Hivi hapa tunaongelea nini ? Tunaongelea tindo liso amefanya nini ? Lumumba amefanya nini ? Au hayati John pombe Magufuli Magufuli Simba wa Africa , Jemadari mkuu alieipigania nchi yake dhidi ya mafisadi , walafi na mabeberu , ongeza umakini braza, Mungu amlaze mahali pema peponi Hayat Magufuli .Lumumba practically ana mafanikio gani kwenye kupigania yale anayoyaamini zaidi ya kelele tu majukwaani?
Lissu amefanya vitu practical mfano alidai hakuna haki kwenye madini akaingia LEAT kutetea wakazi kwenye maeneo ya migodi.
Akaingia bungeni kupinga miswada mibovu ukiwemo muswada wa mapato ya gesi na mafuta.
Alipodai JPM ni dikteta alimface uso kwa uso kwenye kampeni zilizokua na mafanikio makubwa.
Aah alipoona utawala wa sheria unayumba akagombea Urais wa TLS ingawa walimvamia hta mwaka hakumaliza.
Ssa huyo PLO ni muongeaji tu je amefanya nni practical mfano kupigania pan africanism hapo kenya tu penye ukabila? Mbona kila post aliyopewa kusimamia amefeli?
Embu kuweni serious kidogo