Plata O Plomo: Ulimwengu wa Siri Kiganjani Kwa Binadamu Mmoja[ Pablo Escobar]

Plata O Plomo: Ulimwengu wa Siri Kiganjani Kwa Binadamu Mmoja[ Pablo Escobar]

hivyo vikwazo vya kiuchumi vimetokana na sera za kipumbavu za Fidel Castro......mbona China sio nchi ya kibepari lakini haijawahi kuwekewa vikwazo? castro amewatesa sana Wacuba kwa sera zake za ujamaa wa kipumbavu na kuwaza ujinga ujinnga tu wa mapinduzi
uelezee huo upumbavu wa sera za castro....acha bla bla jaribu kujibu hoja kwa hoja je unazijua sera za ujamaa za cuba? je historia ya cuba wataka ifananisha na china? je hali ya kijiografia ya cuba dhidi ya marekani ni sawa na ya china? usiandike tu kwavile unajua kusoma na kuandika tafakari kwa kina kabla ya kuandika maana yaweza dhihirisha ujinga au werevu wako juu ya mambo flani
 
Eti wampe nakala balozi wa cuba kisha wamtafute The Bold, hivi kwanini watanzania tunapenda kupigana mikwara ya kijinga hivi?

mwabie tena aandike uongo wake na habari za kuchafuana halafu uone, kwa kifupi msifikiri kila mtu anapenda habari za kizushi na uongo wa kujifanya mjuaji wa mambo kumbe hakuna lolote....
 
mwabie tena aandike uongo wake na habari za kuchafuana halafu uone, kwa kifupi msifikiri kila mtu anapenda habari za kizushi na uongo wa kujifanya mjuaji wa mambo kumbe hakuna lolote....
Unachoshindwa kwenda sasa hivi kwa balozi kuripoti ni nini??

Nenda sasa... I dare you.!
 
ati "..The Bold koma kabisa.."


Listen guys... got no time kutukanana na watu humu mitandaoni.. Hatujuani that's why namuheshimu kila mtu na huwezi kunikuta nimetukana hata siku moja huu Mwaka wa nne niko JF..

Kulikuwa na uwezo wa kuwasilisha hoja zake kwa lugha ya staha tu tukajadili, kwa kusahihisha au kujazia nyama pale anapihisi pamepwaya.. Kulikuwa na umuhimu gani wa kutumia lugha ya kuudhi??


Let's do this..

Huyo ameishi Cuba toka utotoni, mimi hata Chalinze sijawahi kufika..
Huyo anamujua Castro inside out, mimi hata jina simjui..
Huyo ni msomi wa dar'ja la juu, mimi nimeishia la saba.!!


Problem solved.!! Let's move on with life.


Mbarikiwe sana..
Big up sana The Bold achana na huyo mcuba Bruce Lee, kama ameguswa aanzishe Uzi wake mwenyewe popote apendapo... Ila ni kawaida kupata challenges kwenye kila jambo, usirudi nyuma mkuu...
 
mwabie tena aandike uongo wake na habari za kuchafuana halafu uone, kwa kifupi msifikiri kila mtu anapenda habari za kizushi na uongo wa kujifanya mjuaji wa mambo kumbe hakuna lolote....
Mikwara hii ni ile ya old school, nasikia enzi hilo kila mtu usalama wa Taifa, sijui nani vile... Daaah, The Bold twende kazi mkuu
 
Unachoshindwa kwenda sasa hivi kwa balozi kuripoti ni nini??

Nenda sasa... I dare you.!
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] Sikuwezagi baba [emoji119] [emoji119]
Huyu ndo The bold wangu mimi [emoji8]
 
Ngoja niivutie kasi Jioni nitaisoma hii nafikiri ndio utakua mwanzo wa maisha ya kujisomea vitabu
 
wewe unaemjaza ujinga hujui kama tukiamua kua serious huyu the bold anaweza akaingia kwenye matatizo makubwa sana ni rahisi sana kutafsiri habari yake kwa lugha ya cuba na kumpatia balozi wa cuba tanzania pia kumfungulia kesi na kumuomba atoe ushahidi wa maelezo yake kua Mzee Castro alishiriki katika biashara ya mihadarati, naomba muwe makini najua wengi wenu hamjui castro kaifanyia mangapi nchi yetu pamoja na afrika kwa ujumla nashauri tusitumie vibaya huu uhuru wa mitandao.
ACHA MIKWARA YA KITOTO. KAKOJOE ULALE HUKO. USITUWEKEE USIKU SISI.
 
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] Sikuwezagi baba [emoji119] [emoji119]
Huyu ndo The bold wangu mimi [emoji8]
Huyu jamaa ana akili za ki-hamorapa [emoji23] [emoji23] [emoji23]
 
Jamaa alidhani utamuangukia [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]

"..mi mwenyewe 'down town' kitambo, level za jenerali labda ye ndo mgambo.."
 
Back
Top Bottom