Niulize Wilaya ya Handeni nitakujibu.Kifupi sana hakuna mradi wa maji,hakuna airport,hakuna Chuo cha VETA,Hakuna hifadhi ya wanyama,hakuna jengo jipya la mahakama,hakuna jengo jipya la CRDB,Hakuna Hospital ya rufaa na utie hakuna si kama huyo Prof mjinga Wilaya ya Handeni ni kongwe kuliko Chato kwa zaidi ya miaka 30.Ni mirafi ya Umma.
Tuwekee na ya Kilimanjaro!
Chadema ya J J Mnyika!Unaizungumzia cdm ipi hiyo?
Maana cdm ya upinzani ilisha tangazwa na jiwe wenu kuwa kashaimaliza
Chadema ya J J Mnyika!Unaizungumzia cdm ipi hiyo?
Maana cdm ya upinzani ilisha tangazwa na jiwe wenu kuwa kashaimaliza
Upo sahihi mkuu,hongera sanaAnajua nini? Mbona tume ya kupambana na rushwa huko Kenya ilimshinda?
Huyu alisimama na Uhuru Kenyatta kupora ushindi wa Odinga na akaangushwa kwenye kesi.
Hata siku moja mgeni hawezi jua mambo ya ndani. Ndio maana Dunia nzima inamuadmire Haille Sellasie ila ukifika Ethiopia wanamuona dikteta tu, hta Kagame anasifiwa dunia nzima ila Rwanda wengi tu wanamuona ni mnyama tu.
So hata siku moja mtu wa mbali huwezi jua kila kitu cha ndani, ataangalia tu mambo ya juu juu tu.
Atatufanya watu tutapikeHuyu Profesa kinyaa
Weka hoja yake ya huyo lumumba ambayo imekuvutia afu tuipimeNimemsikiliza PLO Lumumba, mzee anajua Sana. Nataman Sana serikali ya JMT ingekua na mtu mwenye uwezo wa kuisemea Kama Prof. Kwa ufafanuzi wake, Sasa ni rasmi dunia nzima inajua Lissu ana chuki binafsi na JPM, na ni hakika Magufuli alikuwa Kiongozi mwema, mpenda nchi yake aliyetamani kuona nchi ikipiga hatua kimaendeleo.
#TANZANIA NI YETU SOTE, TUIPENDE NA KUITUMIKIA
Raisi wa wanyonge? Awe na Hotel ya nyota 4? Wanyonge wenzake wangapi wenye hizo hotel za hadhi hiyo?Acha wivu wewe, weka hapa hizo accounts tuone !
Alafu Magufuli kuwa na hotel ya nyota 4 ni kosa?
Hahahha.. Mko nyuma yake? Si mngemsaidia kuandamana ili aingie ikulu, maana ilibidi aondoke kinyonge huku akisema hakutegemea kama mtamwangusha vile
Vizee kama hivi havina tena akili ya kupambanua mambo kiwelediHuyo Lumumba kashikwa na mahaba na Magufuli na wala hajui nini kinalalamikiwa juu ya Magufuli huko Chato.
Nyingi sana,na zingine bado anamiminiwa Ubelgiji na wanamuhudumia.Kwani Lissu alipigwa risasi ngapi za matakoni?
Si mlikuwa mnamroga Kigoda sasa mnalialia nini?Niulize Wilaya ya Handeni nitakujibu.Kifupi sana hakuna mradi wa maji,hakuna airport,hakuna Chuo cha VETA,Hakuna hifadhi ya wanyama,hakuna jengo jipya la mahakama,hakuna jengo jipya la CRDB,Hakuna Hospital ya rufaa na utie hakuna si kama huyo Prof mjinga Wilaya ya Handeni ni kongwe kuliko Chato kwa zaidi ya miaka 30.
Huyo unapoteza muda wako maana ni emptyRejelea jibu ulionipa
HajafaTundu lissu kachezea upper-cuts za hoja hahaa!!
Wewe endelea kubugia mbandule ndiyo unachowezaTundu lissu kachezea upper-cuts za hoja hahaa!!
Prof kamaliza habari kwa kweli🙌🏻Hata Geita Kuna umasikini wa raia ila ndipo Kuna matrilion ya dhahabu. Huyo Lumumba asijifanye anaijua TANZANIA kutushinda
Lumumba practically ana mafanikio gani kwenye kupigania yale anayoyaamini zaidi ya kelele tu majukwaani?Anaepeleka mambo ya ndani ni hao kina Tindi liso &co, sasa anaowapelekea wanamueleza ukweli , mtulie dawa ipenye
Hao ndiyo wapo tayari kumdhuru binadamu mwenzao kisa siasaKuabudu mtu inakusaidia nini?
ThubuutuuuuuuKukata mzizi wa fitina wangepiga picha nyumba anayofikia kama IKULU yake kule Chato; ambako hata Rais Kenyatta amewahi kulala!!
Mbuga, shamba la miti na uwanja wa ndege ndio kila kitu?