nosspass
JF-Expert Member
- Mar 7, 2013
- 5,814
- 4,781
hakuna muafrika anaempenda wazungu asilani.....kuinafik nafiki tuu...ila tujiulize.....tuna hata kiwanda hata cha kutengeneza CHEREHANI.... ambazo washenzi wazungu walituletea ili tuzibie viraka nguo zetu....tunapozungumzia viwanda....rudia tena "viwanda".....unamzungumzia mndu msungu mangi....umicho mndu....sorry nimeingiza kishaka kdg labda utanielewa........kwa kifupi tuu tujiulize......tunawezaje wakati hao wasomi wote ni mapaghala ya siasa....vijana wapi anaowazungumzia........tuchape kazi watoto wetu wapate maisha bora.....