Mapensho star
JF-Expert Member
- Jun 30, 2016
- 3,052
- 4,104
Magufuli alifany maisha ya wananchi yawe magumu zaidi kwa miradi yake ambayo mingi ilikuwa haina tija kama ununuz wa ndege,na miradi ya chato
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hajataja dhaifu hata moja, ebu tuwekee hilo dhaifu alotajaKama umesikiliza mjadala wote,huwezi andika kwa kuquote katikati,hizo ni chuki.
Ungeweka maelezo yake yote.mbona kataja madhaifu na mazuri
Hebu Kidogo mkuu, usikimbilie hitimisho bila kuweka ushawishi juu ya hitimisho lako.Post toka kwa mmoja wa members wa Jf ambao ni wapuuzi kabisa.
Ni mjinga sana huyu jamaa anaijua sana nchi yetu. Aongelee Mambo ya kwao ni shabiki wa CCMNimemsikiliza huyu Prof nguli wa sheria toka nchini Kenya akizungumzia juu ya uzalendo wa hayati JPM juu ya kuwa kiongozi aliyekuwa kada wa CCM. Na kwa mujibu wa Prof Lumumba anadai CCM ni chama kinamchomuenzi hayati Julius Nyerere ndio maana kinakuwa kinahakikisha kuwa rasilimali za taifa la Tanzania zinatumika kunyanyua na kuendeleza maisha ya Watanzania.
Hivyo Prof Lumumba anadai kuwa sababu hayati JPM alikuwa mwanaCCM ndio maana alimuenzi hayati Nyerere kwa kuhakikisha anatumia rasilimali za taifa letu kuinua maisha ya Watanzania.
Jambo ambalo nimegundua kuwa huyu Prof Lumumba ameongea kwa kuangalia sarafu upande mmoja, huku akiwa haijui vizuri Tanzania. Maana kama anaijua vizuri Tanzania asingeongea pumba kama hizi.
Kwa haya maisha duni wanaoishi Watanzania ndio aseme CCM kwa miaka hiyo yote tangu itawale imeinua maisha ya watanzania masikini? Hata hayati JPM alipokuwa madarakani mbona umasikini umekuwa mkubwa? Mama lishe na wenye maduka wamefunga, ajira zilisimama, wafanyakazi hawajaongezwa mishahara. Huku ndio kuinua maisha ya wananchi? Mbona 80% wanamaisha duni? Au Prof. Lumumba na usomi wake anaona kununua ndege na kujenga Ubungo interchange ndio kuinua maisha ya watu!
View attachment 1740504
siwezi maana hata jina langu ni MchokoziYafaa uache uchokozi .