PLO Lumumba, kusema CCM ni chama kinachopigania kunyanyua maisha ya Watanzania maskini kwa kutumia vizuri rasilimali za Tanzania, unadanganya dunia

PLO Lumumba, kusema CCM ni chama kinachopigania kunyanyua maisha ya Watanzania maskini kwa kutumia vizuri rasilimali za Tanzania, unadanganya dunia

Yaani hata kama usiwe mbwa, lakini ukiwa jamii ya Paka utaendelea kuwatetea jamii yenzako mpaka mwisho.
Sikutegemea hata kidogo mtu aliyetoka Kenya kuja kusoma Dsm aiponde Tz.

Lakini kuthibithisha kuwa anawapaka Mafuta kwa mgongo wa chupa hao CCM, basi wamshauri aombe uraia wa Tz ili aje ayafurahie hayo maisha tuone km atakubali.

Eti wanasema maisha bila unafiki hayaendi, sijui wana maanisha nini!
Ila mtu aliyezaliwa Tanzania na kusoma UDSM anahaji ya kuidhalilisha Tanzania? Heri ya wehu kuliko kuwa mwanaharakati- wewe na bwana yule ni wanaharakati na hatari kwa ustawi wetu
 
downloadfile-3.jpg
poor-environment-poor-performance_web.jpg

Kidumu Chama cha Majambazi!, huyo Professa anadandia Siasa zetu kwa mbele.

Simlaumi, ni Njaa!
 
We jamaa ni bogus sana unataka maisha gani sasa maisha ni haya haya , ko ulitaka miaka mitano tu ya magufuri akufanyiee nini zaidi ya alicho kifanya ina inawezekana ujaelewaa alichoo maanishaa...

Jamaa ametulia anaongea fact na reference , jamaaa ana akili sana , vile ndivyo msomi unatakiwa uwe, tundu anaongea pumba vitu bila reference bila evidence , anaongea hana quotation hata ya mtu mmoja msomi gani huyoo[emoji23][emoji23] , anaulizwa can u give evidence to support wat u said magufuri died from covid ,, anatoa explanation baadala ya evidence , [emoji23][emoji23]uko ubeligiji wame muaribu hadi akili kiasi kwamba lawyer mzuri kama yule anashindwa kutoa rational arguments zilizoshiba..

Afu kakaaa kinafiki nafiki tu , umbea umbea tu cjui anaanza kuleta personal issues za shaka, mara appriciation za kinafiki nafiki kimbea mbeaa[emoji23] be straight and comfidently kama lumumba .....

Sent from my SM-A107F using JamiiForums mobile app
Mkuu kama wewe ni kidume na unaandika KO pole sana. Fanya tu kampeni ya kubring back marinda yako [emoji3][emoji3][emoji3]
 
Kwanini yeye PLO haonyeshi uzalendo na mapenzi yake ya dhati kwa Tanzania kwa kuhamia huku na kuishi chini ya utawala wa CCM, na siyo uongozi. Ngoma usiyoicheza huwezi kuujua utamu wake!

Everyday is Saturday............................... 😎
 
Hawa maprofesa aina hii ndio TL aliwahi waita "profesorio rabishi" wanaishi nadharia za kubuni zisizo mashiko wanazoziimba kwa sauti kubwa ili kuaminisha watu "urongo wao"
 
✔✔✔✔💯%
Ukiangalia maisha ya miaka 1960 waqkati tunapata Uhuru na Maisha ya sasa hivi utaona Maisha yameboreka sana na huduma za jamii zimeongezeka kwa wananchi. Shule zimeongezeka , Afya, Maji na Mawasiliano Mfano Barabara. Kwa hiyo Maendeleo yanaenda hayaendi haraka kama watu 2wanavyofikiria kama tu ule msemo unaosema Roma haikujengwa kwa siku moja
 
Nimemsikiliza huyu Prof nguli wa sheria toka nchini Kenya akizungumzia juu ya uzalendo wa hayati JPM juu ya kuwa kiongozi aliyekuwa kada wa CCM. Na kwa mujibu wa Prof Lumumba anadai CCM ni chama kinamchomuenzi hayati Julius Nyerere ndio maana kinakuwa kinahakikisha kuwa rasilimali za taifa la Tanzania zinatumika kunyanyua na kuendeleza maisha ya Watanzania.

Hivyo Prof Lumumba anadai kuwa sababu hayati JPM alikuwa mwanaCCM ndio maana alimuenzi hayati Nyerere kwa kuhakikisha anatumia rasilimali za taifa letu kuinua maisha ya Watanzania.

Jambo ambalo nimegundua kuwa huyu Prof Lumumba ameongea kwa kuangalia sarafu upande mmoja, huku akiwa haijui vizuri Tanzania. Maana kama anaijua vizuri Tanzania asingeongea pumba kama hizi.

Kwa haya maisha duni wanaoishi Watanzania ndio aseme CCM kwa miaka hiyo yote tangu itawale imeinua maisha ya watanzania masikini? Hata hayati JPM alipokuwa madarakani mbona umasikini umekuwa mkubwa? Mama lishe na wenye maduka wamefunga, ajira zilisimama, wafanyakazi hawajaongezwa mishahara. Huku ndio kuinua maisha ya wananchi? Mbona 80% wanamaisha duni? Au Prof. Lumumba na usomi wake anaona kununua ndege na kujenga Ubungo interchange ndio kuinua maisha ya watu!odata

Nimemsikiliza huyu Prof nguli wa sheria toka nchini Kenya akizungumzia juu ya uzalendo wa hayati JPM juu ya kuwa kiongozi aliyekuwa kada wa CCM. Na kwa mujibu wa Prof Lumumba anadai CCM ni chama kinamchomuenzi hayati Julius Nyerere ndio maana kinakuwa kinahakikisha kuwa rasilimali za taifa la Tanzania zinatumika kunyanyua na kuendeleza maisha ya Watanzania.

Hivyo Prof Lumumba anadai kuwa sababu hayati JPM alikuwa mwanaCCM ndio maana alimuenzi hayati Nyerere kwa kuhakikisha anatumia rasilimali za taifa letu kuinua maisha ya Watanzania.

Jambo ambalo nimegundua kuwa huyu Prof Lumumba ameongea kwa kuangalia sarafu upande mmoja, huku akiwa haijui vizuri Tanzania. Maana kama anaijua vizuri Tanzania asingeongea pumba kama hizi.

Kwa haya maisha duni wanaoishi Watanzania ndio aseme CCM kwa miaka hiyo yote tangu itawale imeinua maisha ya watanzania masikini? Hata hayati JPM alipokuwa madarakani mbona umasikini umekuwa mkubwa? Mama lishe na wenye maduka wamefunga, ajira zilisimama, wafanyakazi hawajaongezwa mishahara. Huku ndio kuinua maisha ya wananchi? Mbona 80% wanamaisha duni? Au Prof. Lumumba na usomi wake anaona kununua ndege na kujenga Ubungo interchange ndio kuinua maisha ya watu!
Prof. Lumumba amezungumza kwa facts na data . Wewe unazungumza kwa chuki ndio maana huoni hatua iliyopigwa. Kwanza hapa duniani hakuna nchi iliyoondoa umaskini kabisa ila umaskini unapunguzwa. Ukitaka kujua kama umaskini unapungua au la angalia data toka source mbalimbali kama World bank au NBS. Umaskini unapimwa kama vitu vingine vinavyopimwa na vipimo hivyo hivyo ndivyo vinavyoonyesha kuwa umaskini umepungua sana. Sio lazima utumie data za ndani ya nchi unaweza kutumia data toka vyanzo vya nje vinavyofanya jukumu hilo hilo la kupima umaskini. Unadai umaskini umekuwa mkubwa ungeonyesha kwa data wakati Magufuli anaingia madarakani hali ya umaskini ilikuwaje na sasa ikoje. Mabishano ya hoja za kiuchumi ni tofauti na mabishano ya simba ma yanga. Katika uchumi tunatumia data.

JPM amerekebisha makosa mengi makubwa yaliyofanywa awamu ya nne. Mfano mradi wa bandari ya Bagamoyo kama asingeuvunja Tanzania ingepata hasara kubwa sana. Je hata hilo hulioni? JPM ameimarisha bandari za Dsm, Tanga na Mtwara je manufaa yake huyaoni? Mikataba ya madini iliyokuwepo ameirekebisha na sasa kwa uchimbaji ule ule tunapata mapato zaidi ya mara tatu na data huwa zinatolewa rejea hotuba za bajet na hali ya uchumi. Ujenzi wa reli ya SGR, bwawa la umeme la megawati 2000, hospitali za rufaa za kanda, mikoa, wilaya, vituo vya afya vya kata na mamia ya zahanati yote hayo huyaoni? Barabara za lami zilizojengwa na zinazoendelea kujengwa tena kwa fedha zetu wenyewe wewe huoni? Au ulitaka afanye nini ndipo uone amefanya kitu. Toa mfano wa nchi yeyote ya kiafrika ambayo imepiga hatua kwa kasi katika miaka hata kumi iliyopita.

Mtanzania yeyote asipofanya kazi ili kujiletea maendeleo aelewe hata aje kiongozi gani hali yake haiwezi kubadilika. Kuna mambo ya kufanya mtu binafsi, serikali za mitaa na serikali kuu. JPM yeye alihakikisha serikali inatimiza majukumu yake.

Lissu unayemuamini kwa sasa anasomeshewa watoto wake kule Marekani bure na mwenyewe anavuta posho ya ukimbizi huko Belgum.

Unapochambua kitu fanya objectively sio subjectively.
 
Kama umesikiliza mjadala wote,huwezi andika kwa kuquote katikati,hizo ni chuki.

Ungeweka maelezo yake yote.mbona kataja madhaifu na mazuri
Udhaifu pekee alioongolea, tena baada ya kuulizwa ni ule wa jinsi Jiwe alivyoignore science na kufata traditional approach kwenye covid 19.

Ila tofaut na hapo alifumbia macho mambo mengi ikiwemo infrastructures za pale chato
 
Nimemsikiliza huyu Prof nguli wa sheria toka nchini Kenya akizungumzia juu ya uzalendo wa hayati JPM juu ya kuwa kiongozi aliyekuwa kada wa CCM. Na kwa mujibu wa Prof Lumumba anadai CCM ni chama kinamchomuenzi hayati Julius Nyerere ndio maana kinakuwa kinahakikisha kuwa rasilimali za taifa la Tanzania zinatumika kunyanyua na kuendeleza maisha ya Watanzania.

Hivyo Prof Lumumba anadai kuwa sababu hayati JPM alikuwa mwanaCCM ndio maana alimuenzi hayati Nyerere kwa kuhakikisha anatumia rasilimali za taifa letu kuinua maisha ya Watanzania.

Jambo ambalo nimegundua kuwa huyu Prof Lumumba ameongea kwa kuangalia sarafu upande mmoja, huku akiwa haijui vizuri Tanzania. Maana kama anaijua vizuri Tanzania asingeongea pumba kama hizi.

Kwa haya maisha duni wanaoishi Watanzania ndio aseme CCM kwa miaka hiyo yote tangu itawale imeinua maisha ya watanzania masikini? Hata hayati JPM alipokuwa madarakani mbona umasikini umekuwa mkubwa? Mama lishe na wenye maduka wamefunga, ajira zilisimama, wafanyakazi hawajaongezwa mishahara. Huku ndio kuinua maisha ya wananchi? Mbona 80% wanamaisha duni? Au Prof. Lumumba na usomi wake anaona kununua ndege na kujenga Ubungo interchange ndio kuinua maisha ya watu!
Hivi Lumumba ni mzima kweli ?
 
Nimemsikiliza huyu Prof nguli wa sheria toka nchini Kenya akizungumzia juu ya uzalendo wa hayati JPM juu ya kuwa kiongozi aliyekuwa kada wa CCM. Na kwa mujibu wa Prof Lumumba anadai CCM ni chama kinamchomuenzi hayati Julius Nyerere ndio maana kinakuwa kinahakikisha kuwa rasilimali za taifa la Tanzania zinatumika kunyanyua na kuendeleza maisha ya Watanzania.

Hivyo Prof Lumumba anadai kuwa sababu hayati JPM alikuwa mwanaCCM ndio maana alimuenzi hayati Nyerere kwa kuhakikisha anatumia rasilimali za taifa letu kuinua maisha ya Watanzania.

Jambo ambalo nimegundua kuwa huyu Prof Lumumba ameongea kwa kuangalia sarafu upande mmoja, huku akiwa haijui vizuri Tanzania. Maana kama anaijua vizuri Tanzania asingeongea pumba kama hizi.

Kwa haya maisha duni wanaoishi Watanzania ndio aseme CCM kwa miaka hiyo yote tangu itawale imeinua maisha ya watanzania masikini? Hata hayati JPM alipokuwa madarakani mbona umasikini umekuwa mkubwa? Mama lishe na wenye maduka wamefunga, ajira zilisimama, wafanyakazi hawajaongezwa mishahara. Huku ndio kuinua maisha ya wananchi? Mbona 80% wanamaisha duni? Au Prof. Lumumba na usomi wake anaona kununua ndege na kujenga Ubungo interchange ndio kuinua maisha ya watu!
Huyu sio Mtanzania lakini angalau anajua mambo mengi tu ya Tanzania, lakini watanzania tulivyo wabishi hatuwezi kuamini kwa sababu kasifiwa mtu aliyekuwa CCM. Maisha mazuri yatakuja chapa kazi acha malalamiko yako unataka Rais aje akupe mtaji wa biashara?
 
Nimemsikiliza huyu Prof nguli wa sheria toka nchini Kenya akizungumzia juu ya uzalendo wa hayati JPM juu ya kuwa kiongozi aliyekuwa kada wa CCM. Na kwa mujibu wa Prof Lumumba anadai CCM ni chama kinamchomuenzi hayati Julius Nyerere ndio maana kinakuwa kinahakikisha kuwa rasilimali za taifa la Tanzania zinatumika kunyanyua na kuendeleza maisha ya Watanzania.

Hivyo Prof Lumumba anadai kuwa sababu hayati JPM alikuwa mwanaCCM ndio maana alimuenzi hayati Nyerere kwa kuhakikisha anatumia rasilimali za taifa letu kuinua maisha ya Watanzania.

Jambo ambalo nimegundua kuwa huyu Prof Lumumba ameongea kwa kuangalia sarafu upande mmoja, huku akiwa haijui vizuri Tanzania. Maana kama anaijua vizuri Tanzania asingeongea pumba kama hizi.

Kwa haya maisha duni wanaoishi Watanzania ndio aseme CCM kwa miaka hiyo yote tangu itawale imeinua maisha ya watanzania masikini? Hata hayati JPM alipokuwa madarakani mbona umasikini umekuwa mkubwa? Mama lishe na wenye maduka wamefunga, ajira zilisimama, wafanyakazi hawajaongezwa mishahara. Huku ndio kuinua maisha ya wananchi? Mbona 80% wanamaisha duni? Au Prof. Lumumba na usomi wake anaona kununua ndege na kujenga Ubungo interchange ndio kuinua maisha ya watu!
Achana na huyu kichaa
 
Post toka kwa mmoja wa members wa Jf ambao ni wapuuzi kabisa.
 
Back
Top Bottom