Shujaa Mwendazake
JF-Expert Member
- Jul 11, 2015
- 4,016
- 6,759
- Thread starter
- #21
Yeye siyo mahakamaMafisadi hawatampenda PM Majaliwa
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Yeye siyo mahakamaMafisadi hawatampenda PM Majaliwa
Nyaraka zimeungua , anabisha nini bila uchunguzi??Labda JD yake aliyopewa na Rais inamuelekeza hivyo!
Wachoma Masoko je?Hawa wachoma nyaraka sio watu kutoka mbinguni. Ni wenzetu tupo nao JF
Nahukumu halaf anaomba uchunguzi...Daaah ila wabongo 😂😂😂 sasa hata hilo alofanya bado analaumiwa tu?
NakaziaIko wapi repoti ya mauaji ya mfanya biashara kule Mtwara (Judicial killing)
"Rais ni mzima na anachapa kazi"PM Majaliwa
Afanye kazi asitafute Popularity, anamuhukumu mtu halafu anaomba uchunguzi..We jamaa mwache afanye KAZI!
Unafikiri na yeye akiwa mpole kama NAMBA Moja nchi italiwa na mchwa hii!
Naona Baada ya kushindwa kumuingiza mtu wenu kwenye ukatelephone mmeanza kushambulia Mamlaka yake!
Tufanye kazi tujenge nchi,go go katelephone go!
Pesa zinatafutwaje ?PM siyo chombo cha kiuchunguzi, hakupaswa kufanya aliyoyafanya kuikuza ishu yenyewe ndogo sana.
Ameongea asiyopaswa kuyaongea na kujifanya ana huruma sana na watanzania, akaenda mbali na kumuonea huruma Mama eti 'anahangaika kutafuta fedha kwa ajili yetu'.
Hawa watendaji ukiwatazama usoni utajifunza jambo, wanapomtaja Rais utagundua wamejaa unafiki, wanataja Mheshimiwa Rais Dr. Samia Suluhu Hassan kwa taabu sana, unaona kabisa kuna kitu hakiko sawa, sijui Mama mwenyewe kama amegundua hiliAmeongea asiyopaswa kuyaongea na kujifanya ana huruma sana na watanzania, akaenda mbali na kumuonea huruma Mama eti 'anahangaika kutafuta fedha kwa ajili yetu'.
Hii ni kutafuta umaarufu wa kisiasa:
Msamehe bure mkuu. Hiyo reasoning siyo kwa wahitimu wa st kayumba kama yeye.Mjinga kweli weee, Wewe suala kama Hilo unaona dogo? Kuchoma nyaraka, kupoteza ushahidi?
Hapa suala sio tu kuchoma, suala hapa ni Nia ovu ya wachomaji na sababu ilopelekea kuchoma.
ACHA KUA MJINGA.
Nani kaunguza makusudi sasa?ACHA UJINGA NYARAKA ZILIZOUNGUA ZINAHUSISHA MAMILIONI YA FEDHA ZA SERIKALI
Kuna sheria za ajira.. kuna sheria za ushahidi .Msamehe bure mkuu. Hiyo reasoning siyo kwa wahitimu wa st kayumba kama yeye.
Cheap Popularity ndiyo..Kwamba PM anatafuta Cheap Popularity!!!! Kweli una maanisha hivyo? Kwamba PM siyo Maarufu?
Wewe KENGE kabisa
Sawa kidumeUnawaza kishoga sana
Akaze buti ila asituhadae..Naona kampeni ya kumchafua Waziri Mkuu Majaliwa na hachafuki ng'o kwa kuwa sio fisadi. Kaza buti PM kazi yako sio ya kitoto