Pleasee eleweni siitaji tena mchumba na wala siitaji tena watu wanisumbue inbox ukihitaji mpenzi toa post

Pleasee eleweni siitaji tena mchumba na wala siitaji tena watu wanisumbue inbox ukihitaji mpenzi toa post

Please understand muelewe siitaji tena mchumba no more.
Mume hutoka kwa bwana sio hapa very sorry

Asanteni kwa wote waliokuja ila for now noo.
Siitaji.
Mwee wewe hawa wa jf ndio hao hao wa mtaani......wewe mume utoka kwa bwana kwa wale wanawake bikra tuu. Wee kama sio bikra tulizana na sie magubegube tuu🤣🤣🤣🤣
 
Mwee wewe hawa wa jf ndio hao hao wa mtaani......wewe mume utoka kwa bwana kwa wale wanawake bikra tuu. Wee kama sio bikra tulizana na sie magubegube tuu🤣🤣🤣🤣
Ila hao wa mtaani unawaona best unafanya maamuzi sahihi.
 
Maumivu yakizidi kamuone daktari [emoji16][emoji16][emoji16]
Screenshot_20220412-142848_Chrome.jpg
 
Back
Top Bottom