Chakaza
JF-Expert Member
- Mar 10, 2007
- 40,455
- 73,145
Kuna mtu anafikiria kwa nini Legency ya Magufuli inajadiliwa na Kutetewa na ambaye huko Kwao Kenya kwa sasa anadharauliwa?
Hawa VOA watakuwa wamefikiri nini hasa kutafuta mtetezi wa Marehemu failure(jiwe) kutoka kwa failure anayeishi(Lumumba)?
Kweli msemo "wacha wafu wazike wafu wao" unamaana nzito sana.
Kwako mwalimu Mshana Jr , hiyo waliyocheza VOA tunaitaje katika soka la siasa?
Hawa VOA watakuwa wamefikiri nini hasa kutafuta mtetezi wa Marehemu failure(jiwe) kutoka kwa failure anayeishi(Lumumba)?
Kweli msemo "wacha wafu wazike wafu wao" unamaana nzito sana.
Kwako mwalimu Mshana Jr , hiyo waliyocheza VOA tunaitaje katika soka la siasa?