Danny Jully
JF-Expert Member
- Jul 29, 2013
- 4,416
- 3,860
Mgonjwa alishakufa na kuzikwa.LISSU BADO NI MGONJWA,WA MWILI NA 'SAIKOLOJIA'. DON'T LEAN ON HIM...!
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mgonjwa alishakufa na kuzikwa.LISSU BADO NI MGONJWA,WA MWILI NA 'SAIKOLOJIA'. DON'T LEAN ON HIM...!
Kila kitu ndio nini bwashee?
Mbona Moshi - Arusha mmeletewa treni!
Sasa utakuwa uwanja wa kupaki bodabodaNa ile uwanja ya ndege ya kimataifa iko porini
Mbuga, shamba la miti na uwanja wa ndege ndio kila kitu?Nazungumzia Upendeleo wa kupeleka kila kitu chato.
Wewe ulipigwa bomba ngapi za mdukuni?Kwani Lissu alipigwa risasi ngapi za matakoni?
Kwaio zote izo ni Mali za magufuli? Nyumbu mtabaki kua nyumbu mtu anabisha magufuli hakua tajir kama lile shoga la Ubelgij linavyo Sema nyie kumtetea mnasema uwanja wa ndege kweli??PLO ni Mzushi tu ,anajua accounts zote za JIWE? Kwani Chato Airtport haipo? Burigi Park? Shamba Pori la Santos halipo?
Kuchomekea maneno ya uongo itakusaidia nini wewe. Muogope MunguUmbea uko wapi manka?
Mimi nimemnukuu Prof !
Ni kajinga sana kanajadili mambo ya watanzania wakati kwao mambo ya BBI yanaipasua nchi yaowahenga walisema kila mwamba ngoma huvutia kwake na ndicho alichofanya Prof Lumumba huyo ni teja kwa mwendazake hasikii haoni kila hoja ya ubaya wa mwendazake huitwist vizuri na mark up.
Prof Lumumba kafika hadi Chato!Wala haitachukua muda Mkuu.
Jibu ulichoulizwa wewe kasukuAmesoma hapo UDSM bwashee!
Uongo upi?Kuchomekea maneno ya uongo itakusaidia nini wewe. Muogope Mungu
Prof Lumumba ni mwalimu wa Tundu Lisu!Jibu ulichoulizwa wewe kasuku
Unajisumbua tu wewe MATAGA, hamna pakushika tena dadeeeki.Apoteze mara ngapi? Hana hata akili ya kujua anamshambulia anatoka kanda yenye nguvu sana kisiasa..ina wapiga kura wengi sana. Hata kama kuna watu walikuwa wanam support huko wamepoteza kiongozi wao yeye ni kumshambulia..Subiri arudi huko tena ndio atajua ushawishi wake umeshuka kiasi gani.
Kwamba hakuona uwanja wa ndege mkubwa usio na shughuli chatoSisi hatuangalii weupe wake bali ukweli aliouongea!
Acha wivu wewe, weka hapa hizo accounts tuone !Kwa wenye akili FINYU tu kama wewe Bwashee. Huyo mpuuzi alidhani kufika chato ndiyo atathibitisha utajiri au umaskini wa dikteta!? Mpuuzi kweli huyo Lumumba. Hajui chochote kuhusu kampuni yake ya Mayanga ambayo jiwe kaipa miradi mingi sana ya Serikali kinyemela tangu awamu ya tatu, hajui chochote kuhusu bank accounts zake ndani ya nchi na si ajabu nje ya nchi, hajui lolote kuhusu hotel yake kule chato inayodaiwa ni 4 Star hotel ambayo sasa itakuwa gofu tu kwani hakuna tena wageni wa kulipiwa na Serikali kwenye hiyo hotel ambao jiwe alikuwa akilazimisha kiaina waende chato ili hotel yake ipate wateja.
Ni mirafi ya Umma.
Duuuh nimecheka sana mkuuSasa sisi tuitikiaje humu???
Huwa sihangaiki na wapiga ramli na wajinga.Ni suala la muda tuu utajua hujui