PLO Lumumba: Tundu Lissu ni muongo, nimefika Chato Hayati Magufuli hana utajiri wa kumlinganisha na Mobutu Sese Seko

PLO Lumumba: Tundu Lissu ni muongo, nimefika Chato Hayati Magufuli hana utajiri wa kumlinganisha na Mobutu Sese Seko

Chato kule hamna kitu , ni chuki Tu za watu , kule cha maana zaid ni hospital
1617221558191.jpeg


Tuambiane ukweli ni Wilaya ipi hapa Tanganyika iliyopewa fedha nyingi na miradi mingi kiasi hiki ?.

Hatuhitaji Prof PLO kutujuza kilichofanyika Tanzania.
 
Lumumba hana mabadiliko yoyote aliyowahi kuchangia katika uchumi wake na uchumi wa Afrika licha Dunia, ukimsikiliza unachokiona ni maneno yakiingereza yaliyopakwa Nakshi. Mazingira ya Chato miaka mitano Leo hii kwa msomi mzalendo anaweza kutetea kilichofanyika? Lakini najiuliza lini alifika chato? Kwa ninavyomfahamu hakuna alipokanyaga bila media kuwa nyuma yake maana si kwa mbwembwe hizo.

Mfuatilie Lumumba kwenye uchaguzi wa Kenya uliopita utajua who his Lumumba
Huyo naye ni mtumia fursa tu hana jipya.
 
Nimemsikiliza PLO Lumumba, mzee anajua Sana. Nataman Sana serikali ya JMT ingekua na mtu mwenye uwezo wa kuisemea Kama Prof. Kwa ufafanuzi wake, Sasa ni rasmi dunia nzima inajua Lissu ana chuki binafsi na JPM, na ni hakika Magufuli alikuwa Kiongozi mwema, mpenda nchi yake aliyetamani kuona nchi ikipiga hatua kimaendeleo.
#TANZANIA NI YETU SOTE, TUIPENDE NA KUITUMIKIA
1617221713767.jpeg


Ni kweli endelea kumsikiliza Prof PLO as if wewe ni mgeni na nchi yako.
 
Hili lilinishangaza Sana, wapiga picha hawakutakiwa kupiga picha zaidi ya wageni, gadi ya mazishi na kuweka mashada, sijui kulikuwa kunafichwa kitu gani.
Ndiyo mjue kuwa kulikuwa na mambo ya kutisha sana
 
Ila huyo Lumumba kwa kauli yake ni kama anakubaliana na msingi wa hoja za waliokuwa wanapinga uwekezaji mkubwa wa kodi za Watanzania uliokuwa unasemekana kufanyika Chato.

Ingehitaji matrilioni ya pesa kubadilisha sehemu kama Chato from scratch wakati kiasi tu cha pesa hizo zingewekezwa sehemu ambayo tayari ina maendeleo fulani, ingekuwa na immediate impact ambayo labda ingesambaa taratibu na kufika huko Chato.

Ni suala la vipaumbele tu. Miradi gani ya maendeleo ingeweza kufanyika Chato ikagusa moja kwa moja wananchi wa pale ili hata wageni kama hao kina Lumumba wakifika wayaone kwa macho?
 
PLO Lumumba hawezi kuwa msemaji wa Watanzania. Kama yeye ni muumini wa Sera za magufuli,itoshe kusema wenye nchi hatujawahi kuridhika naye.

Chato kaipendelea kwa vingi sana ndani ya miaka 5 tu ya udikteta wake; kajenga Airport, kaweka mataa ya barabarani, kajenga hospitali ya kanda, kajenga jengo kubwa la PCCB, kaweka CRDB, kajenga shule ya msinhi ya gorofa aliposomea, alikua anataka kajenga chato stadium, kaanzisha mbuga za burigi na kusafirisha wanyama, na mengine mengi sana ikiwemo kuanzisha mchakato wa kujipa mkoa wa chato.

Haya hayakuonekana ktk wilaya zingine. Amejipakulia sana minyama huyu baba mpaka kamuudhi Mungu akaamua amchukue tu kiumbe wake asiendelee kuwanyonya damu wengine.
 
Anajua nini? Mbona tume ya kupambana na rushwa huko Kenya ilimshinda?

Huyu alisimama na Uhuru Kenyatta kupora ushindi wa Odinga na akaangushwa kwenye kesi.

Hata siku moja mgeni hawezi jua mambo ya ndani. Ndio maana Dunia nzima inamuadmire Haille Sellasie ila ukifika Ethiopia wanamuona dikteta tu, hta Kagame anasifiwa dunia nzima ila Rwanda wengi tu wanamuona ni mnyama tu.

So hata siku moja mtu wa mbali huwezi jua kila kitu cha ndani, ataangalia tu mambo ya juu juu tu.
Anaepeleka mambo ya ndani ni hao kina Tindi liso &co, sasa anaowapelekea wanamueleza ukweli , mtulie dawa ipenye
 
PLO ni mweupe Labda kwa nyie msiofuatilia masuala ya nje ya TZ.
Alipewa kuongoza Kitengo cha PCCB ya Kenya akaharibu vibaya CV yake ikaishia hapo ndio maana hawezi kugombea hata u MCA huko kwake.
Anawachanganya mazuzu na vocabulary za kumeza lakini utendaji F
Professa gani anaongelea puani!
 
Siabudu mtu mimi...naongea ukweli..refer picha na videos za msiba wa magufuli kuanzia Mwanza, Geita mpaka chato..unafikiri wale ni nani zaidi ya wapiga kura? Binafsi kuna sera za magufuli nilikuwa nazipiga ila ukweli ni kwamba nimeumizwa na msiba wake...na hawa wapuuzi wanaoendelea kutaka kumshambulia wakati amezikwa na hawezi kuwajibu watazidi kupoteza sana kisiasa..watu wanaona kwa kiasi gani hawana busara..refer maneno ya Lumumba sio yangu na najua anasema.ukweli.
Watapoteana sana ingefaa wakakaa kimya tu, Dunia imeona Magufuli alivopendwa na watu wake .
 
Huyo mkenya Yuko obsessed na magufuli kiasi kwamba akiambiwa magufuli ameweka hifadhi ya wanyama, uwanja wa ndege, uwanja wa mpira, taa za barabarani kijijini na kujenga ikulu huko hawezi kuelewa chochote zaidi ya kutupia mijineno ya uongo ya kiingereza Cha wachawi anachobumba. Mpuuzi kabisa. Atuache
Sijui kwanini korona isipambane naye
 
Back
Top Bottom