Please Could You Be Honesty to Us?

Please Could You Be Honesty to Us?

Owky Da Womanizer nina imani ujumbe huu tumeupata na tutaufanyia kazi. Hii ninaihesabu kama moja ya vitu ambavyo pengine wanawake wengi tumekuwa na mtizamo tofauti na wanaume. Na bahati mbaya sana (kwa wale tulioko ndani ya ndoa) mume anapoanza kukusema kwa ajili ya kumsumbua na simu zako huwa tunakimbilia kuquestion why ananizuia, kuna mabaya gani anafanya, mbona anajihami au kwani mi si ni mkewe nina haki ya kumpigia na kumwulize yuko wapi so asinipangie............na hapo ndipo ushindani unapoanza na kusababisha mengine.

Binafsi, mimi kama bacha,
sipendi mwanamke wa visasi,
eti umemwaga ugali, yeye atamwaga mboga lol...inahu............
KWA UJUMLA VISASI SIVIPENDI ASILANI!!!!!!!!!!!!!
 
Hahahaha...welokamu baki Rosie...

Ulikuwa umefungiwa gesti gani?

thanx babu...jina la gest nimelisahau...bt RR analiju ngoja nimchek anikumbushe
ni uyu rr bwana ananibana km nin...tulikuwa roma kidogo tulienda kula sakrament kdg n nw we r bak 4gud...

naomba urud kitandani babu kabla sjakudanganya:dance:
 
Babu nimeguna sababu
waweza mpata mtu mwenye hizo namba za chini na ni vitu ambavyo tunaweza kujifunza na kuvibadilisha.. lAkini hiyo number mmoja mmhhh.. vipi kAma number moja haijakamilika???

Namba moja lazima i-apply bana....Sura nzuri bana ni kigezo kikuu cha babu..... na uzuri simaanishi urembo, tofautisha hapo. Yaani yenye mvuto...bahati nzuri ailimia kubwa ya wanawake wana sura kama hizo.

Sasa kama una sura kama ngumi ya mwizi, utamsamehe babu bana. Kuna wanaozipenda bana, usijali..LOL
 
Duh MJ1,hiyo ni Incredible come back...long time!

Napenda mtundu, mcheshi ambaye yupo Tayari kujifunza,Mbishi kwa logic,mwenye kujali Utu na anayejipenda,awe na mvuto naturally ambao sio wa kuchakachua. Ofcourse she must be upright,sociable and above all,she must not be mushy! Zaidi kabisa awe Mfanyabiashara(Natania),lol
 
thanx babu...jina la gest nimelisahau...bt RR analiju ngoja nimchek anikumbushe
ni uyu rr bwana ananibana km nin...tulikuwa roma kidogo tulienda kula sakrament kdg n nw we r bak 4gud...

naomba urud kitandani babu kabla sjakudanganya:dance:
Ni kweli ngoja nirudi kwakuwa:
NAJUA kwamba mimi ni mwerevu na mwenye akili,kwa sababu nafahamu kwamba HAKUNA NINACHOFAHAMU"
 
Nipigie simu nikiwa baa nakunywa uniambie chakula tayari: Sawa kabisa
Nipigie kama nimechelewa kurudi toka kazini: Safi sana
Nipigie kunijulia hali kama nilikuwa na afya mgogoro: Maridadi kabisa

Umenipigia nikakuambia mamito nsharudi niko hapa KingStaa na Teamo Ti tunapata bia
Dakika tano unapiga tena......uko na Teamo kweli? Dakika tano tena......utarudi saa ngapi......dakika tano tena....mbona huji.......dakika tano tena...njoo ule......dakika tano tena........uko na malaya zako........dakika tano tena...mi nalala.......dakika tano tena.....jamani nakusubiri tule....dakika tano tena....siku hizi hunipendi....dakika tano tena.......khaaaaa!

Hata kama ni kupenda sasa hii ni kero:

SIPENDI MWANAMKE MSUMBUFU ASIYENIAMINI


Nimeipenda hii ngoja niihifadhi for future use lol!
The Following 2 Users Say Thank You to Asprin For This Useful Post:

Maty (Today), Teamo (Today)​
 
siku ipite hivi hivi bila kunichokoza wala husikii raha,lol....
haya bana, umeshakula kiporo chako?



dah kiporo cha makande babu usikipimie...nikubakishie...badaye ukija mpango kamili kiporo cha makande na tusker ya moto dah:dance::dance:dah sipatii picha lazima uxplode apo!!
 
Hehehehehe.... Aisee Asenga kaingia mitini bana....

Anatafutwa kama parachichi kwenye mti wa mchungwa!
imekuwaje tena asenga kasepa?
hebu njoo fb tuongee kidogo (huyu max huyu...hivi kwaq nini aliitoa chatroom?)
 
Duh MJ1,hiyo ni Incredible come back...long time!

Napenda mtundu, mcheshi ambaye yupo Tayari kujifunza,Mbishi kwa logic,mwenye kujali Utu na anayejipenda,awe na mvuto naturally ambao sio wa kuchakachua. Ofcourse she must be upright,sociable and above all,she must not be mushy! Zaidi kabisa awe Mfanyabiashara(Natania),lol

Duh, Ben hizi sifa zote awenazo mtu mmoja tu?lol...
 
imekuwaje tena asenga kasepa?
hebu njoo fb tuongee kidogo (huyu max huyu...hivi kwaq nini aliitoa chatroom?)

teamo missssssssssssssssssss uuuuuuuuu!!!!
msalimie rr ukimaliza futa!
 
1. Confidence - She's not a braggart, she's someone who knows her real value

2. The Femininity should be there - She should be fragility and show strength when the situation calls for it

3. She should be trustworthy - Hii haina haja ya kuipa maelezo inajieleza yenyewe

4. She knows how to nourish

5. She should not be obsessive and having a compulsive behavior

6. She knows how to have fun

7. She knows how to dress, clean and smells nice

8. She is wild in bed (She knows how to get it on)

9. Intelligent and well breed

10. Good sense of humor
 
1. Confidence - She's not a braggart, she's someone who knows her real value

2. The Femininity should be there - She should be fragility and show strength when the situation calls for it

3. She should be trustworthy - Hii haina haja ya kuipa maelezo inajieleza yenyewe

4. She knows how to nourish

5. She should not be obsessive and having a compulsive behavior

6. She knows how to have fun

7. She knows how to dress, clean and smells nice

8. She is wild in bed (She knows how to get it on)

9. Intelligent and well breed

10. Good sense of humor

Dogo tutafsirie kwa kiswahili basi? Khaa!
 
Wanajamvi salamu!

Ni kwa muda sasa nimekuwa nikiwaza na kuwazua juu ya jambo hili. Since most of the times tunakuwa tunalia kutendwa kimapenzi na bahati mbaya sana tunatupiana lawama kila mara, je inawezekana kina kaka, shemeji na kina baba mkawa wawazi kwa kueleza ni vitu gani huwa mnavitamani kwa magalfried/wachumba au wake zenu? Yaani design ya sipendi/napenda

Hapo ni figure tu
 
Namba moja lazima i-apply bana....Sura nzuri bana ni kigezo kikuu cha babu..... na uzuri simaanishi urembo, tofautisha hapo. Yaani yenye mvuto...bahati nzuri ailimia kubwa ya wanawake wana sura kama hizo.

Sasa kama una sura kama ngumi ya mwizi, utamsamehe babu bana. Kuna wanaozipenda bana, usijali..LOL
Haya babu
Ngoja niendelee na msafara
kuwatafuta wanazozipenda
mmmhhh
 
Back
Top Bottom