PLAZA ACCORD-Mkataba uliotumiwa na Marekani kuishusha Japan kiuchumi miaka ya 1980

Wazee mbona hamsemi mikakati ipi ifanyike ili Tanzania nayo iwe levo za marekani?
Au nyie mnajua tu points za kuisaidia China,Japan na SK??
Kinachotumaliza ni CCM

China iko imara kwa sababu chama cha kikomunisti cha China CPC kina watu makini kinasimamia rasilimali za taifa, hawacheki na mafisadi na wala rushwa

Mafanikio ya China hayakuwa overnight process ukisoma na kufuatilia documentaries za historia ya China tangu kipindi cha Mwenyekiti Mao, comrade Deng Xiaoping, Jiang Zemin, Hu Jintao mpaka Xi Jinping utaelewa
 
Kule puerto rico ni kampeni na teua ,tengua na mkalitizame hili. Habari za ku curb trade deficit walaa!
 

Unataka tu kuonesha mahaba yako Kwa Marekani, kabla yavita ya Pili ya dunia japani alikuwa mbali sana
 
Mkataba wa Saudia na USA wa kuuza mafuta kwa dollar(petrodollar) unazishua nchi za far east na kuinyanyua Marekani.

Siku wakishtuka Marekani atakuwa sawa na South Sudan
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] ila akil zako
 
waafrika mnashabikia bipolar world ila watesekaji wakubwa mtakuja kuwa nyiny , kwanza mnaongozwa na vipofu upigaj utakuja kuwa mwingi , ili uelew inabid niandike mengi ila tambua bipolar world itaifungua dunia na kuwafanya wenye nguvu kuwa huru zaid kuchagua mnyonge akiamin mataifa makubwa yatakaa kimya kuhofia kukuza mgogoro kama ilivyo Sudan kwa sasa hakuna atakaeingilia mpk mtu wamtoe moyo , huu ni mwanzo ila tutaona mengi kwenye hii bipolar word , mataifa dunia ya tatu yajipange kuteseka sana licha ya kuwa ss hv yanashabikia yakizan yatamkomoa mmarekan na mzungu
 
Kihalisi position aliyopo leo China ilikuwa iwe ya Japan, ila kaamua kurusha kitaulo kwa sababu ya kutii sera za Marekani

Marekani ni taifa ambalo sikuzote linalinda sana position yake hataki atoe mguu uweke mguu
si kwel China ilipaswa kuwa superpower tangu zaman sema jamii yao ilikuwa haijamka kwa japan ni ngumu sana kuja kutawala dunia maana hana factors strong za kuliteka dunia , China ina wasomi na soko kubwa pia , hapo awali haikuwa na wasomi ila japan ina wasomi ia haikuwa na market ya kuivutia dunia , hivyo ilimpasa kuwa chawa wa USA ambae alikuwa kateka akili za wengi duniani
 
Asante kwa mchango wako chifu
 
Mimi kama raia nimeelewa sana hapa
Lakini wale wahuni kule Hazina na Mipango wapo bize kutunga tozo za kuwadidimiza wananchi kouchumi
 
Ujamaa ukoje kwenye nchi yetu?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…