Ngongo
Platinum Member
- Sep 20, 2008
- 20,654
- 35,887
Chato kule hamna kitu , ni chuki Tu za watu , kule cha maana zaid ni hospital
Tuambiane ukweli ni Wilaya ipi hapa Tanganyika iliyopewa fedha nyingi na miradi mingi kiasi hiki ?.
Hatuhitaji Prof PLO kutujuza kilichofanyika Tanzania.