PLAZA ACCORD-Mkataba uliotumiwa na Marekani kuishusha Japan kiuchumi miaka ya 1980

PLAZA ACCORD-Mkataba uliotumiwa na Marekani kuishusha Japan kiuchumi miaka ya 1980

Kuna kitu kinaitwa Capital, hata mwalimu nyereree alikuwaa anakifahamu sana, hapa duniani wananchi wa kawaida wa marekani wana capital kubwaa sana na huwa inategemea wapi wameona kuna fursa. Kilichotokea Japan ni kwamba mabeberu wa marekani waliona fursa za kukuza mitaji yao kwa japani, kwa sababu japani na watu wake baada ya kupigwa na marekani walikuwa wepesi sana kukubali mikataba ya kiuwekezaji iliyolalia upande wa marekani. Pia japani ilikuwa tayari ina jamii yenye watu ambao wana ujuzi hivyo ilikuwa rahisi kuchakata mitaji naa kutengeneza faida.

Sasa baada ya japani kujiona yupo sawa zikanza vuta nikuvute na serikali, kitu kilichopelekea mabeberu wananchi wa marekani kuona hali si swari hivyo wakaanza kutoa mitaji yao, kwani raisi wao Nixoni tayari alikuwa kashapata Chaka jipya China.

Hivyo wazee wa mitaji wakaingia china na Japani akakosa pesaa. China wamarekani wamepiga sana pesa kwasababu kwanza wanainchi ni watiii sana wa serikali, wanaishi kama sisimizi, yani kwa maji na mkate anasurvive, hawalipwi mshahara mkubwa, na huwezi kuta maandamano ya kudai maslahi, sasa wanaichi china kama wana kamgomo baridi na Serikali yao, kwanza hawataki kuzaliana, pia wengine hawataki kabisa kufanya kazi, wanalala tu majumbani mwao. watu wengi walishituka sana baada ya kuona mazingira ya dormitory ya wafanyakazi waunda smartphone za Apple!

Sasa na China yupo kukimbiwa kutokana na choko choko zake, juzi tu nimemwona Xi yupo marekanaa anaomba vyuma vilegezwe. Na China mbadala wake ni India, Thailand na Vietnam. Mbaya zaidi china alikuwa haishi vizuri na majirani zake. Ndani ya miaka kumi china atakuwa kama puto lililotolewa upepo.
 
SK anapaswa kujiimarisha kiulinzi yeye binafsi kwanza kwa asilimia kubwa mwenzake NK anajaribu kufanya hivyo pamoja ya kwamba ana backup ya China na Russia.

Kutegemea watu wa nje na silaha za nje kiulinzi kwa kiasi kikubwa binafsi mimi huona sio sawa sijui wao wanatazama vipi ? Now Japan anajaribu kujiimarisha yeye binafsi ila mikataba inambana
Hawajiamini kabisa kama S.K kiteknolojia yuko juu zaidi ya N.K lakini anshindwa kujilinda mwenyewe

Nimeona Japan sasa hivi anaongeza hata bajeti ya ulinzi na kutengeneza baadhi ya silaha lakini bado ni asslicker wa USA
 
Kihalisi position aliyopo leo China ilikuwa iwe ya Japan, ila kaamua kurusha kitaulo kwa sababu ya kutii sera za Marekani

Marekani ni taifa ambalo sikuzote linalinda sana position yake hataki atoe mguu uweke mguu
Kuna moja kati ya haya mawili, nchi iweke Sera ya wananchi wake kumiliki uchumi na manufaa yawaletee wananchi unafuu wa maisha hivyo kusababisha maisha ya mwananchi mmojammoja kuwa bora zaidi.
Au
Serikali kuodhi njia zote za uchumi ili wananchi wapate nafuu ya maisha kwa speed iliyo ndogo sana...hili litasababisha nchi kuonekana tajari sana ila maisha ya wananchi wake ni wastani kabisa.
Au
Kwenda navyo vyote kwa pamoja, kitu ambacho ni ngumu sana lazima uwe na pande zote kama Marekani yaani ndumelakuwili.
Tanzania tunashidwa kupiga hatua kwasababu tunajifanya wajamaa na wabepari kwa wakati mmoja.
Viongozi wanaleta unafiki kwa kujifanya wajamaa wakiogopa wapiga kura masikini huku wakitenda upepari kwa kificho wakiogopa pia wananchi wapiga kura masikini.
 
Uko sahihi

Hii vita ngumu sana ila China kamdindia Marekani

Hii vita viongozi waliopita wa China sijui kama wangeiweza

Xi Jinping ni mwamba sana aisee Trump na Biden naamini wanakiri China chini ya Xi imeimarika sana

Xi kaja wakati China inamhitaji kiongozi wa kaliba yake ndio maana wamempa uraisi wa kudumu

Biden anaishia kumuita dictator halafu mwamba hata hamjibu
You know what ? If you want to fight China fight communist party of China.

Nguvu na maarifa ya China kwa asilimia kubwa yapo kwenye chama chao cha kikomunisti ni imara na smart
 
Kuna kitu kinaitwa Capital, hata mwalimu nyereree alikuwaa anakifahamu sana, hapa duniani wananchi wa kawaida wa marekani wana capital kubwaa sana na huwa inategemea wapi wameona kuna fursa. Kilichotokea Japan ni kwamba mabeberu wa marekani waliona fursa za kukuza mitaji yao kwa japani, kwa sababu japani na watu wake baada ya kupigwa na marekani walikuwa wepesi sana kukubali mikataba ya kiuwekezaji iliyolalia upande wa marekani. Pia japani ilikuwa tayari ina jamii yenye watu ambao wana ujuzi hivyo ilikuwa rahisi kuchakata mitaji naa kutengeneza faida.

Sasa baada ya japani kujiona yupo sawa zikanza vuta nikuvute na serikali, kitu kilichopelekea mabeberu wananchi wa marekani kuona hali si swari hivyo wakaanza kutoa mitaji yao, kwani raisi wao Nixoni tayari alikuwa kashapata Chaka jipya China.

Hivyo wazee wa mitaji wakaingia china na Japani akakosa pesaa. China wamarekani wamepiga sana pesa kwasababu kwanza wanainchi ni watiii sana wa serikali, wanaishi kama sisimizi, yani kwa maji na mkate anasurvive, hawalipwi mshahara mkubwa, na huwezi kuta maandamano ya kudai maslahi, sasa wanaichi china kama wana kamgomo baridi na Serikali yao, kwanza hawataki kuzaliana, pia wengine hawataki kabisa kufanya kazi, wanalala tu majumbani mwao. watu wengi walishituka sana baada ya kuona mazingira ya dormitory ya wafanyakazi waunda smartphone za Apple!

Sasa na China yupo kukimbiwa kutokana na choko choko zake, juzi tu nimemwona Xi yupo marekanaa anaomba vyuma vilegezwe. Na China mbadala wake ni India, Thailand na Vietnam. Mbaya zaidi china alikuwa haishi vizuri na majirani zake. Ndani ya miaka kumi china atakuwa kama puto lililotolewa upepo.
Sijui ni kuweka kwenye kundi lipi ila inaonekana haujui kinachoendelea ongeza maarifa

I'm sorry to say that
 
Hawajiamini kabisa kama S.K kiteknolojia yuko juu zaidi ya N.K lakini anshindwa kujilinda mwenyewe

Nimeona Japan sasa hivi anaongeza hata bajeti ya ulinzi na kutengeneza baadhi ya silaha lakini bado ni asslicker wa USA
Japan mikataba mingi ina mfunga yeye na Germany wanavifungo huru haaaaaah.

SK wapo busy kuigiza series 😄
 
You know what ? If you want to fight China fight communist party of China.

Nguvu na maarifa ya China kwa asilimia kubwa yapo kwenye chama chao cha kikomunisti ni imara na smart
CPC ina members makini sana mpaka waamue kumpitisha Xi Jinping kuwa president for life kuna kitu walikiona kwa huyu mwamba
 
Kuna kitu kinaitwa Capital, hata mwalimu nyereree alikuwaa anakifahamu sana, hapa duniani wananchi wa kawaida wa marekani wana capital kubwaa sana na huwa inategemea wapi wameona kuna fursa. Kilichotokea Japan ni kwamba mabeberu wa marekani waliona fursa za kukuza mitaji yao kwa japani, kwa sababu japani na watu wake baada ya kupigwa na marekani walikuwa wepesi sana kukubali mikataba ya kiuwekezaji iliyolalia upande wa marekani. Pia japani ilikuwa tayari ina jamii yenye watu ambao wana ujuzi hivyo ilikuwa rahisi kuchakata mitaji naa kutengeneza faida.

Sasa baada ya japani kujiona yupo sawa zikanza vuta nikuvute na serikali, kitu kilichopelekea mabeberu wananchi wa marekani kuona hali si swari hivyo wakaanza kutoa mitaji yao, kwani raisi wao Nixoni tayari alikuwa kashapata Chaka jipya China.

Hivyo wazee wa mitaji wakaingia china na Japani akakosa pesaa. China wamarekani wamepiga sana pesa kwasababu kwanza wanainchi ni watiii sana wa serikali, wanaishi kama sisimizi, yani kwa maji na mkate anasurvive, hawalipwi mshahara mkubwa, na huwezi kuta maandamano ya kudai maslahi, sasa wanaichi china kama wana kamgomo baridi na Serikali yao, kwanza hawataki kuzaliana, pia wengine hawataki kabisa kufanya kazi, wanalala tu majumbani mwao. watu wengi walishituka sana baada ya kuona mazingira ya dormitory ya wafanyakazi waunda smartphone za Apple!

Sasa na China yupo kukimbiwa kutokana na choko choko zake, juzi tu nimemwona Xi yupo marekanaa anaomba vyuma vilegezwe. Na China mbadala wake ni India, Thailand na Vietnam. Mbaya zaidi china alikuwa haishi vizuri na majirani zake. Ndani ya miaka kumi china atakuwa kama puto lililotolewa upepo.
Wafanyabiashara wengi wakichina wanafungua biashara na viwanda mataifa jirahi hayo uliyo yataja.

China wao wenyewe wafanyabiashara wanaoshindwa soko la ndani kiushindani wanafungua viwanda nje ikiwemo hiyo Vietnam.

China na Japan hazifanani namna wanavyo kwepana na Marekani.

Huko uarabuni, Afrika, S.America, Mexico matajiri na wachuuzi wakichina ndio wanachangamkia soko.

Kuna kitu kinaitwa BRI hili ni bomu kubwa China alilounda miaka mingi kucounter magharibi na linawalipa .

China na Japan tofauti kabisa.
 
Kuna haya mataifa ya Far East Asia; China/Taiwan, Japan, South Korea na North Korea kama yangekuwa na ushirikiano wako mbali sana kiteknolojia na kiuchumi wangekuwa na ushawishi sana
Ni ngumu kushirikiana kwa kila kitu hao watu ni rahisi sana China, NK, SK, TW kushirikiana kwa kila kitu Ila Japan😄
Hao wote wanachuki kubwa na Japan ila urafiki wa SK na Japan ni unafiki tu ila kuhalisia hata wananchi wenyewe wanachukiana
 
Balaah ila binafsi nawaheshimu sana Japan na Germany hawa watu wakiwa huru kabisa moto utawaka
Bora walivyotulizwa sio sema inawanyima confidence. Mikiki anayopitia China inamuimarisha sana kijeshi, kiteknolojia na kiuchumi.

Kipindi kile cha WW1 na WW2 waliimarika kwa sababu ya changamoto walizopitia kutoka kwa wapinzani wao

Sasa hivi kidogo tu wanaililia Marekani
 
Kuna moja kati ya haya mawili, nchi iweke Sera ya wananchi wake kumiliki uchumi na manufaa yawaletee wananchi unafuu wa maisha hivyo kusababisha maisha ya mwananchi mmojammoja kuwa bora zaidi.
Au
Serikali kuodhi njia zote za uchumi ili wananchi wapate nafuu ya maisha kwa speed iliyo ndogo sana...hili litasababisha nchi kuonekana tajari sana ila maisha ya wananchi wake ni wastani kabisa.
Au
Kwenda navyo vyote kwa pamoja, kitu ambacho ni ngumu sana lazima uwe na pande zote kama Marekani yaani ndumelakuwili.
Tanzania tunashidwa kupiga hatua kwasababu tunajifanya wajamaa na wabepari kwa wakati mmoja.
Viongozi wanaleta unafiki kwa kujifanya wajamaa wakiogopa wapiga kura masikini huku wakitenda upepari kwa kificho wakiogopa pia wananchi wapiga kura masikini.
Tanzania ni nchi ya kijamaa ila katiba yetu inachekesha
 
Bora walivyotulizwa sio sema inawanyima confidence. Mikiki anayopitia China inamuimarisha sana kijeshi, kiteknolojia na kiuchumi.

Kipindi kile cha WW1 na WW2 waliimarika kwa sababu ya changamoto walizopitia kutoka kwa wapinzani wao

Sasa hivi kidogo tu wanaililia Marekani
Wale watu ni wasumbufu
 
Back
Top Bottom