Uchaguzi 2020 Please CHADEMA, mtapata mnachokitafuta

Wananchi wamechoka na umasikini uliopindukia kila mtu maisha magumu siyo mfanyakazi siyo mkulima siyo mfanya biashara inatosha mitano hiyo. Hao wanaonufaika huo uongozi hata milion Moja hawafiki sijui atapitaje, siku ya uchaguzi ndiyo atajuwa wananchi kiasi gani wamechoka na ugumu wa maisha aliouleta kwa makusudi kutaka matajiri waishi kama mshetani asijuwe masikini ndo wanatumbukia jehanam kabla hata ya hukum
 
Wagombea wote kwa ujumla watapata kura zisizozidi milioni moja, sasa huo ni upinzani au kusindikiza?
Kutokuwa na mpinzani ni kama alivyofanyiwa ndani ya chama chake ila ikitokea nafas unayogombea kuna watu wengine wanagombea NDO WAPINZANI HAO,hata akipata kura 0 ndo mpinzani ilaa hajapata kura
 
Katika ishu ya kisiasa kwa sasa hasa katika nafasi ya uraisi,tusijipe moyo wa kiuongo,JPM anarudi ikulu vizuri kabisa bila hata misukosuko,tulishauri pia Lisu abaki nyuma,ngoma apewe mwingine wa kucheza,Lisu ageuzwe Manju,ili arudi bungeni kukihamshwa kwa maandalizi ya 2025,aso amini ajipe moyo,uzi huu utaduibuka upya baada ya miezi minne kutoka leo.
 
Tundu lissu kabeba nyomi kuliko msafara wa mwili wa anko ben

Punguzeni sifa, unadhani hao watu walikuwa kiasi gani kulingana na watu walioko Dar es salaam kisha tuanzie hapo?
Kama mtu mzima unataka kumlinganisha na marehem, basi kuna shida kwenye ubongo wako.
 

[emoji120]
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…