gongolamboto
JF-Expert Member
- Feb 21, 2011
- 1,185
- 570
Kwa kusema eneo la Mwendazake Chato ni la kimaskini imedhihirisha kuwa nae ni muongo.
Amandla...
Anayetakiwa kutulia ni Lissu. Unafurahia kifo cha mwenzio wakati na wewe unaenda huko hukoMwambie Lumumba atulie. Adili ni Mwizi DP Ruto. Wasomi Tz tuna furahia kifo cha Dikteta na Mwizi wetu.