha yake "THE ACCOUNTANT STORY"....
soma huko juu mwandishi kaelezea..Mkuu hela zake zote zile nani alichukua?
Thanks!Hongera
Pamoja sana Mkuu! ShukraniMkuu nasoma sana nyuzi zako
Zinanifungua mengi ya dunia hii
Hongera sana
Upo kwenye kundi la wajinga. That's it!Hatimaye nimefanikiwa kusoma mwanzo wa story nikaruka kati maana hayo maelezo mengi sana na nikamalizia kifo chake tu
Senge hilo linawashwa.Nilitaka kushangaa kuwa nafika page ya 16 sijakutana na vichwa maji wanao-quote thread ndefu kama hii
Ila wewe umejitokeza sasa
Kwa nini usikoment kawaida bila kuqoute uzi wote
Unatusumbua tunaotumia simu
Comment yenyewe hapo hamna ulichoandika
Na mimi usinisahau kwenye tag list yako, thread kama hizi huwa zinanibariki sana, leo nimeanza na ya Da vinci na Monalisa ndio nimeingia hii.Bila shaka Mkuu nitakutag!
Nashukuru..