PLO Lumumba: Tundu Lissu ni muongo, nimefika Chato Hayati Magufuli hana utajiri wa kumlinganisha na Mobutu Sese Seko

PLO Lumumba: Tundu Lissu ni muongo, nimefika Chato Hayati Magufuli hana utajiri wa kumlinganisha na Mobutu Sese Seko

Acha ujuaji mara ngapi Plo ameenda kinyume na Magufuli, fuatilia mitazamo yake kuhusu korona
Alichosema ndio ukweli, penye ukweli husema

..Nilijua Prof atamsifia Jpm.

..lakini nadhani leo amepitiliza ktk kusifia.
 
PLO Lumumba hawezi kuwa msemaji wa Watanzania. Kama yeye ni muumini wa Sera za magufuli,itoshe kusema wenye nchi hatujawahi kuridhika naye.

Chato kaipendelea kwa vingi sana ndani ya miaka 5 tu ya udikteta wake; kajenga Airport, kaweka mataa ya barabarani, kajenga hospitali ya kanda, kajenga jengo kubwa la PCCB, kaweka CRDB, kajenga shule ya msinhi ya gorofa aliposomea, alikua anataka kajenga chato stadium, kaanzisha mbuga za burigi na kusafirisha wanyama, na mengine mengi sana ikiwemo kuanzisha mchakato wa kujipa mkoa wa chato.

Haya hayakuonekana ktk wilaya zingine. Amejipakulia sana minyama huyu baba mpaka kamuudhi Mungu akaamua amchukue tu kiumbe wake asiendelee kuwanyonya damu wengine.
Mi naona sawa tu! Magufuli kaanza kujenga chato tangia akiwa Waziri aliweka taa za barabarani, akajenga shule, n.k magufuli alipapenda pia Chato hakutaka kutia huruma Kama Nyerere.

Na usipojipenda wewe!? utampendaje jirani? Magufuli alifanya vizuri kupapenda kwao.
 
Niulize Wilaya ya Handeni nitakujibu.Kifupi sana hakuna mradi wa maji,hakuna airport,hakuna Chuo cha VETA,Hakuna hifadhi ya wanyama,hakuna jengo jipya la mahakama,hakuna jengo jipya la CRDB,Hakuna Hospital ya rufaa na utie hakuna si kama huyo Prof mjinga Wilaya ya Handeni ni kongwe kuliko Chato kwa zaidi ya miaka 30.
Kule hakukuwahi kutoka Rais wametoka watu wa pwani ambao maendeleo kwao hawayapi kipaumbele. Magufuli tangia Waziri kaweka barabara, umeme, maji Hadi Taa za barabarani pale Chato.
 
Tundu Lissu Ni mwehu Kama wehu wengine ambao walitaka kukaa upande wa mabeberu kutuhujumu kwenye madini. Magufuli alikuwa hataki wahaini alikuwa anatandika Shaba wote.
 
Mkuu hujawahi kumiminiwa SMG magazine nzima!! Sio rahisi kama tunavyofikiria kusahau. Kwake yeye kuongea ya moyoni mwake inampa relief ya lile tukio maana polisi wameshindwa play their part. Kma wahusika wangenyongwa Lissu moyo ungetulia na hasira zingeisha.
Pale POLISI walifeli saana. Ilitakia mission iishe mapema tu.
 
Niulize Wilaya ya Handeni nitakujibu.Kifupi sana hakuna mradi wa maji,hakuna airport,hakuna Chuo cha VETA,Hakuna hifadhi ya wanyama,hakuna jengo jipya la mahakama,hakuna jengo jipya la CRDB,Hakuna Hospital ya rufaa na utie hakuna si kama huyo Prof mjinga Wilaya ya Handeni ni kongwe kuliko Chato kwa zaidi ya miaka 30.



Handeni wana hospitali ya wilaya tayari




Miradi ya maji mikubwa miwili Handeni chini ya Magufuli.




Jengo jipya la halmashauri ya Handeni gharama zake 3.5 billion

Juzi tu mama Samia alikuwa huko kufungua kiwanda kilichojengwa kando ya barabara na kuna chuo cha VETA kinajengwa, shule zimejengwa, madarasa yameongezwa, etc.

Watanzania amna shukran tu Magufuli kawaangaikia sana mijini na vijijini.
 
nilisema Mimi hapa.
Kuwa LISU APUNGUZE MDOMO.
kitendo alichofanyia ni kibaya Sana na wengi hatujakipenda.
Ola anapoendelea kuongea ANATUFANYA TUAMINI KUWA ALISTAHILI KUPIGWA ZILE RISASI.
 
Nimemsikiliza PLO Lumumba, mzee anajua Sana. Nataman Sana serikali ya JMT ingekua na mtu mwenye uwezo wa kuisemea Kama Prof. Kwa ufafanuzi wake, Sasa ni rasmi dunia nzima inajua Lissu ana chuki binafsi na JPM, na ni hakika Magufuli alikuwa Kiongozi mwema, mpenda nchi yake aliyetamani kuona nchi ikipiga hatua kimaendeleo.
#TANZANIA NI YETU SOTE, TUIPENDE NA KUITUMIKIA
Kwa zile risasi na kupotea kwa watu ulitegemea wawe marafiki? Dunia inaelewa maovu yote yaliyofanywa. Sasa hivi sijui mtamlamba nani matk
 
Nazungumzia Upendeleo wa kupeleka kila kitu chato.
Ina màana Dodoma ni chato napo? Kunakojengwa bwawa la umeme ni chato? Ina maana kama chatO kulihitaji maboresho ya huduma asingepeleka sababu kuna watu mtatumia hilo kama mtaji wa kisiasa kumchafua. Chademans are silly bastards
 
Nimemsikiliza PLO Lumumba, mzee anajua Sana. Nataman Sana serikali ya JMT ingekua na mtu mwenye uwezo wa kuisemea Kama Prof. Kwa ufafanuzi wake, Sasa ni rasmi dunia nzima inajua Lissu ana chuki binafsi na JPM, na ni hakika Magufuli alikuwa Kiongozi mwema, mpenda nchi yake aliyetamani kuona nchi ikipiga hatua kimaendeleo.
#TANZANIA NI YETU SOTE, TUIPENDE NA KUITUMIKIA
Labda zile risasi 16 zimesababisha awe na chuki, waza ingekuwa wewe ndio umepigwa risasi zote zile kwa mazingira kama yale ungekuwaje? No matibabu no ubunge
 
Umeumia sana,hata kwa picha za video tu hizo "narratives" kuhusu Chato ni uongo unaokuzwa
Lumumba hana mabadiliko yoyote aliyowahi kuchangia katika uchumi wake na uchumi wa Afrika licha Dunia, ukimsikiliza unachokiona ni maneno yakiingereza yaliyopakwa Nakshi. Mazingira ya Chato miaka mitano Leo hii kwa msomi mzalendo anaweza kutetea kilichofanyika? Lakini najiuliza lini alifika chato? Kwa ninavyomfahamu hakuna alipokanyaga bila media kuwa nyuma yake maana si kwa mbwembwe hizo.

Mfuatilie Lumumba kwenye uchaguzi wa Kenya uliopita utajua who his Lumumba
 
Punguzeni chuki inawaumiza nyie wenyewe,mnaemchukia hayupo tena.
Nawaona mnavyoumia kuona lisu bado anapumua halafu mwendazake ndio kashaenda, kazi ya Mungu siku zote haina makosa mzee, Allah anajua kuliko sisi ndio maana kamchukua mliyetaka abaki na kumuacha mliyetaka aende, najua imekuuma usijali kunywa maji utapoa
 
Mkuu Ngongo hapo juu amezungumzia hospital ya Rufaa na si hospital ya Wilaya, hata hiyo hospital ya Wilaya iliyopo ipo jina tu ila kiukweli hata x ray Machine hakuna, hospitali ni kuukuu na chakavu kiasi hata ukarabati wa kawaida umeshindikana, na ukizingatia ndio hospital tegemeo kwa Wilaya zote mbili za Handeni na Kilindi.

Kuhusu hilo la Chuo cha Veta sijui umekitoa wapi kimsingi hakipo na hakuna ujenzi wa Chuo kama hicho au kinajengwa eneo gani hasa?
Hiyo Miradi mikubwa ya Maji inayozungumzwa ilishashindwa kufanya kazi kabla hata haijamalizika, yani kimsingi shida ya Maji ipo pale pale..,
Na kwa kukusaidia unaweza pitia taarifa ya CAG ya mwaka wa Fedha 2018/19 kuhusu hiyo Miradi then uone uhalisia wa unachokitetea!

Kuhusu Jengo jipya la Halmashauri ya Wilaya ilikuwa ni lazima kujengwa kutokana na malekezo yaliyotolewa kwa Halmashauri za Wilaya zote zilizoelekezwa zihamishie Makao yao Vijijini.
 
PLO ni mweupe Labda kwa nyie msiofuatilia masuala ya nje ya TZ.
Alipewa kuongoza Kitengo cha PCCB ya Kenya akaharibu vibaya CV yake ikaishia hapo ndio maana hawezi kugombea hata u MCA huko kwake.
Anawachanganya mazuzu na vocabulary za kumeza lakini utendaji F
Haya yote kwasababu amemshinda Tindu Lisu kwa Hoja [emoji23][emoji23][emoji23]
 
Back
Top Bottom