Play Boy (The Jeff Rider)

Play Boy (The Jeff Rider)

"uhhf..! uhhf..! uhhf.."
jacky mpenzi.."
nilikuwa kama mtu aliyechanganyikiwa kwa
nilichokuwa nakiota kwani nilitoka hapo fasta fasta
nakusachi pesa mifukoni mwa suruali yangu
niliokuwa nimeitundika nyuma ya mlango, "..yees, nimeziona"
nilijisemea kimoyomoyo huku nikimwacha jaky
akinishangaa kwa ninachokifanya.
"jeff vipi mbona sikuelewi elewi..?"
"hapana jacky ngoja kwanza.."
nilimjibu nakuelekea mapokezi kuhakikisha kama kweli na godoro langu lipo au la..
"..kumbe na mi mjinga enh.."
nilijisemea peke yang huku nikijirudia zangu ndani
nakujua kumbe vile vyote vilivyonitokea usiku eti
mpaka na sex na michelle sura mbaya huku
nikimwacha jacky wangu akigalagala chini. Nilifika zangu chumbani nakujiandaa fasta tayari
kwa kwenda kwa madalali kushughlikia inshu ya
chumba..
~ NDANI YA GETTO JIPYA ~ Hatimaye tukafanikiwa kupata chumba maeneo ya
palepale magomeni.
"..sasa hapa jeff tumebakiza vitu vichache tu.."
"yap baby wangu lakini inanibidi niende tena k/
koo kumalizia vitu vilivyobakia.."
niliondoka zangu nakumwacha jacky akiendelea kupangapanga vitu pale ndani lakini nilipofika
kituoni tu,
"jeff mpenzi whre to..?"
"am.. mhh.. mhh.. helleiner mambo..?"
"safi., huku unaenda wapi jamani tangu jana siku
nzima nakutafuta kwenye simu hupatikani na hapa unaponiona nimetoka pale kwenu tulipokuja siku
ile sikumkuta mtu.."
moyo wa huruma ulianza kunitawala huku aibu
kubwa ikinishika nakuendelea kumwangalia
heleiner akilalamika.,
"helleiner sory pale nilishahama kwa sasa.." "kwa sasa nini? Kwanini hukuniambia jef kwanini?
Umeanza usiri wako enh'"
"tuliza jazba mpenz nikwambie basi.."
"haya endelea.."
kidume mimi nilijikuta ujari nikiuweka pembeni
huku nikimwambia kila kitu "heleiner, ujue nakupenda tena sana mpenz
wangu, uko tayari nikwambie kitu.?"
"yap jeff niambie.."
"pale, siyo kwetu halisi.."
"..kwanani sasa..?"
"pale ni kwa rafiki yangu tu ambaye wazaz wake wapo kenya.."
"jeff..! jeff..! sasa kwenu wapi..? Na kwanini uliamua
kunidanganya jeff..?"
"..najua nimetenda kosa ila nahitaji kusamehewa ili
nikwambie nakingine.."
"..nimekusamehe kwa moyo mmoja., haya embu niambie kingine ni nini jeff..?"
"..i have another girlfriend.."
"..which one jeff..? More than me..? Jeff are you
seriaz for what your talking..?"
"yes i am.."
"..jeff..? your going to kill me., Ohh my God..! why me.! why me..!"
nilikuwa nimeshaharibu japo haikuwa na jinsi zaidi
ya kumuweka wazi helleiner, angekuja kujua
baadaye angeumia sana bora nilivyomwambia
mapema.,
"jeff yuko wapi huyo mwanamke nimjue.?" "nipo naishi naye pale twende.."
tayari nilikuwa na moyo wa chuma hivyo
nikamchukuwa mkono helleiner mpaka getto
nilipopanga,
"..jacky sorry., kuna mgeni nimempata
amenirudisha aje akusalimie., helleiner karibu.." "jeff inamaana na hiyo mimba ni yako.?"
"..si nakuuliza wewe jeff..? Hiyo mimba ni yako..?"
"am.. mhh.. mhh.. ni story ndefu nitakusimulia tu
usijali.."
"story..? Story we Andy Ryn..? Jeff acha kunichefua
pliz.. pliz.." muda wote ambao helleiner alikuwa akilalamika
jacky alikuwa kimya mara akaanza kuongea,
"..samahani dada mbona umekuja kwa ukali
namna hvyo..?"
"..Sshhh..!! tena nyamaza.., unajua nimetoka wapi
na jeff..? Unajua vitu vingapi nimefanya naye..?" kidume mimi ushupavu na ujasiri nikaviweka
kando huku nikibaki mithili ya mume bwege tena
yule aliyemwimba bushoke..
Mzozo ulikuwa mkubwa sana mpaka nikahisi
ngumi zinaweza kutokea kati ya helleiner na jacky
kwani kila mmoja alijifanya yuko juu. "..jeff hivi unajua umenisaliti mara ngapi
nimekuacha sijafanya lolote.."
"..helleiner mbona hutaki kunielewa..? Mi kwa sasa
nipo na huyu sihitaji mwanamke yeyote pliz.."
"nini jeff..? Umempa mimba mfanyakazi wetu
michelle na tumembana akasema ni mimba yako na ulimpa siku ile ya beach tulivyoenda.."
kabla hajamalizia kuongea nilijihisi kama mkojo
unanichuruzika ukiambatana na kijasho
chembamba huku macho nikiyakaza haswa
haswa..,
"..michelle..? Michelle gani huyo..? Kwanza mi simjui huyo mfanyakazi wenu.."
ilinibidi niue soo pale pale ili jacky asielewe
chochote lakini kabla helleiner hajaendelea
kuongea kitu tulishangaa jacky akigalagala pale
chini mithili ya mtu anayeugua kifafa,
"jacky..? jacky my love..?" ghafla akawa kimya, nikamgusa mapigo yake ya
moyo yalikuwa yakienda kasi,
"..helleiner pliz tusaidiane tumuwaishe hospitali.."
"..usaidiane na nani..? Ulivyompa mimba
ulinishirikisha..?"
niliumia sana lakini haikuwa na jinsi nikambeba peke yangu mpaka nje nikampakiza kwenye tax
huku nikimwacha helleiner chumbani..,
nikaingia kwenye tax lakini kabla gari haijaondoka
nilisahau simu yangu chumbani ikabidi niirudie ile
nafika tu chumbani..,
"noo helleiner..!! pliz..!! pliz..!! <<< Inaendelea..
 
''..usifanye hivyo helleiner pliz.. pliz.."
heleiner alikuwa amechukuwa kisu akitaka
kujichoma nacho tumboni..
"..niache jeff nife sioni tena umuhimu wangu kuwa
hapa duniani.."
niliona kama ananizingua nikachukuwa kile kisu na kukitupa kisha nikachukuwa simu yangu
pamoja na yeye helleiner huku tukitoka nje,
tuliingia kwenye tax na kuelekea hospitali pale
magomeni.. ~ NDANI YA HOSPITALI ~ "Vipi dokta mgonjwa wangu anaendeleaje..?"
"..wewe ndo muhusika mkuu..?"
"ndio dokta.."
"nifuate ofisini.."
hofu kubwa ilioambatana na kutetemeka mwili
wote huku meno yakiumana, nilijikuta nikimfuata dokta ofisini kwake huku helleiner akinifuata
taratibu kwa nyuma.
"unaitwa nani.."
"jeffrey au jeff.."
"upoje na huyu binti mgonjwa..?"
"ni mchumba wangu naishi naye.." niliongea kwa kujiamini huku dokta akiendelea
kuandika maelezo, alipomaliza..,
"bwana jeff..?"
"ndio dokta.."
"mchumba wako tulimpokea vizuri nakumpatia
matibabu mpaka alipopata fahamu lakini kwa bahati mbaya.."
"unasemaje dokta..?"
"..kuwa mpole bwana jeff.."
"ok endelea.."
"..kwa bahati mbaya ile mimba aliyokuwa nayo
imeharibika ila yeye yupo mahtuti.." "noo.. noo.. dokta unanidanganya dokta.., why
me..? why me jeff..? ahh.."
tayari nilikuwa nimeshachanganyikiwa..,
"..bwana jeff..,tutajitahidi hali yake itakuwa safi tu
usijali.."
"noo.. noo.. namtaka mwanangu, why..? jamani why..? Shit..!!"
nilitoka nje huku nikilia huku na kule..,
"..nilikwambia jeff..?"
"..helleiner sitaki kukuona toka mbele ya macho
yangu pliz.."
"..jeff hata kama hunipendi mi niko tayari kukusaidia.."
"..sitaki tena msaada wako
wagonjwa pamoja na watu wengine walikuwa
wakinishangaa sana kwa jinsi nilivyokuwa
najibizana na helleiner, mara nesi mmoja akatokea
nakunifuata kisha.., "..nifuate
nilimfuata nyuma nyuma huku nikimwacha
helleiner peke yake pale,
"..dokta kanituma kwako.."
"ok.."
tuliingia hadi ofisini mwa dokta lakini hatukumkuta na kilichofanyika nilishangaa yule nesi akifunga
mlango na akashusha mapazia kisha akanifuata..,
"..mkeo wanamfanyia operesheni huko..?"
"..sasa huyo dokta uliyeniambia yuko wapi..?"
"..nimeshindwa kuvumilia kwa handsome kama
wewe nikuache.." "embu niondolee upumbavu wako.."
hakunisikia yule nesi zaidi yakunivua nguo zake
huku akivuta bomba la sindano nakunifuata.,
"..utake usitake uta sex na mimi tu leo...
"noo.. noo.. sipo tayari ku sex na mt nisiyemjua.."
"unasemaje..?" akawa amebadilika sura huku akikoki lile bomba la
sindano vizur akitaka kunchoma,
"..haya sema mara ya mwisho unakubali au bdo
unakataa..??"
nilijikuta nikilegea nakuanza kushka mpaja yake
sambamba na chuchu zake.., pale pale ckutaka kupoteza muda nikampiga midenda huku mikono
yangu nikiiamishia kunako..,
"..ulisema unaitwa nani vile..?"
"..utaelewa mwisho wa hapa..!"
nilikuwa nimeshamlegeza vya kutosha mpaka
akajikuta anaongea vitu visivyoeleweka, "..fanya uingze basi wewe..?"
"tulia kwanza si umeyataka mwemxewe"
nilimkamua vya kutosha mpaka nikajikuta
nasahau pale ni wapi na hbta nimefuata nimi pale.
Nilifanya kazi haswa mpaka a'c nikahic haifany kazi
kwani joto lilinizidia hivyo nikavaa nguo zangu nakumwacha yule nesi peke yake ofisini..
"..pole jeff.. pole sana..!"
"pole..? Pole yanini..?"
alikuwa ni helleiner akinisemesha baada ya kutoka
nje tu tena nikiwa nimelowa kajasho.
"heleiner.1? Uctake kunichanganya pliz..? Kwani umefuata nin hapa..?"
"nipo kwa ajili yako, na hata u sex na watu 50
bado ntakupenda na nitaku.."
mara akatoka yule nesi niliyesex naye muda si
mrefu akawa kama kidizaini amesikia alichokuwa
anaongea helleiner., kwani alipofika karibu alisimama kisha akamwangalia heleiner kwa jicho
la zarau kisha,
"..utabaki kuongea tu wenzio twala tena kwa staili
zote enhe.. hee.. hee.. nyooo.."
akaondoka zake huku akimwacha heleiner kafura
mdomo na sura kwa hasira kali, "jef jeff hata ungenisaliti vipi bado hunishawishi
kukuacha mpenz nakupenda sana.."
"mi sikupendi nenda uko.1"
"siendi popote hapa mpaka niondoke na wewe..,
nimekuchungulia vyote ulivyokuwa unafanya kule
ofisini kwa dokta.." "kama umeona..?"
niliona kama ananichanganya tu kwani alikuwa
haeleweki kabisa, mara dokta akatokea.,
"bwana jeffrey.."
"ndio dokta.."
"zoezi tuliofanya muda si mrefu tumelimaliza.." "..enh imekuwaje dokta.."
"..pole sana lakini we mtoto wakiume jikaze
bwana.."
"..mbona sikuelewi dokta..?"
"..yule binti uliyemleta hapa hatunaye tena.."
"whaaat..? Dokta..! dokta mbona sikuelewi..?" "..hujaelewa nini hapo..? Yule binti amefariki
kutokana na kushonwa vibaya sehemu ya uzazi.."
"ok dokta asante.., ubarikiwe..! asante sana..!
asante..! asante..! narudia tena asante...!
"..safi sana tena bora, safi dokta.."
aliropoka helleiner kwa sauti ya juu huku akiruka ruka akicheka..
"..jeff..? Sasa ndoto zangu zitakuwa zimetimia
asilimia 100.."
alinijaza hasira kali nakujikuta nimeunyanyua
mkono wangu nakumtandika bonge la kibao
mpaka dokta akaingilia kati.. "Noo.. noo.. jeffrey usifanye hivyo.. Kwanza
samahani kwa kusababisha ugomvi..
nimekudanganya bwana mkubwa.."
"whaaat...?"
tulijikuta mimi na helleiner tukiongea kwa
pamoja.." "..unasema dokta..?"
"..kumbe hauna moyo wa uvumilivu kijana.. Mkeo
mzima bwana ondoa shaka nenda wodi ile pale
ukamuone.."
nilikuwa sijiamini amini huku nikizidisha spidi na
helleiner akinifuata kwa nyuma, kabla hatujafika wodini tukapishana na maiti ikiwa kwenye kitanda
ikikimbizwa monchwari kiubishi nikaifunua,
"..jacky my love umekufa..? Jacky umekufa..?"
manesi wakaendelea na safari yao huku
wakiniacha na hasira kali na mbele yangu uso kwa
uso macho yangu yakakutana na michelle sura mbaya akitokea ile wodi aliyokuwepo jacky huku
akivua groves mikononi kisha akaongea kwa sauti
ya juu..
"...mi ndio michelle na bado wewe..
nilijiisi kama nimechanganyikiwa huku nikizidisha
kasi kuelekea lile eneo ambalo alikuwa amesimama michelle sura mbaya huku helleiner naye akinifuata
nyumanyuma na nilipofika karibu tu..
"...ooh shit kumbe sio mwenyewe..!"
nilijikuta naongea peke yangu huku aibu kubwa
nilipofika karibu nikamshuhudia yule mtu hakuwa
michelle sura mbaya kama nilivyodhania hivyo nikashusha pumzi nakuingia mpaka mule wodini
ndani nakuangaza huku na kule nikimwangalia
jacky wangu..
"...oh jacky my love ar u okey..? Pole baby
wangu..!"
nilijikuta nikimkumkumbatia jacky japokuwa alikuwa bado kawekewa dripu na anapumulia
mirija na hawezi kuongea kabisa, nilikuwa nalia
mwenyewe kwa uchungu huku nikiendelea
kumwangalia. Mara..
"..jamani muda wakuona wagonjwa umeisha
nawaombeni tuwapishe wapumzike.." ilikuwa ni sauti ya nesi akituondoa,
nilitoka huku bado sijielewi huku helleiner akiwa
kimya akinifuata nyumanyuma mpaka stendi ya
daladala nayeye akapanda,
"..helleiner unaenda wapi mbona sikuelewi..?"
alikaa kimya bila kunijibu chochote na machozi yakimtoka na mwili wake ukimtetemeka, ndani ya
muda mchache nikawa tayari nimeshaingia getto
kwangu na nilipoingia tu helleiner naye akaingia
kisha akafunga mlango kwa funguo nakuvua
nguo zake zote akabaki mtupu kabisa kisha..
"...jeff mpenzi., sasa ni muda wangu wa ku sex na wewe.."
"..nani mpenzi wako..? Ennh..? Sinakuuliza wewe
mpumbavu..?"
"..jeff..?"
alijaa hasira nikamshuhudia akifuata nguo zake
kisha akachomoa burungutu la hela kama milioni nakutupa kwenye godoro..
"..jeff hii ni kwa ajili yako.. Nakupenda jeff wangu
na naumia vingi kwa ajili yako so pliz chukuwa
mwili wangu.."
"..unasemaje..?"
"..nakukabidhi mwili wangu jeff.." "..unanikabidhi enh.."
"..ndio jeff mpemzi wangu.."
nilitoka fasta nikachukuwa birika la umeme
nakujaza maji kisha yakapata moto nikalichukuwa
nakutaka kumwagia ile namwaga tu mara. Mara
simu ya helleiner ikaita fasta fasta akapekuwa kwenye nguo zake akaichukua akaiangalia kisha..
"...jeff simu yako iko wapi..?"
nikajisachi mfukoni lakini sikuiona nikazidi
kuchanganyikiwa nakumuliza helleiner..
"..embu niambie vizuri helleiner hujaichukuwa simu
yangu..?" "..ndo nakushangaa kwani simu yangu inaita na
linatokea jina lako.."
helleiner aliipokea nakuweka loudspeaker kujua
nani anayo simu yangu..
"..halow"
"..namtaka mume wako yuko wapi..?" "..kwani wewe nani..?"
"..unajifanya mbishi siyo..?"
ilikuwa ni sauti yakike ikimkolomea helleiner
kiukweli ile sauti ilikuwa ngeni masikioni mwangu
hivyo nikaichukuwa simu ya helleiner nakuongea
naye mwenyewe, "..halow we nani..?"
"..oh mpenzi mara hii umenisahau sauti yangu..?
We sinemekupa mahaba mpaka ukaisahau simu..?"
"..kwahiyo hutaki kutaja jina lako siyo naomba
nirudishie simu yangu sasa hivi..?"
nilikuwa nimeshamjua na alikuwa ni yule nesi niliyesex naye kule hospitali na ndipo nilipoisahau
simu yangu..
"..njoo uchukuwe simu yako mpenzi..?"
"..uko wapi..?"
"..kwa sasa nipo mwananyamala hapa newcastle
bar nakusubiria ufanye haraka.." nilikata simu nakuvaa viatu ile nataka kutoka nje tu
helleiner akanivuta shati.."
"..jeff pliz hakuna kwenda.. Kama tatizo ni simu
twende nitakununulia nyingine au chukuwa hii ya
kwangu.."
"..hapana helleiner kuna namba nyingi kwenye laini yangu.."
"..kama ni hivyo twende wote huko..."
helleiner alivaa nguo zake fasta fasta kisha
akanifuata kwa nyuma nilijitahdi kumkwepa
kwepa japo kwa kupanda daladala nyingine hata
hivyo nikafanikiwa kumwacha pale stendi huku nipanda daladala nyingine mpaka mwananyamala
na nilipofika tu nikaongoza moja kwa moja mpaka
kwenye ile bar nakumkuta yule nesi na kwa mtda
huu alikuwa amebadilisha nguo za kazini hivyo
akawa mzuri zaidi na aliponiona tu akanifuata
nakunikumbatia.. "..haya naomba simu niondoke hapa..
"..tulia basi mpenzi wangu mbona unaharaka
hivyo..?"
"..pliz pliz mi siyo mpenzi wako na nadhani
unamjua mke wangu.."
"..nikwambie kitu..?" "..enhe sema"
"..ona funguo huu hapa wa hapa gesti na
nimeshalipia kila kitu twende basi.."
"..kweli unanichekesha."
niliivuta simu yangu kwa nguvu huku helleiner
naye akifika eneo lile na alipofika tu akaanzisha vurugu kwa kumvaa yule dada,
"..jeff jeff mwanangu yuko wapi..? Na hawa
wakinanani wanaokugombania..?"
ilikuwa ni sauti ya mama yake na jacky akiniuliza
kwani alikuwa pembeni anakunywa tena nadhani
alikuwa na baba jacky., "..si nakuuliza jeff..?"
nilijihisi mkojo unanitoka kwani baba jacky
alinifuata nakutoa kikaratasi chenye namba ya RB
ya polisi kisha..
"..jeff nioneshe mwanangu alipo au twende polisi
chagua moja..."
 
"..Nimesema nioneshe mwanangu alipo la sivyo
unaenda kuozea gerezani leo leo.."
"..Jacky yupo hospitali anaumwa.."
"..kwa hiyo kama anaumwa wewe ndio kidume
unagombaniwa na wengine si ndiyo jeff...?"
Baba Jacky aliendelea kuwa mkali kama mbogo huku akinishika shati langu vilivyo nakuniamrisha
kwenda huko hospitali alipo mtoto wake.
Mwili wote ulikuwa umeshanilegea huku meno
yakiumana nakutamani labda ningetoroka lakini
haikuwezekana kutokana na kushikiliwa sana.
"..mtoto wenu hana tena mimba imeharibika na yupo hoi hospitali twendeni mkamuone..."
Aliropoka yule nesi aliyekuwa anapigana na
helleiner hivyo akamzidishia hasira baba jacky,
ndani ya nusu saa tulikuwa tayari ndani ya geti la
st. Bernard huku tukiwa na mama na baba jacky
pamoja na helleiner na yule nesi, giza lilikuwa limeshatawala hivyo tulivofika tu walinzi
wakatuzuia kuingia, hapo hapo baba jacky
akamfuata mlinzi mmojawapo nakumnong`oneza
kitu kisha akatoa hela kidogo nakumkabidhi yule
mlinzi akaturuhusu kuingia,
"...Haya jeff nielekeze mwanangu jacky yupo wodi gani?"
"...yupo kwa wodi za upande wa kule wodi ya
kinamama.."
tuliongozana mpaka wodini na tulipofika tu..
"...hivi kumbe ni kweli...!!! Jeff kwanini unataka
kuniulia mwanangu..?? kwanini eeenhh..? kwanini umesababisha mimba itoke eenhhee...? au mlitaka
muitoe..?"
"..hapana mzee ni kwamba tuli..."
kabla sijamalizia kujitetea nilishangaa napewa
bonge la kibao..
"..Mshenzi mkubwa wee na lazima ukaozee jela au kwangu mpumbavu mkubwa wee.."
aliniburuta kuelekea nje huku damu nyingi
zikinitoka puani nakujiona ni mtu asiye na bahati
bali nuksi tena kama hivi
"..nisamehe baba jacky.."
"..nanai akusamehe..? si unajifanya kidume siyo..? sasa leo utarudisha ada yote niliyomsomesha
mwanangu.."
aliendelea kuwa mkali mpaka akanitisha kwa jinsi
alivyokuwa,
aliponifikisha nje tu mara..
"..Babab jacky...? baba jacky..? fasta fasta baba jacky akaniacha nakukimbilia
ndani mule wodini alipokuwa akiitwa na mama
jacky huku akiniacha pale nje na helleiner,
".. jeff hapa hapatufai tutoroke mpenzi wangu..?"
"..hapana helleiner wacha nikaone ndani kuna
nini.." "..noo jeff pliiiz usiende huko yule baba jacky
atakupiga tena.."
"..nimesema niaaaaaaaaacheee...!!!!"
nilitoka pale kibishi huku nikiingia ndani mule
wodini huku nikimwacha helleiner nje na nilipofika
ndani tu nikamshuhudia yule nesi niliye sex naye akimtoa jacky mirija ya oxygen kuashiria kuwa
jacky ameshakufa..
nikaongeza spidikuelekea ile sehemu na
nilipokaribia tu manesi wakawa tayari
wameshaufunika mwili wake huku wakiukokota
kuelekea monchwari.. "..nooooooo.......!!!!!!" ******* "...uuuuhhhfff...!!!! uuuuhhhfff.....!!! hapa wapi..?"
"...tulia jeff kwani kuna nini mbona upo hivyo
enhe..? umeota nini..?"
kiukweli bado nilikuwa sijitambui zaidi yakujikuta
nikiwa kitandani na helleiner tumelala tena ni
subuhi.. "..jacky wangu yupo wapi..?
"..jeff..? jacky si yupo hospitalini.."
akili yangu ikaanza kurudi taratibu nakutambua
kuwa kumbe jacky hakufa ila ilikuwa ni ndoto tu
na mara ya mwisho nakumbuka tulitoka wote na
helleiner tukaja hadi hapa getto kwangu na helleiner akavua nguo zake zote kisha alinifuta
hapa kwenye godoro langu sa sikumbuki
ilivyoendelea lakini ni kweli kabisa jacky wangu
tulimwacha hospitali kalazwa.
Fasta fasta nikahamka nakujiandaa kisha
nikatengeneza uji tayari kwa kwenda hospitali kumcheck jacky.. ~ NDANI YA HOSPITALI ~ Ndani ya dakika kama 10 nilikuwa tayari nipo pale
hospitali ya st. Bernard na helleiner, tulipofika tu
tuliongoza mpaka wodi aliopo jacky lakini
hatukumkuta nikajipa moyo huenda amepelekwa
chooni kujisaidia hivyo nikaandaa mazingira fresh
tayari kwa kumuhudumia akija, ".. helleiner wewe mwanamke mwenzake mimi
siruhusiwi embu nenda kamuangalie basi huko
chooni aje tumpe uji.."
helleiner alinielewa nakuniachia simu yake
nimshikie huku akielekea chooni kumchukuwa
jacky.. nilisubiri sana takribani dakika 10 bila kumuona
yeyote, mara ile simu ya helleiner alionichia ikaingia
meseji;;
fasta fasta nikaifungua nakuisoma kabla hajarudi.. ` DADA NIMESHAFANIKISHA KUMTOA, SASA
UNAKUJA SAA NGAPI HUKU..? UKICHELEWA
NITAMUUA MWENYEWE KABLA JEFF HAJAJUA..` Kidizaini sikuielewa elewa vizuri ile meseji ilinibidi
kuiangalia mara mbili mbili ile namba,
"..OOoooh my God..? si namba ya michelle sura
mbaya hiii..? wanataka kumuua nanai sasa? jacky
wangu..? aahaa aaahaaa no no haiwezekani.."
nilijikuta naongea mwenyewe kimoyomoyo huku nikienda chooni kuhakikisha..,
"..Helleiner...? helleiner...?"
kimyaaa,sikusikia chochote nikazidi
kuchanganyikiwa nikashuka mpaka mapokezi
kuulizia,
"..si yule dada uliepanda naye muda si mrefu..? "..ndio huyo huyoo, kaelekea wapi..?"
"..katoka sasa hivi sijui kaelekea wapi...?
"..na mgonjwa wangu niliomleta jana..?"
"..yule mbona alikuja kuchukuliwa leo asubuhi na
dada yake na ameshamlipia gharama zote.."
"..dada yake..? mbona jacky hana dada jamani..? anaitwa nani huyo dada..?"
"..anaitwaaa.. Michelle na amesaini hapa, anatokea
mwananyamala..!!"
"..noo... noo... nesi ona sasa wameenda kumuua
mchumba wangu.."
mwili wote ulimilegea huku mate yakinitoka na kichwa kuniuma nisielewe cha kufanya,
fasta fasta ikanibidi nikodi teksi mpaka
mwananyamala ili niwahi kabla hawajamuua,
"..sasa kwanini aliniachia hii simu..?"
nikati ya maswali niliokuwa nikijiuliza huku
nikikaribia maeneo ya mwananyamala, "..nishushe hapa hapa,chukuwa pesa yako.."
nikashuka mitaa yakina helleiner kisha nikaingia
dukani kununua kisu kisha nikakificha ndani ya
suruali nakuelekea huko..
"..yeyote nitakayemkuta ni halali yangu.."
Kadri nilivyokuwa nakaribia kwa kina helleiner ndivyo hasira zilikuwa zikinizidi,hatimaye ndani ya
dakika kama 3 nikawa getini kwao nikagonga
lakini aliyetoka alikuwa ni mama yake na helleiner
kwa jinsi alivyokuwa anaonekana,
"..shikamoo mama.."
"..marhaba mwanangu karibu.." "..mama mimi hata si mkaaji ila namuulizia helleiner
au michelle sijui nimewakuta..?"
"..hujapishana nao..? wametoka hapa sasa hivi..?"
nilizidi kuchanganyokiwa huku nikijiondokea pale
nakumwacha mama yake helleiner
akinishangaa,kwani hata sikumuaga zaidi ya kuondoka pale..
"..sasa watakuwa wameelekea wapi mungu
wangu..?"
ni kati ya maswali niliokuwa nikijiuliza mwenyewe
bila ya kupata majibu, kwakuwa bado nilikuwa na
simu ya helleinr akiliikanituma nijaribu kumpigia simu michelle sura mbaya huenda wako wote
kweli, fasta fasta nikasachi namba ya michelle sura
mbaya nakumpigia..
"..hallow michelle..!!"
"..yap jeff mambo..!!"
"..michelle pliz naomba uniambie helleiner yupo wapi..?"
"..dada helleiner nimemucha nyumbani na mimi
nipo njiani naelekea bagamoyo.."
"..michelle..? usinifanye mimi mjinga pliz.., hivi
unajua nimetoka kwenu sasa hivi na mama yenu
kaniambia mmetoka wote..?" nikiwa bado naongea naye kwa sauti ya juu mara
michelle sura mbaya akanikatia simu hivyo
nikajaribu kupiga tena lakini ikawa simu yake
haipatikani..
"..well done..!! well done jeff..!!!"
ilikuwa ni sauti ya dada mmoja aliyekuwa pembeni yangu akinisikiliza nilivyokuwa naongea na simu
kisha akanipigia makofi, nadhani alikuwa akimjua
vizuri helleiner..
"..jeff acha kuteseka kisa mapenzi jamani..?"
"..unasemaje..? kwani wewe nani..? na unamjua
helleiner..?" "..ahhaa haaaa haaaaa.., hapa mtaani kote wanajua
mimi na helleiner tukoje.. she iz my best friend na
mimi naitwa violet vivah ukipenda niiteio vio na
wewe nilikuwa nakusikiaga tu kumbe ndio jeff
wewe..?"
"..so pliz vio helpme..!! yupo wapi helleiner..?" "..nikwambie kitu wewe mkaka sijui ndo jeff....!"
"..nifuate kwa nyuma nikakuoneshe alipo.."
Moyo wa matumaini ulianza kunijia ingawa lengo
langu kubwa lilikuwa nikumpata jacky wangu,
tuliongozana naye mpaka kwenye nyumba
niliokuwa siifahamu kisha tukaingia mpaka ndani japo kulikuwa hakuna mtu hata mmoja..
"..subiri hapa hapa sebuleni nikakuitie.."
akaingia muleda akatoka na simu yake..
"..haya ongea naye kwenye simu.."
"..hallow helleiner, uko wapi na jacky wangu..?"
"..jeff mpenzi nipo huku bagamoyo na jacky wako niko naye anatibiwa na mganga wa kienyeji
usihofu atapona tu.."
"..what...? unasemaaa.....???"
hasira kali zilinijaa mpakakufikia yule yule dada
akanipora simu yake nakuikata..
"..umeshajua ukweli sasa..? haya unataka kupelekwa..?"
"..pliz Vio nipeleke nikawaone.."
"..so, unataka upelekwe sio..?"
"..ndio nipeleke.."
nikamshuhudia akiingia tena chumbani nakutoka
na baunsa lenye bonge la mwili huku akiwa amevalia miwani meusi kisha akaniambia..
"..twende chumbani ukamuone huyo helleiner
wako.."
nguvu ziliniishia,sikuwa na jinsi ikanibidi nijikokote
hivyo hivyo mpaka huko chumbani huku nikiwa
bado sijielewi elewi kama kweli helleiner yupo chumbani,ile naingia tu..
"..jamani helleiner nimekukosea nini..? jacky
amekukosea nini..?"
nilijiona kama mikosi inaendelea kuniandama
mpaka nikatamani kama ingekuwa ni ndoto tu,
kwani jacky alikuwa ameningi`inizwa na kamba mithili ya mtu aliyejinyonga huku helleiner na
michelle sura mbaya wakimpulizia moshi wa sigara
kwa zamu..
"..ooohh karibu jeff..."
"...jeff plız tusamehe.."
"..awasamehe nanı wapumbavu wakubwa nyıe.." nılıanza kwa kumfuata kwanza mıchelle sura
mbaya huku mkononı nıkıwa na kıle kısu bıla
kupoteza muda nıkamchoma nacho mıchelle.,
"...jeff plız usıue bado nakupenda jeff wangu.."
ılıkuwa nı sautı ya chınıchını ıkıtokea kwa
mchumba wangu jacky alıyekuwa amenıng'ınızwa kwa juu nakunıfanya nısıtıshe lıle zoezı huku mwılı
wote ukınısısımka na pembenı yangu helleıner na
vıo wakıtoa machozı nakunıtazama,
"..jacky mpenzı mzıma wewe..?"
nıkaanza kumfungua zıle kamba alızofungwa
haraka haraka kısha nıkamuweka beganı nakutoka naye mpaka nje nakuwaacha helleıner
na vıo wakımlılıa mıchelle..
"..nıwaıshe ubungo fasta.."
nılıchukuwa tax nakuondoka tena kwa kası ya
ajabu huku nıkımwacha helleıner mule chumbanı
akıwa na zıle maıtı.. "..atajıjua kwanza shaurı yake kwanı mı ndıo
nılıowatuma wamtese jacky wangu.."
nılıjıkuta naongea peke yangu kwa sautı ya chını
chını huku nıkımtolea macho ya huruma mpenzı
wangu jaky. <<Itaendelea….
 
*** Ndani ya dakika kama 15 tayari nılıkuwa ndanı ya
Ubungo tena katıka zıle stendı za mabası yaendayo
morogoro..
"...mpaka moro naulı sh. Ngapı..?"
"..elfu 6 na mıa 5 tu bro.., unataka tıketı ngapı..?"
"..chukuwa hıı elfu 12 bhana tufanyıe tıketı 2..." "..pouwa usıjarı mwana.."
tulıfanıkıwa kupata bası la Hood lakwenda mpaka
moro, nılımpakıza mchumba wangu Jacky kısha
safarı ya kuelekea morogoro ıkaanza..
Njıa nzıma jacky alıkuwa nı mtu wakulala tu na kıla
akıshtuka nılıkuwa nıkımsogezea mfuko karıbu hıvyo alıkuwa nı mtu wakutapıka tu tena kama
nyongo kwanı matapıshı yake yalıkuwa nı yale ya
njanoo..
"..pole jacky mpenzı, usıjarı utapona, utapona
beıby.."
"..noo jeff sıwezı kupona.. sıweeezı..!!" jacky alıonesha kukata tamaa kabısa ya kuıshı,
kwa sautı ya kukauka tena ıle ya kwa mbaalı
alıyokuwa akııtoa dhahırı utasema haponı, kıdume
sıku zote hachokı kumpa mwanamke pole tena
ukıwa unampenda kwa dhatı.
Jacky alıpata tena usıngızı, hıvyo nıkabakı nımezubaa tu peke yangu huku safarı ıkıendelea,
nılıchungulıa kwa nje nıkagundua kuwa hapa moja
kwa moja tupo maeneo ya chalınze kwanı bası
lılısımama kıdogo,
"..samahanı kaka..?"
ılıkuwa nı sautı ya mdada alıyekuwa amekaa sıtı ya nyuma yangu nıkageuza macho yangu
kumuangalıa anataka nını.., akatoa notı ya sh. Elfu
1..
"..naomba unınunulıe vocha ya tıgo hapo nje,mı
dırısha langu halıfungukı hapa.."
nılımchukulıa nakumkabıdhı, kısha akanıangalıa mara mbılı mbılı huku akınılegezea macho ya
uchokozı na mdomo akıulamba lamba kısha
akanıangalıa usonı mwangu nıkamshuhudıa
akıvuta pumzı juu juu, akaamısha macho yake
nakumuangalıa jacky wangu..
"..mpe pole mgonjwa namuona kalala.." "..hapana wala sı mgonjwa.. Nanı kakwambıa nı
mgonjwa..?"
nıkamkazıa macho.
"..nımekusıkıa njıa nzıma ukımbembeleza
nakumwambıa atapona tu.."
"..aah okey ahsante kwa nıaba yake.." nıkashangaa yule dada yanı kama alıkuwa
anatafuta njıa ya kunıongelesha sıjuı,
"..mnaelekea moro enh..?"
"..ndıo."
mara garı ıkaendelea na safarı yake hıvyo yule
dada akakaa kwenye sıtı yake vızurı.. Nılıjıkuta napıtıwa na usıngızı mkalı na nılıpokuja
kushtuka nılıkutana na kıjıkaratası mıkononı
mwangu na sıjuı kılıkuwa kımetokea wapı kılıkuwa
kımeandıkwa hıvı..
"..my number 0713214656 call me Esther.. Luv u
Boy..!" nılıbakı kama nımepıgwa na butwaa huku
nısıelewe kımetokea wapı? Nıkamwangalıa jacky
wangu bado alıkuwa usıngızını, mara yule dada
nılıyomnunulıa vocha kule chalınze akageuka na
kunıangalıa,kısha akanıkonyeza nakunıpa busu la
kwa mbalı lıle la chını chını nakunıtamkıa maneno, "..N a k u p e n d a a a a a h h..."
nıkamnyoshea kıdole cha kumkalıpıa lakını tayarı
jaky wangu kwa muda huu alıkuwa ameshaamka
na amekıchukuwa kıle kıkaratası nayeye
akıkısoma kısha akanıtızama mımı na yule dada.. .
".. Jeff kwanını unataka kunısalıtı tena jamanı..?" "..Noo Jacky kwanı vıpı mpenzı wangu..."
"..Hıkı kıkaratası kımetokea wapı sasa.."
"..Mmmh, ammh, mmh... Kıtakuwa kımedondoka tu
hapa bahat..."
Kabla sıjamalıza kujıtetea nıkamshuhudıa Jacky
akıjıpında pında huku akııkunja sura yake kana kwamba kunakıtu cha uchungu kımempata..
"..Jeff nakufa., Nakufa Jeff wangu ona.."
Sehemu ya beganı kwake kulıkuwa kumebadılıka
rangı nakuwa nyeusı sana huku damu yake
ıkıvılıa.,
"..Kwanı vıpı umefanyaje tena hapa..?" "..Kule ulıponıtoa, wale kınadada walınıtesa sana
Jeff., wamenısababıshıa maumıvu ya ndanı kwa
ndanı hıvyo naumıa sana Jeff.. naumıa mımı..."
Nılımshıkashıka kama namkanda kanda hıvı
mpaka usıngızı ukampıtıa.
Haraka haraka nıkachukuwa şımu yangu mfukonı nakuıngıza namba ya sımu kutoka kwenye kıle
kıjıkaratası alıchonıtupıa yule mdada wa sıtı ya
karıbu yangu..
Nılıpomalıza kuıfadhı ıle namba pale pale
nıkamtumıa ujumbe mfupı..
"...NAKUOMBA UNIACHE NA MCHUMBA WANGU PLIZ USINIHARIBIE.."
kısha nıkamtumıa kupıtıa ıle namba ya kwenye
kıjıkaratası.
Haıkuchukuwa muda akawa amesharudısha
majıbu,
"..KWA BOY KAMA WEWE SIWEZI KUKUACHA.. WAJUA NAKUPENDA..! TENA NIPO SERIOUZ..?"
Ilınıbıdı kukaa kımya bıla ya hata kumjıbu kıtu
chochote, nılıona anataka kunıletea mambo
yaleyale yakına helleıner nılıyoaçha kulee..
Nılıchokıfanya nıkaızıma sımu yangu nakuırudısha
mfukonı.. **** Ilıtuchukuwa kama lısaa 1 na nusu kufıka katıka
huu mkoa wa morogoro, Ilıkuwa nı mıda ya jıonı
sana kwenye saa 12 hıvı kwanı kale kaubarıdı kwa
mbalı ndıcho kalıchomfanya hata na Jacky wangu
kushtuka kutoka usıngızını..
"..Jeff naskıa barıdı.. Na kıchomı kımenıanza.." "..Jıkaze mpenzı wangu, tumeshafıka sawa..?"
"..Saaawa.."
Tulıshuka kwenye bası kısha nıkamchukua Jacky
wangu ıle nataka kuondoka tu nılıshangaa
naguswa beganı..
"..Samahanı we mkaka.." Alıkuwa nı yule yule mdada alıyekuwa
akınısumbua ndanı ya bası., Nılıjawa na hasıra
ghafla..
"..Unasemaje..?
"..Utakuja nıkumbuka tu na lazıma unıtafute.."
"..Unasıkıa..? Kukumbuka haıtakuja kutokea hata sıku moja, na sıwezı kukutafuta mpumbavu kama
wewe.."
Nılımwangalıa kwa jıcho la dharau huku jacky
wangu naye akımtolea macho.
Akachukua taksı nakutuacha pale tukısubırı usafırı
wa kwenda mjını japo tukakodı gestı yeyote.. Kwakuwa hatukuwa na mızıgo yoyote tukapanda
daladala na ulıpofıka muda wa konda kudaı naulı
ndıpo..
"..shııt..!! Jacky mpenzı nımeshapoteza pochı
yangu.."
"..Kwanı umeıpotezea wapı tena..?" "..Kwenye bası.. Kwenye bası Jacky hakuna
kwıngıneko, tema atakuwa yule yule dada
ameıokota..!"
"..Dada..? Dada yupı tena.?"
"...Si unakumbuka tuliposhuka tu. Kunadada
alinishika bega..?" "..nimekumbuka.."
"..enhee huyo huyo.. Lazima atakuwa kaikokota
pochi yangu kwenye basi.. Ni yeye tu.."
Ilikuwa ni mshikemshike ndani ya daladala kwani
kondakta hakutaka kutuelewa kabisa kuwa eti
hatuna nauli, tulitukanwa sana na kudharauliwa ndani ya daladala na yule konda mpaka mmoja wa
abiria akasimama na kuongea na kondakta..
"..Konda kuwa muelewa, hawa watu
wameshakuambia kuwa wamedondosha pochi,
kwanini hutaki kuwaelewa..?"
"..Skia nikwambie mzee, we hujui tu, hapa mjini kuna matapeli wengi tu., hawa wezi tu..!"
"..basi mi nawalipia nauli hao unaowaita matapeli.,
konda gani we usio na ubinadamu..?"
yule mzee alitoa noti ya shilingi elfu 1 nakutulipia
nauli mimi na Jacky wangu..
"..Ahsante sana mzee wangu.." Nilimshukuru huku aibu kubwa ikinishika lakini
haikuwa na jinsi kwa kilichotokea.. *** Haikuchukuwa mwendo sana kwani ndani ya
dakika kama 15 tayari tulikuwa morogoro mjini
tukitokea Msamvu.. Giza lilikuwa limeshatanda,
halmashauri yangu ya kichwa ikafanyakazi fasta
kuwa nikiendelea kukaa hapa stendi bila yakuwa
na pesa yeyote nitadharirika na kuaibika hivyo nikanyanyua ile simu yangu nakumpigia yule
mdada tuliepanda naye basi..
"..hallow.."
"..yas naongea na nani..?"
"..Jeff Ryder, yule kaka uliepanda naye basi moja
kutoka Dar leo.." "..Anhaa naongea na yule boy aliekuwa ati na
galfriend wake..?"
"..ndio, nahtaji kukuona sasa hivi..?"
"..right now..? (sasa hivi..?) ok njoo mpaka Boma
Road karibu na magorofa ya Canvas, ukifika nipigie
simu.." Sikutaka kuchelewa kabisa fasta fasta nikaulizia
boma road nakumbe hakukuwa ni mbali hivyo
nilijikongoja na Jacky wangu hivyo hivyo japo
alikuwa akijikongoja kutokana na kuumwa
kwake..
Ndani ya dakika 20 tulikuwa maghorofa ya Canvas hivyo nikanyanyua simu yangu nakumpigia huyo
dada..
"..Tumeshafika.."
"..Mko kwa wapi..?"
"..Hapahapa getini kama unataka kuingia humu
ndani maghorofani.." Haraka haraka akaja mpaka pale tulipo, hasira kali
zilinishika huku nikiendelea kuamini kuwa ni yeye
tu atakuwa aliichukuwa pochi yangu kwani
alionesha kuwa karibu sana na mi kwenye basi na
hata pale niliposinzia alinitupia kikaratasi
nakuniandikia namba yake ya simu, "..ole wake aniambie tofauti nazaa naye hapahapa
na ndo atamjua Jeff Ryder ni nani..?"
Nilijikuta nikiongea mwenyewe kimoyomoyo huku
nikiendelea kumtizama yule dada ambaye kwa
muda huu alikuwa ameshafika mbele ya macho
yetu pale getini.. "..Karibuni..!"
"..Hatuna haja ya kuingia wala kupajua kwako.."
kwa hasira nilizokuwanazo nilimshikilia nguo zake
kwa nguvu zote huku nikimtikisa..
"..where is my wallet..? (pochi yangu iko wapi..)"
"..wallet..? What kind of wallet..?(pochi.? Pochi ya aina gani..?)"
"..Nimepoteza pochi kwenye basi tuliopanda na am
sure 100% utakuwa wew umechukuwa tu..!!"
"..How sure you are..?(una uhakika gani..?) ati
nskize kwa makini we mkaka, kama umetumwa
hapa kwangu hupati kitu, nikuibie pochi boy kama wewe ninadhiki gani mie..?"
Yule dada alianza kuongea kwa jazba nakufanya
hadi nianze kuamini huenda namsingizia,
alilalamika sana mpaka Jacky wangu akaingilia
kati..
"..Tumekuja hapa kujua tu kama uliichukuwa kwa bahati mbaya turudishie.. Embu tuonee huruma
hiyo pochi ndio inakila kitu hata kadi yangu yake
ya benki na pesa zakuniuguza, embu tuangalie
hatuna hata nauli na hata hela ya gesti hatuna.."
Maneno makali aliokuwa akiyatoa Jacky kwenda
kwa yule dada yalimfanya yule dada kukaa kimya kwa muda mrefu kisha..
"..Naomba nieleweke jamani, sijaichukuwa pochi
yenu, na niko tayari kuwapa hifadhi kwangu
kwani naishi alone.."
Ilinibidi kumuachia Mungu tu kwa yote huku akili
yangu yote nikiielekeza nijinsi gani nitaishi na Jacky wangu katika huu mkoa tena bila yakuwa na
hata senti tano., Tuliingia kwa yule dada alikuwa
akikaa ghorofa ya chini tena peke yake huku
akiwa amekamilika kwa kilakitu mule ndani,
Tulifikia sebuleni huku akielekea jikoni na baada
ya muda alituletea juisi kisha.. "..Jamani karibuni., kuweni wavumilivu nipo
napika huku jikoni.."
"..poa usijari.."
Jacky alitaka kwenda kumsaidia lakini nilimzuia
kutokana na hali yake kiafya kwani hakuwa
akiendelea vizuri.. Ndani ya dakika kama 20 tayari alituletea hotpot
lilokuwa limejaa mapocho pocho kama kuku rosti
na wali tena ule wali maua, kwa njaa niliokuwa
nayo nilijihisi kama minyoo ya tumboni kwangu
imesimama, nilifakamia chakula kama pleti mbili
nikamalizia na ile juisi kisha nikanywa na maji.. Tulipomaliza kupata chakula wote, alikuwa na
vyumba viwili tu na jiko na bafu,choo..
Tulipiga sana stori za maisha, nilimficha asielewe
chanzo cha mimi na Jacky kuwa pamoja, na
akatuambia kuwa yeye ni mfanyabiashara tu hapa
Moro tena anaishi peke yake na ni raia wa kenya. Ulipofika muda kulala...
***iNAENDELEA
 
Alituonesha chumba ambacho nitalala mimi na
Jacky wangu kisha nayeye akaenda kulala
chumbani kwake..
Mawazo mengi bado yaliendelea kutawala ndani ya kichwa changu ukizingatia nilikuwa sijui hata
nitaishije na jacky wangu bila ya kuwa na pesa
yeyote..
Hatimaye nikapitiwa na usingizi.. *** Ulikuwa ni usiku sana na kilichonishtua ni baridi
kali lililosababisha mkojo kunibana, sikutaka
kuwasha taa, nikajikongoja mpaka chooni
kujisaidia,wakati narudi chumbani kwangu ndipo
nikapishana na yule dada naye alikuwa akielekea
chooni akaniongelesha kwa sauti ya chini chini, "...mmh Jeff mambo vipi..?"
"..salama tu.."
Nikamjibu huku nikielekea chumbani kabla
sijaingia alinivuta mkono kisha..
"..usiku mwema tena Jeff.."
Halafu akaniachia. Niliingia chumbani nakuwasha taa, kisha
nikamshika Jacky wangu tena kwa maeneo ya
usoni taratibu..
"..nakupenda Jacky wangu na sintokuja kukusaliti
mpenzi.."
Nilijisemea kimoyomoyo huku nikiendelea kumtizama Jacky wangu akiwa usingizini., nikiwa
bado naongea peke yangu mara mlango
ukafunguliwa..
"..Shhh.. Natumai umeshajua kilichonileta Jeff.."
"..whaaat.? (niiini..?) hapana please go back to your
room.. (samahani rudi chumbani kwako..)" "..wajua saa ile vile nimekushika mkono, nilipaka
dawa ya usingizi kwa mkono wangu.."
"..mbona sikuelewi..?"
"..najua tu umeshamshika gal wako.., so hapo alipo
anausingizi balaa, wala hawezi jua lolote..!"
Sikutaka kuamini mpaka nikamtikisa kwa nia yakumuamsha Jacky wangu ili aamke lakini
aliendelea kulala fofofo huku akikoroma bila hata
kushtuka..
"...please just stand up Jeff..(samahani nyanyuka
basi Jeff..)"
"..no no no.. I can't..(hapana, sitaki..)" Nilimkazia macho lakini bado yule dada aliendelea
kuning'ang'aniza kwenda chumbani kwake., ilifika
muda yule dada akaanza kuvua nguo zake zote
mpaka akabaki mtupu kabisa huku akitoa
machozi..
"..nahitaji jibu moja tu Jeff, sex or no sex.." "..please nionee huruma nina mchumba wangu
huyu hapa tena bado mgonjwa embu muone
mwenyewe.."
"..nadhani ati hujanielewa vizuri Jeff., sex or no
sex.?"
"...sijakuzoea, ndo kwanza tumejuana jana tu jamani na pia siwezi kumsaliti mpenzi wangu.."
"..Jeff i had almost 2 yearz without any boy.. So
please help me just for sex.. Please.., Jeff please..
(..Jeff nina kama miaka 2 bila ya mwanaume.,
kwahiyo nisaidie japo nifanye mapenzi nawe
jamani.. Nielewe.., nielewe Jeff..) Safari hii alilegeza sauti yake kabisa nakuwa ya
kimahaba nakunifanya hata
Kale kaubaridi nilikokuwa nakasikia kaishe ghafla
nakufanya nijihisi joto si joto hapo hapo
kidume mie uzalendo ukaanza kunishinda..,
"..Play boy., alwayz ni play boy tu.. Wacha nikampagawishe hanijui ati.."
nilijisemea kimoyomoyo huku nikitikisa kichwa
changu kuonesha ishara ya kumkubalia.., kisha
akafurahi nakuchukuwa nguo zake na
tukaongoza mpaka chumbani kwake huku
nikimwacha Jacky wangu kalala fofofo pale kitandani.. Harufu ya 'air freshner' ndio ilikuwa ikinivutia sana
tulipoingia tu chumbani kwa huyu mdada, hakuwa
amewasha taa zaidi ya mishumaa midogo midogo
ambayo nayo ilikuwa ikitoa harufu nzuri sana..
Nikiwa bado nashangaa shangaa umaridadi wakile
chumba.., yule dada akanivuta taratibu nakuniweka kitandani kwake..
"..Jeff..? Unajiskiaje kuwa humu kwangu.."
"..dah.. so unbelievable.. (yaani nashindwa
kuamini..) umesema unaishi peke yako..?"
"...yeah., sure Jeff.. (ni kweli Jeff..)"
Kisha akavuta pumzi juu juu nakunisogelea mpaka usoni mwangu nakuanza kuingiza ulimi wake
kwenye maskio yangu huku akilalamika..
Alipomaliza maskioni aliutelezesha ulimi wake
mpaka ukakutana na mdomo wangu
nakilichofuata nikushindana kunyonyana ndimi
zetu kila kona huku tukipokezana kupeana ndimi zetu zilizochanganyika na mate..
"...Jeff..!! Jeff.."
"..yeah.. yeah.. ni a a a mbiee uhhff..!!"
"...do you know how to suck Jeff..?(..Jeff unajua
jinsi ya kunyonya..?)"
"..yeah why not.." (..ndio kwanini nisijue..)" Akakaa vizuri huku kanitanulia mapaja, utundu
ukaanzia kwenye maziwa yake taaratibu mpaka
kitovuni huku nikimkwarua kwa makucha kwa
mbaali huku nikikaribia yale maeneo yetu mara
nikaskia mlio wa simu yangu ukiita chumbani
kwangu nilipomuacha Jacky.., "..Sorry.. Naweza kwenda kupokea simu yangu..?"
"..nöo nöo Jeff..! Huwezi.. Sitaki endelea bwana.."
Nikaendelea kumshika shika mapajani mwake
huku nikijiweka sawa kumnyonya lakini ile simu
ilizidi kuita tu..
"..please nakuja sa hivi, ngoja nikapokee hiyo simu labda ya muhimu sana.."
"..Jeff we hurudi bwana., kama unataka tusex
kabisa angalau hata kimoja ndio uende ukapokee
hiyo simu yako.."
Alivyoongea hivyo nikama amechochea hisia
zangu upya kwani nilivua boxer yangu naye akaniwahi kunishika kifua changu huku akipapasa
'garden love' (kifua kilichojaa nywele) kisha
akakilaza kichwa chake kifuani mwangu na
mkono wake mmoja akaupitisha hadi kunako
kisha...
"...Jeff nimeamini we mzuri., umekamilika tena kila sehemu.. Ila nataka nihakikishe kwenye kitu
kimoja tu.."
"..kitu gani hicho.."
"..Sex Jeff hakuna cha zaidi.., nahitaji kukuona
ukini..."
Kabla hajamalizia kuongea tukahisi mlango kama umefunguliwa, tukabaki tukishangaa tusielewe
kuna kitu gani, yule dada akanyanyuka
nakuchukua kanga yake..
"..usitoke Jeff nisubiri humu humu chumbani
kwangu.."
Kidume cha mbegu ujasiri ukaanza kama kidizaini kunipungua vile, kwani nilikuwa sielewi elewi
huku akili ikinituma huenda Jacky wangu kaamka
nakanikuta sipo naye hivyo ananitafuta.,
Ndani yadakika kadhaa nikasikia tena simu yangu
ikiita na kwa muda huu aliniletea yule mdada..
"..chukuwa pokea., pokea.." aliniambia kwa sauti ya chinichini., niliangalia ile
namba lakini sikuwa naifahamu hivyo nikapokea
tu hivyo hivyo..
"...hallow., nani mwenzangu..?"
"...Mie Vio vivah rafiki yake na helleiner.."
"..enhe nikusaidie nini..?" "..unajifanya hujui ulichokifanya Dar enh..?"
Kabla hajamalizia kuongea nikamkatia simu
nakuiweka pembeni..
"..Jeff ati kwani ni manzi gani huyo aliokupigia
phone..?"
Aliniongelesha huyu mdada., "..ni long story (..hadithi ndefu).,achana nayo.., vipi
mpenzi wangu hujamkuta ameamka..?"
"..kwa ile dawa..? From now onwards.., it takes 8
up to 10 hours..(..kutokea muda huu..,
inachukuwa masaa 8 hadi 10)., tuendelee tu Jeff.."
Tukaanza zoezi upya kabisa la kumtengeneza huyu mtoto wa Ki Kenya kwani kiukweli alikuwa
nakamwili kauchokozi fulani kuanzia kifua mpaka
miguu na maeneo ya nyuma kidoogo., safari hii
sikumshika shika sana..
"...where is Condom..? (..kondomu ziko wapi..?)"
"..Jeff si nilishakwambia ninamda mrefu sijasex..? Sasa hizo kondomu nizitolee wapi..?"
"..kwahiyo hamna..?"
"...yeah, hamna lakini tunaweza kufanya hivi hivi
bila kutumia kinga.."
"..Niskize.! Sijawahi na wala haitatokea hata siku 1
kufanya mapenzi bila kinga.." Nilimdanganya tena huku nikimkazia macho kana
kwamba mie sio play boy na wala siendagi kavu
kavu wakati siyo..
"..whaat...! (..niini..!) kwa jinsi nilivyokuwa 'hot'
lazima ni sex nawewe Jeff 'by any means..'(..kwa
njia yeyote..)" Nilimfanyia vituko mpaka akabadilika kabisa huku
akihema juu..
"..let us make it tommorow..(..tufanye kesho tu..)"
Maneno hayo yalimuuzi sana nakumfanya
anikumbatie kwa nguvu zote huku akivuta nanii
yangu kwa nguvu.. "..Jeff.. Tufanye pliz..! Embu ingiza huko jamani.."
"..huelewi tu..? Kondomu hamna, tufanye kesho..!"
"..aaku.. mi sitaki bwana.. Sitaki..nataka sa hivi..
Nifanye Jeff.."
Mafua ya ghafla yalianza kumtoka huku akionesha
sauti kama ya kulia lia hivi kwani nilikuwa nimeshamlegeza haswaa, nikamkubalia
nakumkalia juu yakifua chake kisha nikaanza
mautundu zaidi nakumfanya alalamike tena kwa
sauti ya juu sana., nilipomaliza cha kwanza tu
nilishangaa nafinywa namakucha yake akitaka
tena kingine. Mara meseji ikaingia kwenye simu yangu
"...NIPO HAPA MLANGONI MAGHOROFANI
NIFUNGULIE..
 
Ilipoishia... ...Mara meseji
ikaingia kwenye simu
yangu
"...NIPO HAPA MLANGONI
MAGHOROFANI
NIFUNGULIE.. Endelea... "...Jeff vipi mbona umebadilika ghafla.."
"..am mh mh kuna meseji imeingia nashindwa
kuielewa elewa..."
"...achana nayo kwanza zima tu hiyo phone yako
tuendelee bwana.."
Niliona kama ananizingua tu kwani mwili wangu wote ulikuwa umebadilika nakusinyaa huku
nikisitisha zoezi la kuendelea kusex., nikavaa
boxer yangu tayari kwa kuondoka kwenda huko
nje..
"...sasa atakuwa ni nani jamani., mbona
nimekwisha tena nimepatikana haswaa Jeff mimi.." Nilijisemea kimoyo moyo huku nikijitwisha nguvu
na uwezo wa kijasiri tayari kwa kukutana na
yeyote hapo nje., ile nataka kutoka tu mule
chumbani..
"..Jeff unataka kurudi chumbani kwako mara hii
jamani..? No tuendelee bwana pleaseee..!" "..funguo za nje kabisa unaziwekaga wapi..?"
"..Jeff huko nje unaenda kufanyaje tena..?"
Uzalendo ukanishinda ikabidi nimshirikishe naye
ajue natoka nje kufanyaje..
"..kuna meseji nimetumiwa na mtu nisiyemjua
wakati tukisex na ameniambia eti yupo nje nimfungulie.."
Nilipomwelezea tu nilishangaa yule mdada
akiangua kicheko tena cha dharau nakunifanya
hasira zinizidi nakuamini huenda anajua kila kitu..
"..mbona unacheka..? Yani nipo seriouz
nakwambia unanicheka si ndiyo..?" "..hapana Jeff kumbe nikitu hicho tu., embu rudi
bwana tulale.."
"...kwahiyo unamjua aliyonitumia hiyo meseji..?"
"...yeah., si mimi..! Embu angalia vizuri hiyo
namba..?"
Nilijihisi kama mazingaombwe kwani nilipoiangalia ile namba vizuri ni kweli ilikuwa namba ya huyu
mdada..
"...kwanini umeamua kunitumia hivyo na umeituma
sa ngapi..?"
"..Jeff meseji niliituma wakati upo chumbani kwako
na gal wako.., na ilikuwa njia tu ili utoke huko chumbani... Kumbe bado ilikuwa
'pending' (hewani) na ndio imeingia 'right now..?
(sasa hivi..?)"
Nilishusha pumzi huku nikimwangalia huyu dada
mara mbili mbili bila ya kumpatia jibu lolote..
"...Siku nyingine utakuja kuniua kwa presha we mwanamke.."
Nilisema kiutani huku nikirudi kitandani kwake
kwa fujo zote nakuvua tena boxer yangu..nilianza
tena kwa kumpapasa huku nikijiandaa kumpatia
bao la pili..
"..Jeff wajua we ni mtamu..?" "...Sure..? (..kweli..?)"
"...unajua jinsi ya kumwandaa gal.."
Akiwa bado ananisifia hapo hapo nikaupeleka
mdomo wangu mpaka kwenye kitovu chake
nakutoa ulimi wangu tayari kwa nakuanza
kumnyonya.., alilalamika sana huku akijikunja kunja mithili ya nyoka hapo hapo nikaanza zoezi
zima la kummaliza mpaka akaning'ata eneo la
shingoni mwangu kwa mapenzi niliyompa..
Nilipomaliza tu kusex usingizi ukaanza
kuninyemelea huku nikijihisi mwili kuchoka kwani
nikamuda kidogo sikusex... **** Ubaridi uliokuwa ukiingia ndani ya mwili wangu
ndio uliofanya nishtuke usingizini .. Nilijigundua
bado nipo chumba ambacho si changu hivyo
nikamwacha yule dada akiwa mtupu tena yupo
bado usingizini nakuelekea chumbani kwangu
alipo mchumba wangu Jacky.. Nilipofika sikuiwasha hata taa nikanyata taratibu
mpaka kwenye kitanda nakufunua shuka
taaratibu tayari kwa kulala.., ~ Asubuhi ~ Nilikuwa bado kitandani huku nikijiona mvivu
mvivu wakuamka, nilimwangalia Jacky wangu
pembeni yangu bado alikuwa kapitiwa na usingizi
mzito..,
"...Jacky mpenzi amka, amka mpenzi.."
safari hii nilimwamsha akaamka nakunitazama., "...mambo Jeff wangu..? Umeamkaje..?"
"..safi tu., enh niambie unajiskiaje..? Bado
unaumwa..?"
"..Jeff nahisi nimeshapona, kwani sijiskii kuumwa
kabisa.."
Nikiwa bado naongea na Jacky mara nikamshangaa ananitolea macho sana sana
maeneo ya shingoni mwangu kisha akanishika
vizuri nakuniangalia..
"..Jeff umefanyaje tena hapa shingoni..?"
"..mbona unanitisha hivi..? Kwani kunanini..?"
"..Jeff usijifanye hujui, si alama za meno hizi..? Nani amekufanyia hivi na lini mbona jana hukuwa
nayo..?" "..kweli Jacky nina alama..?"
Nikamuuliza tena kwa kumtolea mijicho kana
kwamba sijui chochote kilichonisibu..
"..Kweli Jeff hizi ni alama za meno kabisaaa tena
sijui aliyekung'ata ni mwanamke..?"
"...Jacky..? Jacky..? Umeshaanza kuniudhi mpenzi wangu, yani badala unionee huruma kwa
kilichonitokea we unaanza kuhisi mambo ya ajabu
ajabu.. Haya basi tufanye wew ndio ulioning'ata
usiku maana si nimelala na wewe..?"
Niliweka ukali mpaka Jacky akawa kama mchozi
unamlenga lenga., "..basi Jeff mpenzi wangu nisamehe
nimekukosea.."
"..Ujue Jacky yani we kila siku nikunihisi tofauti tu..,
kwanza unajua jinsi gani nakupenda..? Wanawake
wangapi wananitaka lakini siwataki kwa ajili
yako..?" Hayo maneno yalimuingia sana Jacky nakuanza
kulia tena kwa sauti ya juu nakunifanya nitoke
zangu mule chumbani nakuelekea sebuleni huku
nikimwacha Jacky akiendelea kulia peke yake..
Nilipofika sebuleni nilimkuta yule dada
keshahamka ... "..Jeff niambie.."
"..safi tu zakuamka..?"
Kabla sijamjibu mlango ule wa chumbani kwangu
ukafunguliwa kisha Jacky akatoka huku macho
yake yakionekana mekundu sana kutokana na
kulia, tena alionesha sura ya huruma sana akaja mpaka pale subuleni nakukaa kochi moja na mimi..
"..Jacky mambo, umeamkaje..?"
Yule dada alimuongelesha Jacky..
"..nimeamka salama na nimepona kabisa.. sijui
wewe.."
"..niko pouwa., tena bora umeamka nahitaji unisindikize twende sokoni tukanunue mahitaji
kwani yameniishia kabisaa.."
"..usijari niko tayari kukusindikiza kwani ni muda
gani...?"
"...saa hivi ngoja nijiandae na wewe jiandae
tuondoke.., Jeff wewe tutakuacha kwa muda.." "..Pouwa mtanikuta msijari.." **** Ndani ya dakika kama 5 tayari Jacky na yule
mdada walikuwa wameshamaliza kujiandaa
wakatoka nje nakuelekea huko sokoni
nakuniacha kidume peke yangu..
Kama kawaida yangu huwa napenda sana
kusikiliza nyimbo laini na kwa bahati nzuri kulikuwa na cd ya 'kenny Rogers' nikaiweka huku
nikivuta hisia kwa mbaali kwani nyimbo ya 'Lady'
ilikuwa ikinikosha sana., Nikiwa bado katika
dimbwi la burudani mara nikasikia mtu anapiga
hodi, mwanzoni nilijua huenda ni nyumba ya jirani
lakini ile sauti iliendelea zaidi nakunifanya nichungulie kwa dirishani ndipo nikagundua kuwa
hodi inapigwa nyumba hii nilipo nikafungua
mlango kisha..
"..karibu..! Karibu dada.."
"...ahsante., mwenyewe nimemkuta..?"
Alikuwa binti mmoja hivi mdogo mdogo mweupee..
"...unamuhitaji nani..? Dada mwenye nyumba..?"
"...ndio Irene nimemkuta..? Kwani aliniambia
atarudi jana kutoka dar.."
"..Yeah nikweli amerudi jana kutoka Dar.., na
kwasasa ameelekea sokoni., Kwani umempigia simu leo..?"
"...Nah simu yangu imeisha chaji kabisa.."
Nikachukuwa simu yangu nakumpigia lakini
namba yake ikawa haipatikani, na Jacky wangu
hana simu, hivyo nikamkaribisha tu ndani
"..Ok karibu ndani umsubiri atarudi muda si mrefu kwani ameenda na rafiki yangu.."
Sikutaka kumwambia kuwa yupo na mchumba
wangu kwani kiukweli ninakaugonjwa na hawa
mabinti weupe..
Nilijikuta nikijiuma uma mwenyewe huku
nikiishiwa pozi kabisa kila nikitaka kumuangalia yule binti nageuza sura nakuangalia pengine..
"...mh.. mh.. mh.. umesema unaitwa nani vile...?"
"...me...? Naitwa Sammy..."
"...Ooh, jina zuri sana bila kukosea we ni mpare
hee...?"
"...nat..., mi mnyaturu.." "...dah basi ndio maana.., nilijua tu kwa huo weupe
wako lazima utakuwa kati ya hayo makabila.."
Nikawa namuongelesha huku naelekea kwenye
kabati la vyombo nakutoa grasi kisha nikafungua
friji nakutoa juisi nakuimimina nakumpatia,
"..karibu juicy Sammy..." "..mh, mara hii jina langu umeshalikariri..? Lakini
hujaniambia we waitwa nani..?"
Aliongea kiutani nakufanya moyo wangu
kuingiwa na furaha ya ajabu kwani kwangu ni
kosa kubwa sana kama ukitaka kunifahamu au
kunijua tena kwa binti kama huyu.. "...Niite Jeff Ryder..."
"..Kwani we ni mwenyeji wa wapi..?"
"..am.. mh.. mh.. mie ni mchaga..."
"..kweli..?"
"..ndio.."
Nilishangaa Sammy kunizoea ghafla huku tukiendelea kupiga stori kana kwamba tunajuana..
Alipenda sana nyimbo nilizokuwa nasikiliza,
"...Jeff pliz, embu rudisha hiyo nyimbo ya 'Lady'
tena naipenda kweli.."
Nilimrudishia akaisikiliza huku anaimba kwa sauti
tamu na nyororo.. Sikutaka kufanya makosa kabisa nikachukuwa
namba yake ya simu nakumuahidi nitamtumia
meseji kama ataiwasha simu yake ataikuta..
Ndani ya kama Lisaa 1 na nusu tayari Jacky wangu
na yule mdada (Irene) walikuwa wanagonga
mlango.. Nikainuka pale kwenye kochi nakwenda kuwafungulia mlango..
"...Waooh jamani Sammy.. Upo..?"
"..niiipo shosti za masiku..?"
Ilikuwa ni sauti ya Irene na Sammy
wakikumbatiana na kuzungumza..
Niliwapokea vitu nakupeleka mpaka jikoni kisha nikarudi sebuleni nakuwakuta ndo kwanza Sammy
na Irene wamenogewa kwa stori huku Jacky
wangu akiwatolea macho..
"..basi nikwambie shosti kule Dar kuna kimbembe
huko..?"
"..kitu gani tena Sammy..? Embu nipe michapo Irene mie..!"
"Michelle kauliwa...
Inaendelea…
 
Ilipoishia.... "..kitu gani tena Sammy..?
Embu nipe michapo Irene
mie...!"
"..Michelle kauliwa... Endelea... Moyo ukanilipuka ghafla na nisielewe ni Michelle
yupi huyo aliyeuliwa.., nikajiweka vizuri kwenye lile
kochi kwa kusikiliza,
"...michelle shosti.., yule wa kwa Mama Grace.."
"..usiniambie..? Enhe ilikuwaje kuwaje akauliwa..?"
Akili ikazidi kunichemka huku nikibaki nisielewe, "..Mama Grace..? Mama Grace ndio nani tena..? Au
ndio Mama yake na Helleiner..?"
Nilijikuta nikijisemea kimoyo moyo huku nisielewe
ni Michelle yupi kwani kama ndio yule niliyemuua
kule Dar nitakuwa nimekwisha tena Jeff mimi..
"...baasi.., unaambiwa majambazi kama 3 hivi wakawavamia.., wakawakata kata mapanga
kuanzia Michelle mpaka wazazi wake na
mfanyakazi wao..."
Niliposikia hivyo tu nikashusha pumzi nakuelekea
kwenye friji kisha nikatoa maji nakunywa, sikutaka
tena kusikiliza ile stori kwani nilikuwa na uhakika kuwa siyo michelle niliomuua mimi..
"..Jamani niko hapa nje nashangaa shangaa
kidogo.."
Niliwaacha wakiendelea na stori huku mie nikitoka
nje na baada ya dakika chache Jacky wangu naye
akanifuata, "..wewe nawe..? Yani kunifuata fuata nyuma tu
kama nyuki..?"
Nilimwambia Jacky kiutani huku akirudishia vizuri
ule mlango wakutokea nje..
"...Jeff mpenzi wangu inakuwaje sasa mstakabali
wetu..?" "..wa kuhusu.?"
"..kwahiyo umesharidhika kabisa tukae hapa.?"
"..Jamani Jacky..? Leo ndio kwanza siku ya kwanza
na hilo suala nalitambua tuvumilie kwa siku chache
ntajua cha kufanya.."
Nilimjibu Jacky huku moyoni mwangu nikiwa na uhakika wa kuishi hapa hapa kwani Irene ni kama
tayari mtu wangu kwa jinsi alivyojileta mwenyewe..
"..wacha niende ndani nikatengeneze chakula cha
mchana.."
"..poa."
Jacky alirudi ndani nakuniacha pale nje na haikupita muda nikasikia kama naitwa huko
ndani..
"..Jeff..? Jeff..?"
Nikaingia sebuleni..
"..yap.."
Alikuwa ni Irene akiniita, "..Mgeni anataka kukuaga anaondoka.."
"..okey jamani Sammy karibu tena.."
Nilimshika mkono ili nimuage nikajikuta nasisimka
karibu mwili wote huku nikimtolea macho eneo
lakifuani mwake ambapo alikuwa kayapiga 'Jeki'
matiti yake na hivi yalikuwa meupe dah kidume mie nikaishia kuyaangalia huku nikijisahau na
kuendelea kumshika mkono, mpaka nilipojishtukia
kuwa Irene ananiona ndipo nikamwachia,
"..karibu., karibu tena..!"
"..Jeff si umeshamuaga jamani mbona mara mbili
mbili tena..?" Alihoji Irene kiutani huku akifungua mlango wa
nje, fasta fasta nikamwangalia Jacky pembeni
yangu hakuniona na Irene pia ndipo ukawa
mwanya wa kumkonyeza mtoto Sammy kisha
nikamwambia maneno kwa vitendo kuwa
nitampigia simu, alinielewa akaondoka zake huku Irene akiendelea kumsindikiza.. **** Siku nzima niliiona kama mbaya kwangu kwani
kila nikijaribu kumpigia simu Sammy ilikuwa bado
haipatikani,
"..au atakuwa kanidanganya nini kanipa namba za
gari..? Yani muda wote hajafika kwake tu.? Au
kasahau kuiweka simu yake kwenye chaji.?" Nilijikuta nikijiuliza maswali mengi bila ya kuyapatia
majibu huku nikiwa nimeshakula na nipo
chumbani kwangu huku Jacky na Irene wakiwa
sebuleni wanacheki tv..
Nikaamua kutuma meseji nzuri ya uchokozi kwa
Sammy.. '..MH, HATA KUNIAMBIA KAMA UMEFIKA SALAMA..?
Its Me Jeff mchaga wa maghorofani kwa Irene
Moro..'
Kisha nikaituma haraka haraka kabla Jacky wangu
hajatokea.
Nilikaa kama dakika 10 nzima bila majibu yeyote wala simu yangu kuonesha kama kuna meseji
imeshatumwa(delivery), Ndipo baadaye sana
nikasikia mlio wa meseji katika simu yangu, furaha
ya ajabu ikanijia huku nikiamini kwa asilimia 100
atakuwa ni mtoto Sammy na tena atakuwa
ametuma majibu mazuri, Nikaichukuwa simu huku mdomo wangu na macho na vidole vikionesha
kufurahi,
"..mie ndio Jeff Ryder bwana na hapa Moro
nitahakikisha nafagia wote.."
Nilijisemea kimoyo moyo huku nikitaka kuifungua
ile meseji ndipo nikashtuka baada ya kuona meseji inatoka kwa Helleiner, mwili wote ukawa kama
umepigwa ganzi huku nikijihisi kizungu zungu,
nikajikaza ili japo niweze kuisoma ile meseji,
"...SMS YAKO NIMEIPATA DEAR, KESHO ASUBUHI NA
MAPEMA NITAKUWA HAPO.."
Nilirudia kuisoma mara mbili mbili bado jibu lilikuwa ni lile lile kuwa inatoka kwa Helleiner,
"..aha ha.. Ah ahaa haiwezekani.."
Nikajikuta nina Jazba huku nikiingia sehemu ya
kuangalia meseji nilizotuma nikagundua kuwa
nikweli nilituma meseji kwa Helleiner..
"..Nimekwisha Jeff mimi, ona sasa, aiyaa iyaa.., iyaaa.., iyaaaa.."
Nilijikuta sauti ya juu ilioambatana
na mchozi huku mafua ya ghafla yakininyemelea
huku nikiendelea kuitolea macho ile simu.. Mara
ikaanza kuita, haraka haraka nikapangusa mchozi
huku naichukuwa simu nakuiangalia anayepiga, "..yale, yale.."
Nilizidi kuumia moyo, kwani simu ilionesha jina la
Helleiner na ndio aliokuwa akipiga simu, niliiacha
ikaita wee mpaka ikakata yenyewe, akapiga tena
mara ya pili ikaita sana tu nayo ikakata, ile anapiga
mara ya tatu nikajipa moyo wakijasiri nakuona litalo na liwe nikaipokea huku nikiikaza sauti
yangu haswaa tena kwa kukoroma na kwa hasira
kali..
"..Hallow, Unasemaje..?" "..Hee, samahani naongea na Jeff..?"
"..ndio mimi sema shida yako..?"
Nilimkazia sauti haswa mpaka akakata simu
mwenyewe, haikupita tena muda akapiga, kwa
safari hii ule woga ulikuwa umeshanipotea hivyo
nikaipokea bila kuwa na wasiwasi wowote, "..Hivi we dada..? Unachotaka kwangu ni nini..?
Sikutaki enh..? Sasa na umesema utakuja hiyo
kesho, nakusubiri malaya mkubwa wee na
ntahakikisha na wewe nakuua tu.."
Nilimtukana nakumkatia simu huku nikifurahi
kimoyomoyo nakuona kwa mikwara niliompa kama atapiga tena simu basi atakuwa mwanamke
sugu tena lile nunda haswa.
Hata ile hamu ya kulala ikapotea ikiwa na mawazo
yakumuwazia Sammy nayo yakapotea,
nilichukuwa kioo nakujiangalia usoni, macho
yangu yalikuwa mekundu sana yalioambatana na mishipa iliokuwa imenitoka pembezoni mwa paji la
uso. Nikiwa bado najishangaa pale kwenye kioo,
nikasikia tena mlio wa meseji katika simu yangu
pale kitandani nikaiwahi nakufungua ile meseji cha
kwanza kuangalia ilikuwa jina kujua inatoka kwa
nani.., "..dah huyu Helleiner kweli mbishi, na asipoangalia
nitamteketeza kweli..? We muache tu hajui kama
Jeff sometimes ni Mafia na sometimes ni Play boy.."
Nilijisemea kimya kimya huku nikiendelea
kuifungua ile meseji nakuisoma,
'JEFF NIMEKUKOSEA NINI GHAFLA UNANICHUKIA HIVYO..? Au KUJA KWENU LEO NA NILIVYOKUPA
NAMBA YANGU NI KOSA..?"
Nikashtuka nakujiweka vizuri huku nikiirudia
kuisoma ile meseji mara mbili mbili, nilipomaliza
kuisoma nikaangalia imetumwa na nani napo jina
ni lile lile la Helleiner, "..Hapana.. Hapana hapa kuna mchezo nafanyiwa
sijijui tu.."
Ikanibidi nianze kuichambua simu yangu, na
nikalipitia jina moja mpaka jingine katika simu
yangu na nilipomaliza nikagundua kuwa hakuna
jina la Sammy katika simu yangu, "..embu ngoja namba ya Helleiner naijua yote ni
0713133633.."
Nilijikuta naongea peke yangu huku nikitafuta jina
la Helleiner kwenye simu yangu, nikalipata na
nilipoangalia namba zilikuwa tofauti na
ninazozijua., akili ikaanza kunichemka, "..Ooh Shit, maskini nilikosea badala ya kusevu jina
la Sammy niliandika Helleiner dah.."
Bado nilikuwa kama mtu aliyechanganyikiwa
ghafla kwa kile kilichonitokea huku nikiendelea
kuongea mwenyewe na kijasho chembamba
kikinitoka. Nikachukuwa simu nakufuta lile jina la Helleiner nakuliandika la Sammy kisha nikampigia
simu Sammy ili nimuombe msamaha kwa
kilichotokea mpaka nikamtukana.
Simu yake iliita tu bila kupokelewa, nilijaribu kama
mara mbili tatu bado haikupokelewa,
nilichokifanya nikaenda mpaka sebuleni ambapo alikuwepo Jacky wangu na Irene wakiangalia tv,
bila woga wowote,
"..Samahani Irene simu yako ina pesa kidogo..?
Kunamtu nahtaji kuongea naye.."
Nilimdanganya Irene akanipa simu nikarudi mpaka
chumbani kumpigia simu Sammy na nilijua kwa njia hii lazima atapokea tu simu nikapiga.
"..niambie shosti.."
Alipokea kwa mbwebwe nikabaki kimya kwa
muda kisha nikamjibu,
"..unaongea na Jeff na siyo Irene.."
"..Jeff..? Hivi ulivyonitukana na ukatishia kuniua kama ulivyoua sijui huko dar., bado unanifuata
fuata.."
"..zile zilikuwa ni hasira tu si unajua namba yako
nilikuwa sijaisevu jamani..?"
"..Jeff we utakuwa muuaji kweli, nakuogopa ahaa
haa na nitamwambia tu shosti Irene.." Simu ikazima chaji, nikaenda mpaka sebuleni tena
kuchukuwa chaji na nilipoiweka tu nikampigia
tena lakini akawa hapatikani tena..
 
Ilipoishia... "..Jeff unaniambiaje..?"Pale pale
nikamshuhudia Irene akivua ile
kanga yake moja nakubaki mtupu
huku akitaka kunikumbatia..
"..haya amua moja, unanipa au
nipige kelele unataka unibake kisha nikutimue kabisa kwangu..?" Endelea... Mwili wangu wote ulikuwa ukinitetemeka huku
nguvu zikiniisha hata na ile hamu yakuendelea
kuangalia tena ile muvi ilikatika pale pale..
"..lakini Irene, si unajua Jacky wangu yupo
chumbani akitokea ghafla..?"
"...haya basi, twende tukafanyie chumbani kwangu.."
"..ahaa ahaa huko ndio kabisaa atatufumania..."
Irene alizidi kupagawa nilivyokuwa namjibu
alichokifanya alinishika mkono mithili ya mtu
asiyeoona 'kipofu' nakuniongoza mpaka jikoni
kisha akaufunga mlango kwa ufunguo.. "..haya na hapa ukatae sasa.."
"..Irene, hata hapa sina imani napo..!"
Nilimwambia kiutani huku nikiendelea kumtolea
macho..
Alinivamia nakuanza kunipa mabusu kila engo ya
mwili wangu huku akilitaja jina langu mara mbili mbili, hapo hapo kidume mie akanipa 'mzuka' wa
hali ya juu nakunifanya joto langu la mwili
kupanda ghafla..
Sikutaka kumchelewesha kabisa, nilichojoa nguo
zangu tayari kwa kumvaa lakini kabla sijamvaa
sauti kali ilikuwa ikisikika.., "..Jeff Jeff mpenzi uko wapi..?"
Ilikuwa ni sauti ya mpenzi wangu Jacky akiniita,
nilitamani sana nitoke lakini tayari Irene alikuwa
amenikabili katikati ya mapaja yake..
"..hapa Jeff huendi popote mpaka unifanye.."
Aliongea Irene kwa sauti ya chini chini. Hofu ilizidi kunitanda hasa pale nilipohisi kama
Jacky anakuja eneo tuliopo, japo Irene alikuwa
kafunga na ufunguo lakini haikusaidia chochote
kwangt kujiamini.
"..dada Irene, Irene.."
Kwa muda huu Jacky wangu alikuwa ameshaufikia mlango wa chumbani kwa Irene na alikuwa
akibisha hodi.
"..Irene niache nitoke pliz, tutafanya kesho.."
Nilimwambia Irene kwa sauti ya chini chini lakini
ndio ikawa kama nimemuamsha hisia zake
zilizokuwa zimelala, alitanua mapaja yake vizuri nakuniingizia nanii yangu kisha akaanza kukatikia
kwa nguvu huku akitoa miguno ya kimahaba
nakunifanya nimfanye naye tu.
Tulijikuta tumejisahau na sex huku tukiwa katikati
tena kwa sauti ya juu na ya kimahaba kana
kwamba tukasahau kabisa kama Jacky anatutafuta.
Sauti zetu zakimahaba ndizo zilimfanya Jacky aanze
kugonga mlango wa jikoni tulipokuwepo.. Utamu
wa mapenzi ulitufanya kila mmoja kuisikia ile sauti
upande mmoja ikitokea upande mwingine.
"..Irene inatosha bwana.." "..Jeff we mtamu sana, endelea bwana pliiz.."
Nilimkatalia nakuvaa nguo zangu huku
nikiufungua mlango,kwani jikoni pia kuna mlango
wakutokea nje kabisa..
Hivyo nikatoka nje nakumuacha Irene mule jikoni.
Nilizunguka mpaka mlango wa kuingilia sebuleni kisha nikabisha hodi kwa nguvu zote..
"..Jacky..? Jacky nifungulie..!"
Jacky akanifungulia mlango huku kashikwa na
butwaa.
"..Jeff umetoka wapi sasa hivi, tena usiku wote
huu.." "..anhaa haa Jacky, nilikuwa nje muda wote
mbona.."
"..Jeff umeanza utani wako huo enhee..? Sasa huko
nje usiku wote jamani..? Haya na dada Irene yuko
wapi...?"
"..Sasa unaniuliza mie najua au mke wake..? Kwanini Jacky unapenda kunihisi hisi vibaya..?"
"..jamani Jeff nisamehe mpenzi kama nimekuuzi
kukuuliza hivyo.."
"..Nakuona tu, na hii mara ya pili kunihisi vibaya,
unakumbuka siku ile nimeamka tu na alama
shingoni ukaanza kunihisi vibaya enh..? Sasa leo umeme umekatika nikatoka nje kuzunguka
kidogo narudi unaanza vijiswali vyako..."
"..Jeff nisamehe si nimeshakuelewa jamani.."
"..sipendi na sitaki kukusikia tena mpumbavu
mkubwa wee.." Nilimkazia macho Jacky
nakumsukuma nikaingia mpaka sebuleni nakukaa kwenye kochi, Jacky aliufunga ule mlango wa
sebuleni nakuja kukaa karibu yangu..
"..nenda kalale huko ndani peke yako sasa,
ushanikera.."
"..Jeff nisamehe jamani, tukalale na tena dada Irene
asije akajua kama tunagombana jamani.." Sikuwa hata na mshipa wa aibu wala nini,
japokuwa niliiona kanga ya Irene pale chini
sebuleni pamoja na chu** yake.
Niliongoza kwenda kulala huku Jacky akinifuata
kwa nyuma nyuma tena kwa uoga mpaka
chumbani tukalala. "..geukia hukoo.."
Nilimfokea Jacky muda wote na hata kitandani
tulilala mzungu wa nne hii yote nikumfanya ajue
kuwa sina kosa lolote..
Asubuhi sana ilipofika kwenye mida ya saa 1 tayari
nilikuwa macho lakini Jacky hakuwepo pale kitandani. Nikajua huenda ameamka kufanya usafi,
nikaamka nakumuangalia, sikumuona, nilimuuliza
Irene naye akasema alikuwa sebuleni anaangalia
tv..
Nikiwa bado namtafuta Jacky mara kwa kupitia
dirishani nikamwona Sammy anakuja na Jacky wangu huku wameongozana na polisi.. Mwili ulianza kunitetemeka huku
amani ikinipotea,
"..ahh liwalo na liwe.."
Nilijivisha moyo wa ujasiri ghafla
nakujikuta naropoka huku
nikiongoza mpaka chumbani kwangu..
Haikuchukuwa muda nikasikia
sauti ya Jacky anabisha hodi,
sijakaa sawa nikasikia tena sauti ya
Sammy wakiongea na Irene
sebuleni, "..enhe niambie shosti, za tangu
juzi..? Ndo kususana..?"
Taaratibu niliusogelea mlango
wangu nakunasa maongezi yao
vizuri,
"..kwanza Jeff yupo..?" "..yupo kajaa tele, ila kwa sasa
yupo chumbani, Jeff..? Jeff..?"
Aliita Irene kwa sauti ya juu.
Nilikaa kimya huku nikiamini
mwisho wangu ndo utakuwa
umefika sasa na hivi atakuwa ameongozana na yule polisi
niliyomuona, nilijihisi mwili
umepigwa ganzi huku nikitamani
kutokea dirishani.
Nikiwa bado nasita pale kitandani
mara mlango wa chumbani kwangu ukafunguliwa,
"..Jeff
Si unaitwa huko sebuleni au
hujasikia.."
Aliongea Jacky kwa sauti ya
huruma nakunijaza tena msongamano wa mawazo,
"...Jacky mpenzi unajua kiasi gani
nakupenda.."
"..yeah najua Jeff kwani vipi tena,
na mbona macho yako mekundu
sana..?" "..hii yote ni upendo juu yako,
embu niambie sebuleni yupo nani
na nani..?"
"..sebuleni si yupo dada Irene na
Sammy ndio wanaokuita.."
"..na hakuna polisi.." "..polisi, polisi atokee wapi Jeff
embu wacha kunichekesha.."
"..mbona kuna polisi nilimuona
mmeongozana naye.."
"...wala hatukuwa naye, yeye
alikuwa na mambo yake kwani hata Sammy hamjui.."
Niliuvaa moyo wa kiujasiri
nakuongoza mpaka sebuleni
huku nikimuacha Jacky wangu
akielekea jikoni kupika..,
"..Jeff..? Mambo?" Alinisalimia Sammy.
"..safi tu za tangu juzi Sammy.."
Stori zilizidi kupamba moto,
kunakipindi Irene alipigiwa simu
akaondoka nakwenda kuipokelea
chumbani kwake hivyo nikabaki mie na Sammy tukiendeleza stori,
aibu kubwa ilinishika kila
nikimwangalia Sammy na
nikikumbuka jinsi nilivyomkaripia
kwenye simu kipindi kile hadi
nikadhania ni Helleiner.. "..Sammy nikwambie kitu..?"
"..yeah niambie tu Jeff.."
Kwanza nisamehe sana kwa siku
ile nilivyokujibu kwenye simu, si
unajua tena akili ya pombe
inavyokuwaga..? Yaani siku ile nilipelekwa na Irene hapo 'Ze
club' tukanywa sana na
tulivyorudi nyumbani ndio
nikaanza kuchezea simu
nakujikuta nakupigia simu.."
"..Usijali jeff mbona nilishasahau kabisa.."
Dah hapo kidume mie nikajiona
nina bonge la zari, mapigo ya
moyo yakatulia sasa..
"..Sammy hivi unakaa wapi vilee.."
"..nipo naishi kihonda mwisho kwani unapajua..?"
"..sijawahi hata kufika ila nilikuwa
napasikia tu,mie nataka nikapajue
leo lakini sitaki Jacky wala Irene
wajue.."
"ilo tu wala usijali.. Lakini tutatokaje sasa..? Si
watatugundua.."
"..hilo niachie mimi nitajua
chakufanya.."
Kama kawaida ya Jeff ryder mie
sikutaka kabisa kufanya masihara tena kwa mtoto kama huyu.
Niliondoka zangu kwa kisingizio
kuwa nipo natembea tembea
huku Sammy nikimpanga
mapema kuwa akifika stendi
anishtue kwenye simu.. Alifanya hivyo na ndani ya nusu
saa tayari nilikuwa njiani kwenye
daladala huku pembeni yangu
nikiwa na Sammy, njia nzima
nilikuwa na mzuka wa ajabu huku
akili yote nikiiamishia kwa mtoto Sammy,
"..yaani nikifika tu mbona atajua
kunijua.."
Nilijisemea kimoyo moyo huku
nikiendelea kumtolea macho ya
kiuchokozi Sammy. Hapakuwa mbali sana kwani
ilituchukuwa kama dakika 15
kufika kihonda, na tulipofika
tuliongoza mpaka nyumbani
kwake, alikuwa amepanga
chumba na sebule ambapo tulipofika tu,
"..haya mgeni karibu, sijui
utatumia kinywaji gani..?"
"..Sammy acha utani wako..
Kwanza niambie unaishi na
nani..?" "..wala usihofu Jeff naishi peke
yangu mwaya.."
Aliponiambia tu hilo neno akawa
kama amenipandisha mzuka zaidi,
"...Sammy, embu sogeza sikio
nikunong'oneze kitu.." Alisogeza masikio yake na hapo
hapo ikawa mwanya wa kuanza
kuingiza ulimi wangu kwenye
masikio yake,
Ghafla akanitoa kwa nguvu
nakuanza kulalamika huku akiniangalia kwa sauti ya
kimahaba..
"..Jeff sipendi na sipendi
mwanaume yeyote aniingizie ulimi
wake masikioni mwangu.."
"..ooh samahani sana.." Nilimjibu kwa sauti ya upole
nakumfanya tukae naye karibu
kwenye kochi.
"ah liwalo na liwe bwana.."
Nilijipa moyo nakuuchukuwa
mkono wangu kwa taaratibu nikaanza kumpapasa mapajani
mwake huku nikikaribia maeneo
yetu yale..
"..Jeff stooop.. Stop pliiz.."
Sammy aliongea kwa sauti ya
chinichini na ya kimahaba huku akionesha kashalainika.
Nilijifanya sijaisikia sauti yake,
nikazidisha kumpampasa na sasa
hivi nilikuwa kiefuani mwake huku
nikichezea chuchu zake..
"..Jeff najuta kukuleta hapa kwangu.."
Aliendelea kusema huku
anahema juu juu.
Niliiuchukuwa mdomo wangu
nakuushikanisha na mdomo wake
kisha tukabadilishana mate kwa kutumia ndimi zetu,
Mapenzi yalikolea mpaka
mwenyewe akanivulia blauzi yake
na kisha mini nakubakiwa na
chu** tu..
Hapo kazi yote ilibaki kwangu kwani nilimlegeza mpaka
akalegea vya kutosha, sauti yake
ilikatika ghafla kabla sijaanza
kufanya chochote,mwanzo
nikahisi labda huenda utamu
umemkolea lakini haikuwa hivyo kwani nilipomshika mapigo ya
moyo alikuwa ahemi kabisaa..
 
Ilipoishia

... ....mwanzo
nikahisi labda huenda utamu
umemkolea lakini haikuwa hivyo
kwani nilipomshika mapigo ya
moyo alikuwa ahemi kabisaa..

Endelea
.... Ghafla nikawa kama mtu aliyechanganyikiwa,
nilijaribu kumuamsha tena kwa mara ya pili lakini
bado hali yake ilikuwa tete..
"..ina maana ndio kafa au..?"
Ni kati ya swali niliokuwa najiuliza bila kupata jibu.. **** Mpaka giza linaingia bado Sammy alikuwa
hajaamka, nikiwa bado naki boxer changu huku
mwili wangu ukiwa kama umepigwa ganzi, simu
yangu nilikuwa nimeizima na sikutaka mawasiliano
yoyote,
Japo nilianza kuisikia njaa lakini hamu ya kula sikuwa nayo kabisa.
Kila baada ya dakika 5 hadi kumi nilikuwa
namshtua lakini hali yake ikabaki vile vile.
Akili niliyokuja kuipata nikumbeba pale sebuleni
mpaka chumbani kwake nikamlaza kitandani
kwake nakumfunika na shuka kidogo kwa nia ya kumtoroka, baada ya hapo nikanyata nakutoka
chumbani lakini kabla sijafika sebuleni nikajikuta
nimesahau simu yangu nilipomlaza tu pale
kitandani.
Nikairudia haraka haraka nakuichukuwa kisha
nikamfunua lile shuka nakumuangalia kwa mara ya mwisho.
"..bwana ametoa na bwana ametwaa.. Apumzike
kwa amani.."
Nilijisemea kwa sauti ya chini chini kisha
nikambusu shavuni mwake Sammy huku mchozi
ukinilengalenga.. Taaratibu nikaliona jasho linamvuja Sammy
likitokea kichwani likipitia shingoni mwake..
Nilipigwa na butwaa kama dakika 5 nzima,
nikachukuwa mkono wangu nakugusa mapigo
yake ya moyo kwa mara nyingine tena..
"...oh yees!! Yee!!" Furaha ya ajabu ikanitawala huku mwili wangu
ukisisimka nakusababisha kama kizungu zungu
kwa kushuhudia mapigo ya moyo ya Sammy
yakidunda..
Nilimtingisha kwa nia yakumuamsha na hatimaye
akafumbua macho nakunifanya machozi ya furaha yachukuwe nafasi yake..
"..Jeff.. Jeff mpenzi.."
Aliachama mdomo nakuniita..
"..niambie mpenzi wangu Sammy.."
"..do you know how much I love you..?(unajua ni
jinsi gani nakupenda..) "..yeah, najua Sammy.."
Mud wote huo sammy alikuwa akiongea huku
anatia huruma nakunifanya nimjibu huku machozi
yakinilenga lenga.
"..Jeff najua unatembea na rafiki yangu Irene, pia
unamchumba wako Jacky, lakini na mimi nipo katika hifadhi hiyo hiyo.."
Nilihisi kama Sammy kachanganyikiwa fulani kwa
kuongea maneno yale..
"..sawa nimekuelewa Sammy embu tuongelee
mambo mengine.."
Nilimkatisha maneno yake aliyokuwa anaongea. Alichokifanya alichukuwa mikono yake nakulivuta
shuka kisha akalitua nakubakiwa uchi kabisa
kisha akainuka nakunisogelea huku akiitumia ile
mikono yake kuipitisha shingoni mwangu
nakuanza kunipa denda..
Mwili wake bado ulikuwa wamoto sana. Na muda wote sikutaka kumuuliza chochote juu ya
kupoteza fahamu kwa muda mrefu ule..
Nilimpindua nakumrushia kitandani mwake kisha
kilichofuata ni kumpa anavyotaka tena kwa kila
staili huku tukimaliza akibaki hoi anahema juu juu..
Tulipomaliza tulijikuta kwa wote usingizi ukitunyemelea hivyo tukalala mpaka asubuhi..
Nilikuja kushtuka asubuhi asubuhi nikaichukuwa
simu yangu nakuiwasha,
Meseji ziliingia mfululizo zote zilikuwa zinatoka kwa
Irene, nikafungua nakuzisoma haraka haraka..
'..UKO WAPI? JACKY NIMEMPA NAULI AMESEMA ANARUDI DAR..
ANASHUKURU KWA ULIVYOMZIMIA SIMU
NAKUMTOROKA... Akili yote ilinichemka huku kijasho chembamba
kikiendelea kutoka ndani ya mwili wangu,
Niliiangalie ile meseji mara mbili mbili huku nikiwa
sijiamini kabisa kama kweli imetokea kwa Irene au!
Niliipiga ile namba,
"..hallow Irene.." "..Jeff uko wapi sa hivi toka jana..?"
"..samahanini kwa kutokuwaambia jana, nilipitiwa
nikaenda 'club' lakini sasa hivi nipo njiani nakuja
huko.."
"..kama unakuja wewe njoo tu, lakini tambua kuwa
mchumba wako Jacky hayupo tena, nimeshampa nauli, na hivi ninavyoongea anaweza akawa
ameshafika 'Chalinze' au Kibaha.."
"..unasemaje Irene..?"
Niliona kama ananidanganya, sikutaka kabisa
kupoteza muda.
Nilivaa nguo zangu huku Sammy akiendelea kunitolea macho japokuwa alikuwa kachoka sana
kwa shughuli tuliokuwa tunaifanya hapa
kitandani.
Niliangalia muda ilikuwa tayari alfajiri kwenye saa
kumi na moja.
"..hapa daladala lazima nitazipata tu.." Nilijisemea peke yangu kwa sauti ya chini huku
nikitoka chumbani nakuelekea sebuleni huku
Sammy nikimwacha peke yake kitandani..
Nilipofika sebuleni napo nikakuta mlango
umefungwa kwa ufunguo na ufunguo hamna,
hivyo ikanibidi nirudi tena mpaka chumbani kumuuliza Sammy..
"...Sammy? Sammy pliz ufunguo wa sebuleni upo
wapi..?"
"..angalia kwenye droo pale sebuleni.."
Sammy alichoka sana kwani hata kunyanyuka
alishindwa. Nikarudi tena sebuleni nakuuchukuwa huo
ufunguo lakini kwa bahati nzuri kulikuwa na hela
kama shilingi elfu ishirini,Nikaichukuwa nakutoka
mpaka nje huku nikielekea barabarani.
Ndani ya muda mfupi tayari nilikuwa ndani ya
daladala huku mwili wote ukinitetemeka na hiyo yote nikumfikiria Jacky wangu.
"..sijui atakwenda kuwaambia kina Helleiner nilipo,
maskini nimekwisha Jeff mimi nimekwisha.."
Nilikuwa kama mtu aliyechanganyikiwa kwani hata
nilipofika stendi, nilikimbia mpaka maghorofani
alipokuwa anaishi Irene. Majasho yalinitoka sana, niligonga mlango kwa
nguvu zote, Irene akafungua.
"..enhe mzee wa 'Club' bila kuaga karibu.."
Irene aliongea kiutani huku akiniangalia kwa jicho
la kunitega.
"..niambie, Jacky wangu kweli hayupo..?" "..nikwambie mara ngapi Jeff..? Hayupo enh..? Na
ulipokuwa wote tunakujua na wala hatukutaka
kukufuata.."
"..nilikuwa club kweli.."
"..ndio hapo ufafanue vizuri club ipi, au chumbani
kwa Sammy kuna club..?" Moyo ulinipasuka ghafla kwa mshangao huku
nikiendelea kumtolea macho Irene..
"..hivi Jeff unajua kuwa Sammy anaundungu na
Helleiner..?"
"..Helleiner..? Helleiner gani huyo..?"
"..unajifanya humjui eh, sasa hapa ulipo angalia kwa dirishani mapolisi hao wanakuja, na Jacky
amekwenda kumchukuwa Helleiner huyo
unayesema humjui.. Manake umeua huko
ulipotoka unajifanywa hujui enh..?" Play boy inakaribia kuisha,
Je! Unaweza kuotea mwisho wake..?
 
ilipoishia... ...we si umeua huko Dar unajifanya hujui enh..?" endelea... Nilianza kuhisi mkojo unanitiririka ndani ya suruali
yangu huku mishipa ikinitawala kwenye paji langu
la uso ikiambatana na kajasho chembamba
ambacho kalikuwa kakinitiririka shingoni kupitia
makwapani mpaka kifuani kwangu..
"..Irene mie sijauwa mbona..? na Jacky ni mchumba wangu na hata wazazi wake wanajua, hawezi
kufanya hivyo unavyoniambia.."
Nilijitahidi kujitetea huku nikijikaza nisionekane
kweli nimeshawahi kuua, lakini Irene alionekana
kucheka tu kila nilipojitetea.
Mara hodi ikapigwa pale kwa Irene, mapigo ya moyo ndo yakazidi kwenda kasi kabisa.
"..nimekwisha Jeff mie, nimekwisha..?"
Nilijisemea kimoyo moyo huku nikikata kabisa
hamu ya kuendelea kuishi.
Irene alienda hadi mlangoni kufungua mlango
nakuniacha nikiendelea kutetemeka mwili huku meno yakichukua nafasi yake kwa kuumana mithili
ya mtu aliyemwagiwa maji ya barafu.
"..karibu, nikusaidie nini.?"
Ilikuwa ni sauti ya Irene. akiongea na huyo mtu
ambaye hata sikumfahamu wala kumuona
kwakuwa walikuwa wakiongea nje na mimi nipo kwa ndani.
"..Nauza, matunda na mboga za majani dada.."
Nilishusha pumzi chini baada ya kugundua kuwa
hakuwa mtu mwenye kuniletea madhara bali ni
muuza mboga na matunda tu.
Nilichokifanya nilikimbia mpaka chumbani kwa Irene na breki ya kwanza nikuchukuwa kipochi
chake anachowekeaga pesa kisha nikafungua
mlango wa jikoni nakutoroka zangu huku akili
ikiwa ni moja tu ya kumpata mchumba wangu
Jacky..
Ilinichukuwa kama dakika ishirini mpaka stendi ya mabasi yaendayo mkoani 'msamvu'.
Nilikata tiketi ya kuelekea Dar ile naingia tu kwenye
basi nikashangaa nashikwa begani, mapigo ya
moyo yakanibadilika ghafla lakini sikuonesha
kukata tamaa kwani nilijigeuza taratibu huku
nikiyakaza macho yangu. "..unasemaje..?"
Maskini kumbe alikuwa ni mchumba wangu Jacky,
alikuwa kavimba uso kweli nadhani ilitokana
nakulia sana.
"..Jacky, unafanyaje hapa..?"
"..ni bora hata nimekuona, hapa nilipo nimechanganyikiwa Jeff, na hii yote kwa sababu
yako, nilikuwa nirudi Dar kwetu nahapa
unaponiona nimepoteza nauli sina hata senti tano
na hii yote kutokana nakuchanganyikiwa.."
Taaratibu machozi yangu yalianza kunitoka
yalioambatana na huzuni. Nilitoa hela nyingine nakumkatia tiketi kisha
tukaingia ndani ya gari tukisubiri gari ijaze ili
tuondoke.
Tukiwa bado ndani ya gari huku Jacky wangu
akinipa story kuhusiana na Irene,mara tukamuona
huyo huyo Irene akiongozana na wavulana kama watatu hivi huku akija mpaka kwenye basi
tulilokuwa tumepanda mie na Jacky wangu.
"..Jacky? Jacky wangu tumekwisha? tumekwisha
Jacky? embu muangalie Irene huyo hapo kwa nje
anakuja.."
Pale pale Jacky wangu akadondoka nakupoteza fahamu nakuniacha mwili umelegea, nilitamani
nimbebe nakukimbia naye lakini ikawa ndo
nimeshachelewa tena, hivyo Irene aliingia ndani ya
basi na wale vijana wakanifunga pingu kisha
wakamfunga pingu na Jacky wangu japokuwa
alikuwa ameshapoteza fahamu.. ***** "... Jeff? we Jeff? embu hamka uko usingizi gani
mpaka sasa saa tano za asubuhi..?"
"...aaah Mama..? umenikatisha ndoto niliokuwa
naota bwana..?"
"..Jeff mwanangu lini utakuwa wewe? yani ndio
kwanza unamiaka 16 embu nenda huko ukajiandae uende kanisani hujui kama leo
jumapili.."
Nilijichekea peke yangu kwa ndoto ile nilioiota kwa
usiku, kwani ilikuwa ndefu na iliyonikutanisha na
wasichana wengi.
"..Mungu ninusuru na ndoto mbaya hizi..?" Nilipiga goti nikasali kisha nikaenda kujiandaa kwa
kuelekea kanisani. ~ Mwisho wa Play boy ~ mwisho wa story hii ni mwanzo wa story nyingine.. Chombeza ifuatayo baada ya hii ni, ~ Play gal - 01
 
PLAY BOY - 03 "nani akukumbuke wewe...!"
Nilijisemea kimoyomoyo huku akili yote
nikiiamishia kwa mchumba wangu Ney.
"usiniguse niache uko...!"
Ney alikuwa kabadilika kama mbogo kwani bado
alikuwa na uchungu juu ya ya kunifumania na Jacky.
Nilitumia muda mfupi tu kumbembeleza mpaka
akakubali c unajua tena mademu walivyo wepesi
kusahau,haikupita muda mwenyewe akaanza
kuongea taaratibu,
"Jef.., nakupenda usije ukanitenda tena pliz..!" "usijali mpenzi wangu ni shetani tu alinipitia..."
Mzuka wa ajabu ukanijia huku nikimkumbatia kwa
nguvu zote nakumpa madenda uso mzima,
niliitelezesha mikono yangu mpaka kwenye
chuchu zake huku nikitaka kusogea yale maeneo
yetu ya kujidai mara.. "no..! no..! no..! Jef pliz...!"
"...nini tena mpenzi.."
"una condom..?"
"hapana lakini..."
"Lakini nini...? Nimemaliza kubleed juzi tu, co pliz
nenda kanunue condom..." Niliamua kumkubalia fasta fasta huku nikivaa pensi
yangu nakumwacha Ney kalegea mwili wote
nikatoka nje kwenda kununua condom na
nilipofungua mlango tu.
"njoo hapa shhh...!"
"Jacky hujaondoka tu...?" Kumbe alikuwa ni jacky na alikuwa akituchungulia
muda wote huo kwa kupitia tundu la mlangoni.
Aliubamiza mlango kwa nguvu kisha akavua nguo
zake zote,
"...ulivyonichezea vyote vile ulitaka nani nimpe..?
Ng'ombe umle wewe ushindwe kumaliza kula na mkia..?"
Aliendelea kuongea Jacky huku akinivua pensi
yangu na kilichofuatia nikusex naye pale pale
kwenye korido chini huku Ney nikimwacha ndani
akinisubiri.
Nilisex bila ya kutumia condom huku nikifurahia raha ya mapenzi,kiukweli jacky anakatika tena dah
mpaka tukajikuta tunatoa sauti ya juu ile ya
mahaba.
"jacky..! jacky..! inatosha pliz...!"
"nini...? Hata hujanifikisha kileleni eti inatosha,
embu endelea huko..." Jacky hakutaka kunielewa kabisa mpaka nikampa
alivyokuwa anataka akaridhika,
"..haya sasa mfuate huyo mkeo ndani
ukammalizie..."
Aliongea jacky kwa nyodo huku akivaa nguo yake
na kutoka nje,niliongozana naye nikaishia dukani huku nikimwacha jacky akiendelea na safari
yake,fasta fasta nikarudi ndani,
"...mbona umechelewa hivyo Jef...?"
"si unajua leo jumapili maduka mengi yamefungwa
mapema na nimezipatia mbali sana..."
"nikwambie kitu Jef...?" "..enh..! niambie tu..."
"nimeghairi sitaki tena utumie condom kama
kunipa mimba we nipe nitailea tu.."
"Ney..? Ahh..! ahh..! ahh..!"
"mi ndo nimesema hivyo jef embu tupa vikondomu
vyako kuleee..." Ney alikuwa yuko seriaz kweli kwani nilimzoesha
vibaya kila ninapokutanaga naye huwa ni kavu
kavu kwenda mbele.
Kwa moyo wa ujasiri nikamvaa ili nisex naye ile
nataka tu kumvua mara mlango ukafunguliwa kwa
nguvu, "chukua chupi yako umenibadilishia lete yangu..!"
Alikuwa ni Jacky karudi ndani kwa hasira zote
huku akishikilia chupi yangu mkonöni,
"inamaana Jef umesha sex na huyu kabla
yangu...?"
Ney alinigeukia kwa mshangao huku akiwa hajiamini amini kama nimeshamzunguka ndani ya
muda mfupi... +++ Itaendelea....

Weka audio ndugu, tutaumia macho. Hadithi ndefu kama tunasoma A song of Lawino.
 
stunter pumzika kidogo ushushe tena badae
 
Back
Top Bottom