Full charge
JF-Expert Member
- Mar 1, 2018
- 1,678
- 1,617
SafiKwani Lumumba ni nani? Mbona umaarufu wake huko kwao Kenya umeshuka? Asituchoshe !
Sent from my vivo 1904 using JamiiForums mobile app
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
SafiKwani Lumumba ni nani? Mbona umaarufu wake huko kwao Kenya umeshuka? Asituchoshe !
Sent from my vivo 1904 using JamiiForums mobile app
Eti tupen mkoa charto jibu likatoka 'pumzikeni Tz cyo chato tu'[emoji16][emoji16][emoji16]Chato ni masikini kweli ila tayari kulikuwa na kamchakato kalikokuwa kanandelea ka kumtengeneza Mobutu mwingine.... sema Mungu ni fundi akamuwahi!!
Ata we unaweza kuwa mkimbiz tena usiombeMuulize kwanini hawakumuomba huyo mungu wao ili Lissu awe rais badala ya kuwa mkimbizi?
Kwan wewe baba yako akipgwa risasi kama za Lissu utamshauri hivi?Muulize kwanini hawakumuomba huyo mungu wao ili Lissu awe rais badala ya kuwa mkimbizi?
PLO alienda Chato kufanya nini?Mwanasheria mkongwe na mwanaharakati maarufu Afrika kutoka nchini Kenya PLO Lumumba amesema madai ya Tundu Lissu kwamba Hayati Magufuli ni tajiri kama hayati Mobutu Sseseko wa Zaire ni ya uongo na uzandiki uliopindukia.
Lumumba alikuwa anajibu swali la mtangazaji Shaka Ssali wa VOA na kusema amefika Chato na kulikuta ni eneo la kimaskini kabisa kadhalika ameshapita Dar es Salaam na Mwanza hivyo Tundu Lissu hawezi kumdanganya chochote.
Prof Lumumba amesema Tundu Lissu ambaye ni mwanasheria mwenzie apunguze hasira anapomzungumzia Hayati Magufuli vinginevyo atapoteza ushawishi na heshima aliyonayo.
Chanzo: VOA
Kila zama na kitabu chake.
Maendeleo hayana vyama!
Itakuw kuvuta bangiPLO alienda Chato kufanya nini?
Kuvuta mpunga wa PR, au?
Uzur kweny wanaoumia nawe umo,safiUkiona maneno yako yameitwa umbeya hapo tena utasema hayo maneno yana nguvu? hakuna kinachofanyika au kisichofanyika kwa kuogopa hayo maneno.
Sasa mimi naumia nini? mimi siumii mnaoumia ni nyie sio mimi.Uzur kweny wanaoumia nawe umo,safi
Angalia tusikuombe unyumbaLissu huwa zinaongea Risasi na sio yeye, Kisaikologia hayupo sawa
Na ww ukiwemo maana haichagui hyoHuyo mama hata mwezi hana hivyo bado sana ila inaonekana huyu anawajulia vizuri haongei kwa ukali wala nini ila atawatia sana stress zaidi ya mtangulizi wake.
Mf:CCM mna bando zenu? Au sote kifo cha mende? Njibu.Huyo mama hata mwezi hana hivyo bado sana ila inaonekana huyu anawajulia vizuri haongei kwa ukali wala nini ila atawatia sana stress zaidi ya mtangulizi wake.
Tunahangaika mno na maoni ya watu kiasi kwamba mpaka inakera. Kila mtu ana mtazamo wake. Nilienda Uingereza na niliishi North London kwa miaka 3 na niliona ni mji mzuri (kwa mtazamo wangu), lakini nilikutana na baadhi ya watu waliokuwa wakiuponda. Nani kati yangu na wao alikuwa sahihi kuhusu North London: mimi au wale waliokuwa wakiuponda? Kwa mtazamo wangu - mimi nilikuwa sahihi na wao walikuwa sahihi kwa sababu nilikuwa na vigezo vyangu na wao walikuwa na vigezo vyao. Kwa hiyo, mtu anapotoa mawazo au anapokuwa na perception fulani ya kitu he's not wrong simply because he/she's criticising and he/she's not right simply because he/she's praising and vice versa.Mwanasheria mkongwe na mwanaharakati maarufu Afrika kutoka nchini Kenya PLO Lumumba amesema madai ya Tundu Lissu kwamba Hayati Magufuli ni tajiri kama hayati Mobutu Sseseko wa Zaire ni ya uongo na uzandiki uliopindukia.
Lumumba alikuwa anajibu swali la mtangazaji Shaka Ssali wa VOA na kusema amefika Chato na kulikuta ni eneo la kimaskini kabisa kadhalika ameshapita Dar es Salaam na Mwanza hivyo Tundu Lissu hawezi kumdanganya chochote.
Prof Lumumba amesema Tundu Lissu ambaye ni mwanasheria mwenzie apunguze hasira anapomzungumzia Hayati Magufuli vinginevyo atapoteza ushawishi na heshima aliyonayo.
Chanzo: VOA
Kila zama na kitabu chake.
Maendeleo hayana vyama!
Yeye so mtu wa Mombasa.Vp mzee wako anatokea huko?Baba ako alitobolewa mara ngapi jichoni mwake
Tena xna ata mi sanaaaaTundu lisu ana hasira sana...
Ukifika unapata uhakika zaidi, justification....ndio maana kuna Museums na Historical sites kijanaaHistory haisomw kwa kufka eneo huska
Nimemsikiliza PLO Lumumba, mzee anajua Sana. Nataman Sana serikali ya JMT ingekua na mtu mwenye uwezo wa kuisemea Kama Prof. Kwa ufafanuzi wake, Sasa ni rasmi dunia nzima inajua Lissu ana chuki binafsi na JPM, na ni hakika Magufuli alikuwa Kiongozi mwema, mpenda nchi yake aliyetamani kuona nchi ikipiga hatua kimaendeleo.
#TANZANIA NI YETU SOTE, TUIPENDE NA KUITUMIKIA
Hapo zote naon ni za Afrika cjaona kigeni apo, afu kweny izo jumuiya zako wamekomalia madarakani sasa huoni kama ni ushuzi?
Wazungu hawajawah kuiteka Tz na kupora mali mnawakabidh wenyew.
Sasa hilo ukawaulize ccm maana sio ccm hivyo sina majibu maana inawezeka ikawa wana bando zao.Mf:CCM mna bando zenu? Au sote kifo cha mende? Njibu.