Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Aisee! Gazeti gani Mkuu?Hii kitu kuna gazeti nimeiona leo kama ilivyo
Aisee! Gazeti gani Mkuu?
Aisee! Ngoja niwafuatilie..Uwazi mkuu sikumbuki fresh page ngapi ila kuna picha ya huyo pablo
Hahahaha!! Huko Colombia kuna watu wanamuona ni kama moja ya "Saints"
Pia Pablo alimpa wazo Suaréz kuwa atumie ushawishi wake alionao serikalini (Suaréz alikuwa amefanikiwa kumpenyeza Mdogo wake serikalini na kuwa Waziri wa mambo ya ndani) ahakikishe wanakutana na kiongozi wa Cuba Fidel Castro ili wamuombe kuwa mshirika wao katika mambo kadhaa.
Suala hili lilifanikiwa kwani Pablo na Suaréz walipata fursa adhimu na wakakutana na Fidel Castro na ombi lao kubwa kwake lilikuwa ni kuwaruhusu kupitisha mizigo yao nchini kwake Cuba na nchi za jirani pasipo bugudha. Pia walimuomba aruhusu ndege zao za mizigo zitue kwenye viwanja vya ndege vya Cuba na kujaza mafuta pale inapobidi kufanya hivyo.
Castro akawakubalia kwa masharti mawili, moja ni kwamba atakuwa anawachaji mamilioni ya dola za marekani kwa huduma hizo na pili mihadarati hiyo isiuzwe ndani ya Amerika ya Kusini bali isafirishwe na kuuzwa Marekani ambapo Fidel Castro alisisitiza kuwa atafurahi akiona vijana wa Mabepari wakiharibika na mihadarati.
Masharti yote mawili haya yakakubaliwa na Pablo na Suaréz kisha wakarejea Bolivia. Baada ya kufanya mazungumzo juu ya namna watakavyo fanya biashara hatimae Pablo na Suaréz walifikia muafaka na kwa mzigo wake wa kwanza alioununua nchini Bolivia kutoka kwa Suaréz ulikuwa ni kilo 14 za unga gafi za Cocaine.
Pamoja sana chief..Kuna watu wana vitu adimu sana vya kusisimua aisee
Napendaga sana kusikia habari kinzani za uzi original kama hivi. Sasa namsubiri mleta UZI akane na hili then sisi tulio nje tuendelee kujifunza. Akikaa kimya nitajua source of his information ni majarida ya USA ambao since miaka ilee ni maadui wa Cuba na Fidel.The Bold, Sina uhakika na exposure ulionayo kuhusu america ya kusini na Cuba, hua nakusoma saana na hua naona fictions nyingi katika mada zako ila hua nakaa kimya na hua spendi kukuharibia umaarufu wako katika mada zako, kwa kifupi naomba nikuonye napia kua makini saaana hasa unapowataja watu kama akina comandante Fidel Castro katika habari za uongo uliotukuka, sisi tumeishi cuba kwa miaka mingi kiasi tulipata bahati ya kuonana na comandante mubashara na kuongea nae na kuisoma mitazamo na misimamo yake, huko havana, matanzas, santiago, camaguey, las tunas mpaka pinal de rio ambapo kuna bandari wakazi wa huko hawaijui hata harufu ya cocain, Jose martin international airport pamoja na viwanja vingine vya kijeshi vilivyopo, matanzas na jiron kuna ulinzi mkubwa wa majeshi matatu tofauti na kila jeshi likiwa na utaratibu wake wa kufanya kazi na kupokea maelekezo toka kwa wakuu tofauti.
the Bold koma kabisa kuhumuhusisha Fidel Castro Ruz pamoja na kisiwa pendwa cha Cuba na uongo wako wa madawa ya kulevya ili upate sifa zisizo kua na faida yoyote katika jamii.
hasta la victoria siempre, patria o muerte venceremos, viva cuba libre, viva comandante fidel castro, viva comandante amigo Erenesto Che gueavara.
Cuba es nuestra madre, Cuba y comandante castro siempre estan en nuestra ideas y corazon.
hay qe tener mucho respecto cuando tu quere hablar la historia cubana y la historia de nuestra Fidel.
kwa kifupi fidel hakua na roho mbaya na ya unafiki kama unavyotaka kuwaaminisha watu hapa, hivi kweli castro afurahie vijana wa kimarekani wafe au wawe mateja? kama unayoongea yangekua na ukweli sisi tusingeishi maisha ya dhiki na kula wali uliochanganwa na maharage kila siku huku tukifundishwa uzalendo na ujasiri uliotukuka..........
Duh! Kaaaazii kweli kweli...haya Bruce lee ngoja aje na Jet lee nae aje atetee hoja yake.mi natazama tuThe Bold, Sina uhakika na exposure ulionayo kuhusu america ya kusini na Cuba, hua nakusoma saana na hua naona fictions nyingi katika mada zako ila hua nakaa kimya na hua spendi kukuharibia umaarufu wako katika mada zako, kwa kifupi naomba nikuonye napia kua makini saaana hasa unapowataja watu kama akina comandante Fidel Castro katika habari za uongo uliotukuka, sisi tumeishi cuba kwa miaka mingi kiasi tulipata bahati ya kuonana na comandante mubashara na kuongea nae na kuisoma mitazamo na misimamo yake, huko havana, matanzas, santiago, camaguey, las tunas mpaka pinal de rio ambapo kuna bandari wakazi wa huko hawaijui hata harufu ya cocain, Jose martin international airport pamoja na viwanja vingine vya kijeshi vilivyopo, matanzas na jiron kuna ulinzi mkubwa wa majeshi matatu tofauti na kila jeshi likiwa na utaratibu wake wa kufanya kazi na kupokea maelekezo toka kwa wakuu tofauti.
the Bold koma kabisa kuhumuhusisha Fidel Castro Ruz pamoja na kisiwa pendwa cha Cuba na uongo wako wa madawa ya kulevya ili upate sifa zisizo kua na faida yoyote katika jamii.
hasta la victoria siempre, patria o muerte venceremos, viva cuba libre, viva comandante fidel castro, viva comandante amigo Erenesto Che gueavara.
Cuba es nuestra madre, Cuba y comandante castro siempre estan en nuestra ideas y corazon.
hay qe tener mucho respecto cuando tu quere hablar la historia cubana y la historia de nuestra Fidel.
kwa kifupi fidel hakua na roho mbaya na ya unafiki kama unavyotaka kuwaaminisha watu hapa, hivi kweli castro afurahie vijana wa kimarekani wafe au wawe mateja? kama unayoongea yangekua na ukweli sisi tusingeishi maisha ya dhiki na kula wali uliochanganwa na maharage kila siku huku tukifundishwa uzalendo na ujasiri uliotukuka..........
Napendaga sana kusingia habari kinzani za uzi original kama hivi. Sasa namsubiri mleta UZI akane na hili then sisi tulio nje tuendelee kujifunza. Akikaa kimya nitajua source of his information ni majarida ya USA ambao since miaka ilee ni maadui wa Cuba na Fidel.
Hapo mwisho ulipomalizia nina kubaliana na wewe kwa 100%mimi nitatoa facts na uhalisia wa fidel pamoja na cuba kwakua sijaisoma au kuisikia tu bali nimeiishi na mpaka sasa asilimia 90 ya maisha yangu yamejengwa kwa itikadi na mafundisho ya ki cuba waliofika huko wanaelewa namaanisha nini, las negras banderas kule vedado ampapo kuna bendera nyeusi 1000 nini tulikua tunafanya in el diaz de ocutubre.......
naomba dunia itambue wamarekani ni washenzi na waongo saaana kwa ujumla ni wanafiki na wao ndio chanzo cha matatizo mengi duniani.