Lukub
JF-Expert Member
- Feb 5, 2012
- 3,622
- 4,100
Lumumba ni profesa sio Dr mpe heshima yake, jengo la CRDB ni la JPM?Jengo la TRA ni la JPM ?tumia Uhuru wako wa kutoa maoni vizuri kwa busaraHuyo ni mchumia tumbo kama ccm walivyo hiyo chato aliyoenda labda ni chato ya katavi,sio hii ya magufuli...kwahiyo kwa akili yake nusu huo uwanja wa ndege,jengo la TRA,jengo la crdb,hosp kubwa yalijengewa maskini wa chato wawe wanaviangalia ili kupata faraja ya moyo...nasema prof lumumba atakua na PHD kama ya marehemu meko yani feki