Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Wameshikiwa Akili Bwashee. Chadema ni chama cha wahunitu Kupaka watu matope na kuzusha uongotu. Ni genge la wahunitu.Chadema watakubishia bwashee!
Singida, Simiyu, Geita, Manyara kote huku hakuna uwanja wa ndege lakini Chato ni Wilaya tayari ina uwanja wa ndege mkuu
Mpuuzi wewe toka mwendazake ameondoka kuna ndege imetua hapo?Huu upotoshaji. Airport ya Geita iko Chato. Mpango wa Serikali ni kujenga airport kila mkoa na tayari mikoa mikoa mingi ina airport.
Wewe ulitaka Geita iwe ya ngapi kwa kuwa na airport na airport ikijengwa ijengwe wapi na kwa sababu gani?
Let us be serious jamani,hivi kama Magufuli alikuwa mpigajiii....,Mkapa na Kikwete mtawaweka wapi.Hii ni nia ovu tu ya kuwapaka matope watu kwa agenda zenu za kisiasa na financial.Mtatumiwa na mabeberu mpaka lini?Kwanza Magufuli ameshatangulia mbele za haki,mnapata faida gani kwa kuendelea kumchafua?
Mpuuzi wewe toka mwendazake ameondoka kuna ndege imetua hapo?
Kwanini Chato haikuwa na uwanja wa ndege kabla jiwe hajawa Rais?Lugha zisizo na staha sio substitute ya nguvu ya hoja, bali ni hoja ya nguvu.
Wewe una takwimu ya activity katika viwanja vya ndege vilivyopo nchini? Kigezo cha mkoa kuwa na airport ni nini, kwa fikra zako?
Ripoti iliandaliwa kukabidhiwa nani? JPM au SAMIA? ([emoji3][emoji3]). Hivi ni kwann ATCL toka 2016 haikuwahi kukaguliwa licha ya Kelele Bungeni? tafakari.Kwa ni report ya juzi ya CAG haikuwa auditing report? nakumba CAG alidai wali audit ATCL, stiglers, men do kazi phase2 mbagala,miradi baadhi ya maji na SIR to makutopora, katika miradi hii ni ATCL tu ndio ilionyesha ATCL inajiendesha kwa hasara wala sio upigaji, na bado report hiyo hiyo inaonyesha Tanzania kupanda kutoka 102 hadi 94 kwa jitihada za kupambana na rushwa, Lissu kapayuka ohhh legacy imekufa , kwani kuna ugumu gani kuwa na tabia ya kuappreaciate? , kuna mazuri na mabaya.
Hahahaaaa....... Kwani kusoma Udsm ni lazima iwe degree bwashee?!Wewe ni muongo sana humu JF. Kama jambo hulijui ni heri ubaki kimya
Patrick Loch Otieno Lumumba (born 17 July 1962) is a Kenyan who served as the Director of the Kenya Anti-Corruption Commission from September 2010 to August 2011.[2] Since 2014, Lumumba has been the Director of The Kenya School of Law.[3] An eloquent lawyer, Lumumba earned his LL.B and LL.M degrees at the University of Nairobi. His LL.M thesis is titled National Security And Fundamental Rights. Additionally, Lumumba holds a PhD in Laws of the Sea from the University of Ghent in Belgium. Lumumba is a staunch Pan-Africanist and has delivered several powerful speeches alluding to or about African solutions to African problems.
Hivi kuhusu nchi ya tanzania na Viongozi wake, Nani anajua zaidi, Mkenya au Mtanzania?Nimemsikiliza PLO Lumumba, mzee anajua Sana. Nataman Sana serikali ya JMT ingekua na mtu mwenye uwezo wa kuisemea Kama Prof. Kwa ufafanuzi wake, Sasa ni rasmi dunia nzima inajua Lissu ana chuki binafsi na JPM, na ni hakika Magufuli alikuwa Kiongozi mwema, mpenda nchi yake aliyetamani kuona nchi ikipiga hatua kimaendeleo.
#TANZANIA NI YETU SOTE, TUIPENDE NA KUITUMIKIA
Alipigwa risasi ngapi? Ni mtanzania? Hatujauliza alikosoma. Ukisoma Uingereza huwa raia wa uingereza ndugu.Amesoma hapo UDSM bwashee!
Huu ni utetezi wa kichokoYeye huyo Pro Lumumba anaishi Tz? Amewahi kupigwa Risasi ngapi?
Sisi watanzania tunaoishi Tz tuna jua matendo ya JPM na siyo Kibaka wa Kenya asiye ishi TzHuu ni utetezi wa kichoko
Kama wewe nawe ni mwizi ni shauri yako ila usimlaximishe BAK kubwa naye eti ange iba.Mkuu hata wewe ukiwa Rais utajenga hoteli hizo hizo zenye Nyota. Ukiwa Rais lazima utapendelea kwenu na utafanya maendeleo mengine. Mimi sishangai mtu kupendelea kwao. Angalia amefanyia nini Taifa lake. Tukianza kufufua makaburi hata wewe utapatikana na makosa au utakuwa unaliibia taifa[emoji3][emoji23] eidha kwa kuttolipa kodi au mambo mengine.
Kila mmoja ni mwizi katika his own Risk. Tuacheni chuki
Kama Mungu ana nguvu na mliomba akasikia kwa nini mungu Yule yule Magufuli akiwaambia muombe na ametukinga kwa corona mnakataa? au sio nyie mnaodai tutumie njia za kiscience? au mungu yuko kwenye tu kwa wenngine hayuko?
Kwanini Chato haikuwa na uwanja wa ndege kabla jiwe hajawa Rais?
😁😁😁😁Yeye huyo Pro Lumumba anaishi Tz? Amewahi kupigwa Risasi ngapi?
😁😁😁Kama English tu inakushinda ndio ulielewa hta alichoongea?
Mwanasheria mkongwe na mwanaharakati maarufu Afrika kutoka nchini Kenya PLO Lumumba amesema madai ya Tundu Lissu kwamba Hayati Magufuli ni tajiri kama hayati Mobutu Sseseko wa Zaire ni ya uongo na uzandiki uliopindukia.
Lumumba alikuwa anajibu swali la mtangazaji Shaka Ssali wa VOA na kusema amefika Chato na kulikuta ni eneo la kimaskini kabisa kadhalika ameshapita Dar es Salaam na Mwanza hivyo Tundu Lissu hawezi kumdanganya chochote.
Prof Lumumba amesema Tundu Lissu ambaye ni mwanasheria mwenzie apunguze hasira anapomzungumzia Hayati Magufuli vinginevyo atapoteza ushawishi na heshima aliyonayo.
Chanzo: VOA
Kila zama na kitabu chake.
Maendeleo hayana vyama!
Chato ni masikini kweli ila tayari kulikuwa na kamchakato kalikokuwa kanandelea ka kumtengeneza Mobutu mwingine.... sema Mungu ni fundi akamuwahi!!Mwanasheria mkongwe na mwanaharakati maarufu Afrika kutoka nchini Kenya PLO Lumumba amesema madai ya Tundu Lissu kwamba Hayati Magufuli ni tajiri kama hayati Mobutu Sseseko wa Zaire ni ya uongo na uzandiki uliopindukia.
Lumumba alikuwa anajibu swali la mtangazaji Shaka Ssali wa VOA na kusema amefika Chato na kulikuta ni eneo la kimaskini kabisa kadhalika ameshapita Dar es Salaam na Mwanza hivyo Tundu Lissu hawezi kumdanganya chochote.
Prof Lumumba amesema Tundu Lissu ambaye ni mwanasheria mwenzie apunguze hasira anapomzungumzia Hayati Magufuli vinginevyo atapoteza ushawishi na heshima aliyonayo.
Chanzo: VOA
Kila zama na kitabu chake.
Maendeleo hayana vyama!