CAPABLE GOD
JF-Expert Member
- Dec 5, 2020
- 258
- 278
Wewe uliyesoma sasa hivi, tupe njia nini kifanyike tujikwamue tulipoHuyu ni muathirika wa elimu ya ujamaa ni watu waliosoma zamani akili zao zimefungwa awajui chochote kuhusu ulimwengu wa sasa. Walipandikizwa chuki dhidi ya wazungu juu ya matatizo yetu.Wameshindwa kujua sisi wenyewe ndio chanzo cha matatizo yetu.
Hana tofauti na Walter Rodney
Mkuu kumbuka kuna external factors zinazotuzuia tusiendeleePLO, mshauri Kenyatta angalau akija kuondoka madrakani Kenya iwe kama one of the scadinavian countries. Hivi wazungu wanawazuia kuwa kamama say Sweden kimaendeleo?
Huyu ni mkenya. Mtu akishakuwa mpenda ujamaa we jua tayari ni nusu dikteta na mwenye ufinyu wa mawazo hata asome vipi. Hawa kazi yao huwa ni kujificha kwenye uzalendo kurubuni wajinga wengi wanaowaongoza.Alijipendekeza kwa jiwe kumsifia na kumpamba akitegemea teuzi.
Ni msomi lakini hana tofauti na musiba mulaga
Ndio maana huyu jamaa huwa anawapenda watanzania. Maanake akija Tz huwa anawazingua na maneno yake mengi kisha mnaingia box kiulaini sana. Tuulizeni sisi wakenya ambaye tunamfahamu vizuri.Mtu anaepingana na rushwa na wala rushwa hawezi kuwa rafiki wa Africans ruling elites. He's a real African. An African indeed!
Ndugu ww fanya yako uwezavyo ukipata nafasi ya kwenda nje nenda usiwasikilize hawa watu wana mameno matamu mdomoni mwao ila ni vinafiki hivi vibaraka wa wazunguPLO Lumumba ambae ni Mwanaumajimui maarufu wa Afrika anasema wazungu wanatumia jitihada kubwa kutunza Ndovu,Sokwe, Chui na wanyama wengine ambao wamo kwenye mapori ya Afrika ili wapate mahala pa kuja kupumzika lakini hawajali lolote kuhusu maslahi ya Afrika.
Anasema hivi karibuni watatuzuia kwenda huko kwao kwa sababu ya hizi COVID 19 nk anasema ni vema tubaki Afrika na tuijenge Afrika.
Nipo namsikiliza hapa youtube akihojiwa na Sahara Online TV jamaa ni mzalendo wa kweli wa Afrika.
Anasema vijana wa Afrika wametopea kushabikia masuala yasiyo na maslahi kwao na badala yake wamekuwa mashabiki wa vitu vyepesi visivyoleta tija kwao ndio sababu hatuendelei hasa vijana wa nchi za Kusini mwa Jangwa la Sahara.
MY TAKE:
Vijana tuamke tujenge Afrika na nchi yetu/zetu. Afrika ijengwe na Waafrika.
View attachment 1734183
Tapeli wa siasa. Ni aibu hadi leo mtu hadi leo bado anawaza ukoloni tu na kuwasimanga wazungu alafu akipewa kazi inamshinda . Dunia haipo fair ukiwa laini utaliwa tu, tulianza na wazungu sasa hivi wapo wachina pia. Waafrika tunapenda sana kuonewa huruma kitu ambacho hakipo kwenye dunia halisi.Ndio maana huyu jamaa huwa anawapenda watanzania. Maanake akija Tz huwa anawazingua na maneno yake mengi kisha mnaingia box kiulaini sana. Tuulizeni sisi wakenya ambaye tunamfahamu vizuri.
Patrick Loch Odhiambo(PLO) Lumumba aliteuliwa mwaka wa 2011 na rais Mwai Kibaki kama mwenyekiti wa KACC(Kenya Anti-Corruption Commission), taasisi huru ya kupambana na ufisadi. Ambayo sasa hivi Inaitwa EACC na hakujakuwepo na mtu yeyote mwingine ovyo zaidi yake kwenye historia ya uongozi wa taasisi hio.
Kwa muda wote ambao Lumumba aliongoza KACC hakuna mwanasiasa hata mmoja ambaye alifunguliwa mashtaka ya ufisadi mahakamani kupitia shirika hilo. Mbaya zaidi ni kwamba wakenya walikuwa na matumaini makubwa kwamba atafanya jambo la maana na kuandikisha rekodi mpya kwenye vita dhidi ya ufisadi.
Ila walichokichopata kutoka kwake ni mipasho tu isiyokuwa na kikomo na ahadi hewa kila siku ya wiki. Bure kabisa huyo jamaa na tangu siku hiyo wakenya huwa hawapotezi muda mwingi na hizo lecture zake za kuuza sura.
Huyu PLO ni mtu wa ovyo tu, anadhani kuonyesha chuki dhidi ya wazungu kutatufanya sisi waafrika tusonge mbele.PLO Lumumba ambae ni Mwanaumajimui maarufu wa Afrika anasema wazungu wanatumia jitihada kubwa kutunza Ndovu,Sokwe, Chui na wanyama wengine ambao wamo kwenye mapori ya Afrika ili wapate mahala pa kuja kupumzika lakini hawajali lolote kuhusu maslahi ya Afrika.
Anasema hivi karibuni watatuzuia kwenda huko kwao kwa sababu ya hizi COVID 19 nk anasema ni vema tubaki Afrika na tuijenge Afrika.
Nipo namsikiliza hapa youtube akihojiwa na Sahara Online TV jamaa ni mzalendo wa kweli wa Afrika.
Anasema vijana wa Afrika wametopea kushabikia masuala yasiyo na maslahi kwao na badala yake wamekuwa mashabiki wa vitu vyepesi visivyoleta tija kwao ndio sababu hatuendelei hasa vijana wa nchi za Kusini mwa Jangwa la Sahara.
MY TAKE:
Vijana tuamke tujenge Afrika na nchi yetu/zetu. Afrika ijengwe na Waafrika.
View attachment 1734183
Unataka Msaada kutoka kwa Wazungu? swali fikirishi sana... Upumbavu huu unahitaji kupimwa Mkojo! Umuulize Mzungu kwanini wewe ni Masikini? hivi hapo ulipo upo sober au?Wazungu hawana msaada wowote kwa Afrika, PLO yuko sahihi. Fanya analysis vizuri utagundua anachokisimamia kina ukweli mwingi. Whites ndio waliochangia Afrika kushindwa kuendelea.
Wazungu ukiwauliza KWANINI AFRIKA NI MASKINI wanakupa sababu nyepesi eti sababu ya idadi kubwa ya watu(Mbona Eastern Countries kama China na India population ni kubwa na ziko developed,mbona hiyo USA yenyewe iko na population kubwa na iko developed?)
Wazungu ndio walioleta sera za kimataifa ambazo hazina urafiki na nchi maskini za Kiafrika...tazama masharti yao ya ushirikiano wa kiuchumi hayana nia njema mostly!!!
Wazungu na Ndovu wapi na wapi walishaacha kitambo sana anaogopa kuwasema Wachina? haya ndio yle aliyosema Lema Elimu bila akili...PLO Lumumba ambae ni Mwanaumajimui maarufu wa Afrika anasema wazungu wanatumia jitihada kubwa kutunza Ndovu,Sokwe, Chui na wanyama wengine ambao wamo kwenye mapori ya Afrika ili wapate mahala pa kuja kupumzika lakini hawajali lolote kuhusu maslahi ya Afrika.
Anasema hivi karibuni watatuzuia kwenda huko kwao kwa sababu ya hizi COVID 19 nk anasema ni vema tubaki Afrika na tuijenge Afrika.
Nipo namsikiliza hapa youtube akihojiwa na Sahara Online TV jamaa ni mzalendo wa kweli wa Afrika.
Anasema vijana wa Afrika wametopea kushabikia masuala yasiyo na maslahi kwao na badala yake wamekuwa mashabiki wa vitu vyepesi visivyoleta tija kwao ndio sababu hatuendelei hasa vijana wa nchi za Kusini mwa Jangwa la Sahara.
MY TAKE:
Vijana tuamke tujenge Afrika na nchi yetu/zetu. Afrika ijengwe na Waafrika.
View attachment 1734183
Soma aya ya mwisho ya mleta mada jamaa kasemea mtatizo yetu pia na mtoa mada akatoa maoni yake pia hapo mwishonHuyu ni muathirika wa elimu ya ujamaa ni watu waliosoma zamani akili zao zimefungwa awajui chochote kuhusu ulimwengu wa sasa. Walipandikizwa chuki dhidi ya wazungu juu ya matatizo yetu.Wameshindwa kujua sisi wenyewe ndio chanzo cha matatizo yetu.
Hana tofauti na Walter Rodney
Ondoa hivi Ufisadi,wizi,uvivu, ubinafsi, udikteta, Utawala mbovu hapa lzm tusongeWewe uliyesoma sasa hivi, tupe njia nini kifanyike tujikwamue tulipo
Alijipendekeza kwa jiwe kumsifia na kumpamba akitegemea teuzi.
Ni msomi lakini hana tofauti na musiba mulaga
Huyu ni muathirika wa elimu ya ujamaa ni watu waliosoma zamani akili zao zimefungwa awajui chochote kuhusu ulimwengu wa sasa. Walipandikizwa chuki dhidi ya wazungu juu ya matatizo yetu.Wameshindwa kujua sisi wenyewe ndio chanzo cha matatizo yetu.
Hana tofauti na Walter Rodney
Zao la akili huru zenye global visionnawewe ni zao lipi!!
Magu ndie katiba ndie sheria ashindwi kitu vyoote vilivyomo ni mali yake,umpa amtakae.huyo mkenya na teuzi za magu wapi na wapi!!!
nyie ndio mnawahi stand tiketi mmefungia nyumbani.
Zao la akili huru zenye global vision