Chato kule hamna kitu , ni chuki Tu za watu , kule cha maana zaid ni hospital
Huyo naye ni mtumia fursa tu hana jipya.Lumumba hana mabadiliko yoyote aliyowahi kuchangia katika uchumi wake na uchumi wa Afrika licha Dunia, ukimsikiliza unachokiona ni maneno yakiingereza yaliyopakwa Nakshi. Mazingira ya Chato miaka mitano Leo hii kwa msomi mzalendo anaweza kutetea kilichofanyika? Lakini najiuliza lini alifika chato? Kwa ninavyomfahamu hakuna alipokanyaga bila media kuwa nyuma yake maana si kwa mbwembwe hizo.
Mfuatilie Lumumba kwenye uchaguzi wa Kenya uliopita utajua who his Lumumba
Unadhani madini yanapitia wapi bwashee?!Kwamba hakuona uwanja wa ndege mkubwa usio na shughuli chato
Na Lissu angekataa kufanya hiyo kitu na huyo kikongwe maana hana tofauti na mzee ruksa kwa sasa.PLO ni Mzushi tu ,anajua accounts zote za JIWE? Kwani Chato Airtport haipo? Burigi Park? Shamba Pori la Santos halipo?
Hahahaha...angalia serikali iliyoundwa harafu niambie nirudi. Anyways, watu wenye chuki kama wewe huwa sihangaiki nao. Sina muda wa kuchukia binadamu mwenzangu..nipate kisukari cha nn na ugonjwa wa moyo?Unajisumbua tu wewe MATAGA, hamna pakushika tena dadeeeki.
Lazima mtahama hapa mjini mrudi kwenu koromitje
Nimemsikiliza PLO Lumumba, mzee anajua Sana. Nataman Sana serikali ya JMT ingekua na mtu mwenye uwezo wa kuisemea Kama Prof. Kwa ufafanuzi wake, Sasa ni rasmi dunia nzima inajua Lissu ana chuki binafsi na JPM, na ni hakika Magufuli alikuwa Kiongozi mwema, mpenda nchi yake aliyetamani kuona nchi ikipiga hatua kimaendeleo.
#TANZANIA NI YETU SOTE, TUIPENDE NA KUITUMIKIA
Ndiyo mjue kuwa kulikuwa na mambo ya kutisha sanaHili lilinishangaza Sana, wapiga picha hawakutakiwa kupiga picha zaidi ya wageni, gadi ya mazishi na kuweka mashada, sijui kulikuwa kunafichwa kitu gani.
Kabugia kimpumuAcha uwaki jombaa! Kilimanjaro tuna wilaya zaidi ya 5 lakini uwanja upo mmoja.
Au umekula machicha badala ya kunywa mbege?
Anaepeleka mambo ya ndani ni hao kina Tindi liso &co, sasa anaowapelekea wanamueleza ukweli , mtulie dawa ipenyeAnajua nini? Mbona tume ya kupambana na rushwa huko Kenya ilimshinda?
Huyu alisimama na Uhuru Kenyatta kupora ushindi wa Odinga na akaangushwa kwenye kesi.
Hata siku moja mgeni hawezi jua mambo ya ndani. Ndio maana Dunia nzima inamuadmire Haille Sellasie ila ukifika Ethiopia wanamuona dikteta tu, hta Kagame anasifiwa dunia nzima ila Rwanda wengi tu wanamuona ni mnyama tu.
So hata siku moja mtu wa mbali huwezi jua kila kitu cha ndani, ataangalia tu mambo ya juu juu tu.
Ungemshauri mapema!Na Lissu angekataa kufanya hiyo kitu na huyo kikongwe maana hana tofauti na mzee ruksa kwa sasa.
Unaizungumzia cdm ipi hiyo?Huyu anaiua Chadema bila kujijua au kwa makusudi kisha akimbilie ACT wazalendo!
Professa gani anaongelea puani!PLO ni mweupe Labda kwa nyie msiofuatilia masuala ya nje ya TZ.
Alipewa kuongoza Kitengo cha PCCB ya Kenya akaharibu vibaya CV yake ikaishia hapo ndio maana hawezi kugombea hata u MCA huko kwake.
Anawachanganya mazuzu na vocabulary za kumeza lakini utendaji F
Watapoteana sana ingefaa wakakaa kimya tu, Dunia imeona Magufuli alivopendwa na watu wake .Siabudu mtu mimi...naongea ukweli..refer picha na videos za msiba wa magufuli kuanzia Mwanza, Geita mpaka chato..unafikiri wale ni nani zaidi ya wapiga kura? Binafsi kuna sera za magufuli nilikuwa nazipiga ila ukweli ni kwamba nimeumizwa na msiba wake...na hawa wapuuzi wanaoendelea kutaka kumshambulia wakati amezikwa na hawezi kuwajibu watazidi kupoteza sana kisiasa..watu wanaona kwa kiasi gani hawana busara..refer maneno ya Lumumba sio yangu na najua anasema.ukweli.
Sijui kwanini korona isipambane nayeHuyo mkenya Yuko obsessed na magufuli kiasi kwamba akiambiwa magufuli ameweka hifadhi ya wanyama, uwanja wa ndege, uwanja wa mpira, taa za barabarani kijijini na kujenga ikulu huko hawezi kuelewa chochote zaidi ya kutupia mijineno ya uongo ya kiingereza Cha wachawi anachobumba. Mpuuzi kabisa. Atuache
Hili swali nadhani rob amster anaweza kulijibu kwa ufasaha zaidiKwani Lissu alipigwa risasi ngapi za matakoni?
Lkn hajafaLISSU BADO NI MGONJWA,WA MWILI NA 'SAIKOLOJIA'. DON'T LEAN ON HIM...!