PLAZA ACCORD-Mkataba uliotumiwa na Marekani kuishusha Japan kiuchumi miaka ya 1980

Uchawa wa Japan kwa Marekani ulianza baada ya kupigwa mabomu ya atomic Hiroshima na Nagasaki
 
Ujamaa ukoje kwenye nchi yetu?
Hali mojawapo ya ujamaa ni viongozi wa kisiasa kukataa kujitambulisha kuwa wanafanya biashara gani na kwa mwaka biasahara yake hiyo imelipa kodi kiasi gani...
Hivi, unadhani Waziri mkuu wetu hana biashara anazofanya? Kwanini zinafichwa? Sababu ni kuwa wananchi wanarubuniwa kuwa wapiga kura wataanza kuona kuwa kuongozi wao anawaibia ndiyo maana anafanya biashara moja mbili.
Pia, suala la kutokuingiliwa kwa ndugu zetu wakusanya kodi kwani biashara ya wanasiasa wetu zitatajwa kwenye kundi la wakwepa kodi hivyo watajiona wanasaliti maubiri yao kwenye makukwaa.
Wajamaa wa nchi yetu wanapenda sana kujificha kwenye uzalendo...
Mabepari kama akina Trump walisema anafanya biashara 1,2,3 n.k ukipenda umchague au usimchague.
 
Wapo vizuri BYD.

Nitafute pesa nije ninunue EV kama nitaweza😀
Hao jamaa wako vizuri sana, sasa hivi kwenye soko la EV wanachuana na Tesla

Kuna ile BYD YANGWANG naikubali sana ile chuma

Au FAW HONGQI iwe suv au sedan zote kali
 
Sawa. Kwa hiyo tunatumia mfumo gani kwenye uongozi?
 
Kosa la japan (Dai Nippon) ni kupoteza katika world war 2
 
Hao jamaa wako vizuri sana, sasa hivi kwenye soko la EV wanachuana na Tesla

Kuna ile BYD YANGWANG naikubali sana ile chuma

Au FAW HONGQI iwe suv au sedan zote kali
Yaah magari mazuri nimepitia kuyaona jambo la muhimu ni kutafuta pesa kwa nguvu na akili zote.

EV lazima ni drive😀
 
Mataifa ya Ulaya, Japan na South Korea inapoKuja suala la geopolitical na uchumi wanapenda sana kusimamia sera za Marekani, hawajiamini kabisa. Wataishia kuwa nyuma ya Marekani miaka yote
Wamekubali kukabidhi ulinzi wao kwa Marekani.
 
Hauwez kuwa memba wa CPC mpaka ufaulu vigezo vyao vya nadharia na vitendo jamaa hawatak memba mzigo
Umesema vyema CPC ndiyo chama makini duniani ila wenye jicho la Demokrasia ya West hawataelewa
 
Hawajiamini kabisa kama S.K kiteknolojia yuko juu zaidi ya N.K lakini anshindwa kujilinda mwenyewe

Nimeona Japan sasa hivi anaongeza hata bajeti ya ulinzi na kutengeneza baadhi ya silaha lakini bado ni asslicker wa USA
Sidhani kama wanashindwa kujilinda dhidi ya north. Shida ni nuclear.
 
Kila kikwazo wamekishinda
China imewadhalilisha kwenye chips baada ya simu ya huawei kutoka na tech ya ndani.
Yani wamevurugwa balaa.
China now ni unstoppable na hivi vikwazo vinazidi kumjenga sana
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…