PLO Lumumba: Tundu Lissu ni muongo, nimefika Chato Hayati Magufuli hana utajiri wa kumlinganisha na Mobutu Sese Seko

PLO Lumumba: Tundu Lissu ni muongo, nimefika Chato Hayati Magufuli hana utajiri wa kumlinganisha na Mobutu Sese Seko

Huyo mungu wenu mbaona hajamsaidia Lisu aingie ikulu?

[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Mnajifariji sana aisew
Mungu wetu ni wa uzima, alimpa Lisu uzima baada ya jiwe kuwaagiza nyie watu wa kundi lake la watu wasiojulikana kumshambulia. Kwa sasa Lisu aliyeshambuliwa Mungu kamuweka hai, yule aliyekuwa akilindwa kwa hayo mabunduki covid imempiga chini. Hapo ndio utajua nguvu ya Mungu wetu.
 
Yeye huyo Pro Lumumba anaishi Tz? Amewahi kupigwa Risasi ngapi?
Haimpi haki ya kusema uongo na kuhada ulimwengu. Issue ya kupigwa risasi ni kweli mafufuli na serekali yake wamemdhulumu haki Lissu na wamemuonea.
 
Mungu wetu ni wa uzima, alimpa Lisu uzima baada ya jiwe kuwaagiza nyie watu wa kundi lake la watu wasiojulikana kumshambulia. Kwa sasa Lisu aliyeshambuliwa Mungu kamuweka hai, yule aliyekuwa akilindwa kwa hayo mabunduki covid imempiga chini. Hapo ndio utajua nguvu ya Mungu wetu.
Mungu siyo amsterdam!
 
Kitendo cha kuongezewa gharama za vifurushi na dakika kimetuumiza sana wanyonge. Au nasema uwongo ndugu zangu? Basi tuandamane!! Nyo.ko brainwash!
Uzi huu hauhusiani na vifurushi nitaku ban mkuu
 
Habari ndio hiyo, hutaki, kunywa sumu ufe.
Sumu mnywe nyie ambao mmeangaika na ccm weee mara akaja Jiwe nae mkangaika nae wee hadi kaondoka na sasa imebaki tena ccm mwendo uleule, Mimi sijajipa stress hivyo sina sababu ya kunywa sumu.
 
Sumu mnywe nyie ambao mmeangaika na ccm weee mara akaja Jiwe nae mkangaika nae wee hadi kaondoka na sasa imebaki tena ccm mwendo uleule, Mimi sijajipa stress hivyo sina sababu ya kunywa sumu.
Streass tuitoe wapi, sisi kazi yetu ni kuwajambisha nyie majizi ya kura na kuwanyima raha.
 
Back
Top Bottom