PLO Lumumba: Tundu Lissu ni muongo, nimefika Chato Hayati Magufuli hana utajiri wa kumlinganisha na Mobutu Sese Seko

PLO Lumumba: Tundu Lissu ni muongo, nimefika Chato Hayati Magufuli hana utajiri wa kumlinganisha na Mobutu Sese Seko

Streass tuitoe wapi, sisi kazi yetu ni kuwajambisha nyie majizi ya kura na kuwanyima raha.
Sasa unamyima nani raha wakati ccm ndio wanakula raha na nyie mnaishia kupayuka tu kama mijibwa koko la kufanya hamna,juzi mmebweka kuhusu kwamba Rais anatakiwa kuvunja baraza la mawaziri na kuhusu waziri wa fedha ila tizama Mama samia alivyowapuuza.

Halafu et mnajambisha sasa hapo mnamjambisha nani? nyie mna stress hadi leo bado mna hasira na marehemu.
 
Sasa unamyima nani raha wakati ccm ndio wanakula raha na nyie mnaishia kupayuka tu kama mijibwa koko la kufanya hamna,juzi mmebweka kuhusu kwamba Rais anatakiwa kuvunja baraza la mawaziri na kuhusu waziri wa fedha ila tizama Mama samia alivyowapuuza.

Halafu et mnajambisha sasa hapo mnamjambisha nani? nyie mna stress hadi leo bado mna hasira na marehemu.

Kwangu marehemu alikuwa ni ibilisi na nilifurahi sana baada ya yeye kuelekea motoni. Huyo mama avunje baraza la mawaziri asivunje is none of my business, since ninajua wao ni majizi ya kura fullstop.
 
Propesa ana mahaba na jiwe Ina maana hata iwe fence thamani yake ni SAwa na shule 5 za wanyonge au unajenga nyumba 60 za wanyonge ajaona.Ajaona mataa,ajaona ka international airport,
 
Kwangu marehemu alikuwa ni ibilisi na nilifurahi sana baada ya yeye kuelekea motoni. Huyo mama avunje baraza la mawaziri asivunje is none of my business, since ninajua wao ni majizi ya kura fullstop.
Kwenda motoni hayo mambo ya kiimani na tukiyaleta hapa basi hata wewe pia utakufa na kwenda huko huko motoni sasa hapo cha kufurahia kipi? wewe kubali tu Jiwe kawavuruga na sasa Mama samia anaendeleza kuwavuruga imebaki kidogo tu muokote makopo.
 
Kwenda motoni hayo mambo ya kiimani na tukiyaleta hapa basi hata wewe pia utakufa na kwenda huko huko motoni sasa hapo cha kufurahia kipi? wewe kubali tu Jiwe kawavuruga na sasa Mama samia anaendeleza kuwavuruga imebaki kidogo tu muokote makopo.
Kawavuruga wakina nani ni dikteta aliyedumu mda mchache
 
Propesa alikuwa ni propagandist Mkubwa wa jiwe stone kimataifa.Aliiona tza kupitia magazeti yaliyofungwa mdomo kuandika positive tu kuhusu Utawala dhalimu hakuingia field kuona jinsi wanyonge walivyonyongwa kwa vyuma kukaza.
Jiwe was there for his own life and not people's life.Ashukuriwe Mungu kwa kusikia maombi yetu ya kutufungulia kifungo.
 
Acha mitazamo ya ajabu! Unafurahi mtu wa nje kuisemea nchi yako rafiki? Tumefika pabaya. Kwanza lengo hasa la majadiliano halikuwa Kama watu wanavyofikiri. Vyombo vya nje vimelenga kuichafua Tanzania kwa kuonyesha hatuna uhuru na ndio maana hakuna hata wa kuisemea nchi.

Pili,vimeamua kuonyesha ulimwengu kuwa watanzania ni waongo na wapika data ndio maana vyombo hivyo vimeamua kushirikiana na majirani zetu ambao wanatufahamu vyema. Too sad.

Nchi zinazojitambua zingejitokeza na kumkana mtu wa nje kuwa msemaji wa serikali na kujipachika uraia wa nchi husika. Nashangaa sana sisi watanzania kusapoti udhalilishaji huu.

Kenyans wanatuona wapuuzi sana. Jaribu kuisemea Kenya uone hata Kama unaisifia. Utaona watakavyokucharukia. We have become the laughing stock of outsider brother.

Ukisikiliza vizuri utagundua PLO hakuwa anasifu Bali kukejeli kwa njia ya kukashifu. Hata Tundu alikuwa anamwelewa. Ile ni mbinu yetu sisi wanasheria. WAKE UP!!!
Yaani unaonyesha ni namna gani we ni Nyumbu, jirani yako akieneza Sifa nzuri kuhusu familia yako badala ya kumsifu utaenda kumshambulia kweli?

Tatizo la wanachadema ni ile hali ya kutokubaliana na uhalisia wa Mambo, ukweli kabisa hata roho zenu zinawasuta kuhusu JPM kuwa alikuwa ni kiongozi wa kupigiwa mfano katika kuiletea maendeleo nchi yetu, alichukia rushwa na ufisadi, alitaka uwajibikaji katika kazi, usimamizi thabiti wa rasimali za nchi, misimamo thabiti dhidi ya Sera kandamizi za mabeberu.

Kifo chake kimedhihirisha ni namna gani uongozi wake ulipendwa na wananchi. Kama ulifuatiliwa mitandaoni BBC walianza propaganda zao za kukashfu, lakini waafrika kutoka nchi mbalimbali wali react kwa kuwashambulia BBC wakionyesha ni namna gani kiongozi huyu alikuwa dira kwa viongozi wengine wa Africa katika kuleta maendeleo na kusimamia rasimali za nchi zao kwa manufaa ya watu wao.
 
Kwenda motoni hayo mambo ya kiimani na tukiyaleta hapa basi hata wewe pia utakufa na kwenda huko huko motoni sasa hapo cha kufurahia kipi? wewe kubali tu Jiwe kawavuruga na sasa Mama samia anaendeleza kuwavuruga imebaki kidogo tu muokote makopo.

Mimi hata nikienda motoni hamna shida maana sijifanyi mcha Mungu kama jiwe. Huyo mama amvuruge nani? Naona mnalazimisha huyo mama aige tabia za kibaradhuli ili kuficha tabia za yule muovu, ila kwa bahati mbaya huyo mama anajitenga na tabia za yule ibilisi.
 
Mimi hata nikienda motoni hamna shida maana sijifanyi mcha Mungu kama jiwe. Huyo mama amvuruge nani? Naona mnalazimisha huyo mama aige tabia za kibaradhuli ili kuficha tabia za yule muovu, ila kwa bahati mbaya huyo mama anajitenga na tabia za yule ibilisi.
Huyo mama hata mwezi hana hivyo bado sana ila inaonekana huyu anawajulia vizuri haongei kwa ukali wala nini ila atawatia sana stress zaidi ya mtangulizi wake.
 
Huyo mama hata mwezi hana hivyo bado sana ila inaonekana huyu anawajulia vizuri haongei kwa ukali wala nini ila atawatia sana stress zaidi ya mtangulizi wake.

Ni hivi, yule mtangulizi wake alikuwa ibilisi, huyo mama hata amuige hawezi kumfikia. Hivyo matamanio yako ya mtu muovu kufichiwa udhalimu wake, yasahau fullstop.
 
Ni hivi, yule mtangulizi wake alikuwa ibilisi, huyo mama hata amuige hawezi kumfikia. Hivyo matamanio yako ya mtu muovu kufichiwa udhalimu wake, yasahau fullstop.

Unasemaje khs bando mkuu?
 
Lissu huwa zinaongea Risasi na sio yeye, Kisaikologia hayupo sawa
 
Unasemaje khs bando mkuu?
Hiki kisago cha bundle ni maagizo ya ibilisi mwenyewe, halafu alikuwa anaoongopea watu kuwa nchi hii ina rasilimali kibao na ni tajiri sana. Kama ina rasilimali kibao, mbona kodi kandamizi ziko kwenye mawasiliano, na sio huko kwenye hizo raslimali?
 
Back
Top Bottom