PLO Lumumba: Tundu Lissu ni muongo, nimefika Chato Hayati Magufuli hana utajiri wa kumlinganisha na Mobutu Sese Seko

PLO Lumumba: Tundu Lissu ni muongo, nimefika Chato Hayati Magufuli hana utajiri wa kumlinganisha na Mobutu Sese Seko

Kwahiyo Mungu hamuoni Kagame ila kamuona Jiwe tu? vitu vyengine unaongea kihisia sana kinyume na uhalisia, yani Lissu angekuwa ndio raia wa Rwanda basi Kagame angetangaza wazi kabisa kwamba atamshughulikia maana angekuwa na kila sababu ila sio Jiwe aliyemuachia Lissu arudi na kumpa ulinzi kabisa na kisha kumuachia arudi tena nje ya nchi.

Rwanda ni taifa la washenzi sio Tanzania, hapa Mungu hajakubali utawala wa mtu muovu. Wapinzani wa Kagame tunawaona wanapelekwa mahakamani kwa kesi za kubambikiwa, kama ilivyokuwa kwa Lisu hapa nyumbani. Magu alimuachia Lisu akiamini Lisu hatakuwa na watu kutokana na propaganda alizoendesha kwenye utawala wake. Alichokiona kwenye kampeni za Lisu kilimpa msongo wa mawazo, ndio maana akaagiza uchaguzi unajisiwe nchi nzima. Lisu aliondoka kwa msaada wa mabalozi wa ulaya na sio kwa ruhusa ya jiwe. Na angebaki hapa angeagiza amri zake za awali zikamilishwe. Hapo tofauti na Kagame itoke wapi labda?
 
Huyo mkenya Yuko obsessed na magufuli kiasi kwamba akiambiwa magufuli ameweka hifadhi ya wanyama, uwanja wa ndege, uwanja wa mpira, taa za barabarani kijijini na kujenga ikulu huko hawezi kuelewa chochote zaidi ya kutupia mijineno ya uongo ya kiingereza Cha wachawi anachobumba. Mpuuzi kabisa. Atuache
Kwani nyinyi watanzania nani aliyewaroga hivi hiyo mbuga ya wanyama ni ya magu au ni ya hifadhi za taifa.mbona ilo pori lilikuwepo na ilikuwa hifadhi ya majambazi?sasa kuligeuza hifadhi ya taifa ndo limekuwa lake?mi nadhan mnaompinga magu mna lenu jampo na hamwezi kufanikiwa
 
Hivi Mbuga mpya Burigi iko wapi?
Chato hakijajengwa chuo kikubwa cha kanda cha VETA?
Hotel ya TANAPA ya nyota 3 wameshaimalizia?
Shamba kubwa la miti Tanzania lilizinduliwa na nani?
Kuna sehemu yoyote Tanzania waliwahi kupelekewa pesa za miradi ya maendeleo zaidi ya zile walizoomba?
Uwanja mkubwa kabisa wa mpira utaendelea kujengwa?
Chato kule hamna kitu, ni chuki Tu za watu, kule cha maana zaidi ni hospital
 
Huko Kenya PLO Lumumba ni mganga njaa tu
Nimemsikiliza PLO Lumumba, mzee anajua Sana. Nataman Sana serikali ya JMT ingekua na mtu mwenye uwezo wa kuisemea Kama Prof. Kwa ufafanuzi wake, Sasa ni rasmi dunia nzima inajua Lissu ana chuki binafsi na JPM, na ni hakika Magufuli alikuwa Kiongozi mwema, mpenda nchi yake aliyetamani kuona nchi ikipiga hatua kimaendeleo.
#TANZANIA NI YETU SOTE, TUIPENDE NA KUITUMIKIA
 
Kwahiyo Mungu hamuoni Kagame ila kamuona Jiwe tu? vitu vyengine unaongea kihisia sana kinyume na uhalisia, yani Lissu angekuwa ndio raia wa Rwanda basi Kagame angetangaza wazi kabisa kwamba atamshughulikia maana angekuwa na kila sababu ila sio Jiwe aliyemuachia Lissu arudi na kumpa ulinzi kabisa na kisha kumuachia arudi tena nje ya nchi.
Huyo alishikwa wizi TBC na matumizi mabaya kiofisi, manunuzi hewa yasio fuata taratibu za kisheria, ni sawa na kakoko alivyo banwa TPA una dhani ata Muongea Samia vizuri maishani mwake? unadhani wafuasi wa kakoko watamuongea vizuri samia?, huyo ni former CEO wa TBC lakini mahali kuna shida ndio maana anatumia kila njia kuponda Magufuli kuhalalisha maovu yake yaleeee
 
Rwanda ni taifa la washenzi sio Tanzania, hapa Mungu hajakubali utawala wa mtu muovu. Wapinzani wa Kagame tunawaona wanapelekwa mahakamani kwa kesi za kubambikiwa, kama ilivyokuwa kwa Lisu hapa nyumbani. Magu alimuachia Lisu akiamini Lisu hatakuwa na watu kutokana na propaganda alizoendesha kwenye utawala wake. Alichokiona kwenye kampeni za Lisu kilimpa msongo wa mawazo, ndio maana akaagiza uchaguzi unajisiwe nchi nzima. Lisu aliondoka kwa msaada wa mabalozi wa ulaya na sio kwa ruhusa ya jiwe. Na angebaki hapa angeagiza amri zake za awali zikamilishwe. Hapo tofauti na Kagame itoke wapi labda?
Inaonesha Mungu anaipenda sana Tanzania kama hajaondoa watawala wakorofi katika mataifa mengine isipokuwa Tanzania tu basi ni wazi hayo mapenzi ya wazi ya Mungu kwetu na ndio maana hata Magufuli kwa kulijua hilo alikuwa anatuhimiza tuombe tu ili kwa ajili ya corona pamoja na kuwa dunia kote kuna corona alijua Tanzania si kama hayo mataifa mengine ya kishenzi Tanzania ni taifa linalopendwa na Mungu.

Kabla hata ya Magufuli miaka yote hakujawahi kuwa na uchaguzi uliyofanyika katika mazingira ya haki na siku zote tunasema ccm hawezi kuliruhusu hilo,sasa Magufuli kapita humo humo hivyo hata asingekuwa Magufuli bado isingefanya Lissu ashinde ule uchaguzi kivyovyote vile. Masuala ya watu kwenye kampeni ni kwamba walikuwepo pande zote hata kwa Magufuli kulikuwa na nyomi la watu na nyomi hilohilo tumeliona hata wakati wa kufa kwake ila hilo nyomi la Lissu ambalo aliliambia liingie barabarani kuandamana ila halikuonekana ni wazi lilikuwa linaenda kumshangaa tu Lissu kwa sababu ya kupigwa risasi basi.
 
Inaonesha Mungu anaipenda sana Tanzania kama hajaondoa watawala wakorofi katika mataifa mengine isipokuwa Tanzania tu basi ni wazi hayo mapenzi ya wazi ya Mungu kwetu na ndio maana hata Magufuli kwa kulijua hilo alikuwa anatuhimiza tuombe tu ili kwa ajili ya corona pamoja na kuwa dunia kote kuna corona alijua Tanzania si kama hayo mataifa mengine ya kishenzi Tanzania ni taifa linalopendwa na Mungu.

Kabla hata ya Magufuli miaka yote hakujawahi kuwa na uchaguzi uliyofanyika katika mazingira ya haki na siku zote tunasema ccm hawezi kuliruhusu hilo,sasa Magufuli kapita humo humo hivyo hata asingekuwa Magufuli bado isingefanya Lissu ashinde ule uchaguzi kivyovyote vile. Masuala ya watu kwenye kampeni ni kwamba walikuwepo pande zote hata kwa Magufuli kulikuwa na nyomi la watu na nyomi hilohilo tumeliona hata wakati wa kufa kwake ila hilo nyomi la Lissu ambalo aliliambia liingie barabarani kuandamana ila halikuonekana ni wazi lilikuwa linaenda kumshangaa tu Lissu kwa sababu ya kupigwa risasi basi.

Hilo nyomi la Magufuli subiri siku itokee kuna vita kisha waambie waende bila silaha ndio ulete mrejesho.
 
Hapa hatuzungumzii vita mkuu Tanzania ni nchi ya Amani.

Siku ile Lisu aliyosema watu waingie barabarani wangeishia kuuwawa. Na ibilisi kwakuwa alijua anakaribia kufa alitaka afe na wengi, bahati nzuri Mungu wa watu wema alituepusha na yule muovu.
 
Siku ile Lisu aliyosema watu waingie barabarani wangeishia kuuwawa. Na ibilisi kwakuwa alijua anakaribia kufa alitaka afe na wengi, bahati nzuri Mungu wa watu wema alituepusha na yule muovu.
Hayo ni maelezo baada ya habari tu,tatizo sio hawakuingia barabarani tu bali hawakuwa hata na hilo wazo kabisa huko mitaani yani ni kama hawakumsikia Lissu,kiufupi Lissu hana ushawishi kabisa.
 
Hayo ni maelezo baada ya habari tu,tatizo sio hawakuingia barabarani tu bali hawakuwa hata na hilo wazo kabisa huko mitaani yani ni kama hawakumsikia Lissu,kiufupi Lissu hana ushawishi kabisa.

Ni kweli, je zile kura za kwenye mabeg zilikuwa za nini ili ibilisi atangazwe mshindi?
 
Wizi wa kura umeanza kufanywa na ccm kabla hata ya Magufuli.

Ule ulivuka viwango vya wizi, bali alinajisi uchaguzi. Ule ulikuwa ni uhayawani wazi ulioletwa na kiburi cha madaraka.
 
Najaribu kuonyesha nani ama credibility ya kumzungumzia The Late JPM. Je ni mpiga kelele wa Kenya aliyeshindwa kila alilofanya maishani au Mwanasiasa aliyekua bungeni na JPM miaka 5 na kupambana naye kwenye Urais??

Huyo PLO huko Kenya ni kituko tu nashangaa TZ mnamuona dhahabu sana
Kwa hiyo , alieanzisha mjadala hakufanya sahihi ? Kama aliweka mtu mmoja mwenye credibility na mwingine hana , maana yake nini? Hizo ndio dalili za tindo liso kushindwa vibaya kabisa na prof Lumumba , maana mnaanza kumcritisize Lumumba badala ya kuichambua mada. @no Lockdown in 🇬🇧
 
Ni kweli, je zile kura za kwenye mabeg zilikuwa za nini ili ibilisi atangazwe mshindi?
Zile kura za kwenye mabegi alizileta nani pale kwenye kituo? Aliezishika kituoni yupo wapi sasa ? Drama on the move🤣🤣
 
Back
Top Bottom