PM aache kutafuta 'Cheap Popularity' kwa ishu ndogo tu ya kuungua nyaraka huko Rukwa

PM aache kutafuta 'Cheap Popularity' kwa ishu ndogo tu ya kuungua nyaraka huko Rukwa

Hawa watendaji ukiwatazama usoni utajifunza jambo, wanapomtaja Rais utagundua wamejaa unafiki, wanataja Mheshimiwa Rais Dr. Samia Suluhu Hassan kwa taabu sana, unaona kabisa kuna kitu hakiko sawa, sijui Mama mwenyewe kama amegundua hili
Uko sahihi
 
watumishi wa umma mlio aminiwa kusimamia miradi ya Serikali acheni wizi.

nashauri wale wote watakao thibitika kuiba au kusababisha ubadhirifu wa fedha za umma wafilisiwe mali zao zote.
 
PM siyo chombo cha kiuchunguzi, hakupaswa kufanya aliyoyafanya kuikuza ishu yenyewe ndogo sana.

Ameongea asiyopaswa kuyaongea na kujifanya ana huruma sana na watanzania, akaenda mbali na kumuonea huruma Mama eti 'anahangaika kutafuta fedha kwa ajili yetu'.

Hii ni kutafuta umaarufu wa kisiasa:

- Ameomba TAKUKURU wachunguze ilhali na yeye aneshatoa hukumu yake kuwa wamechoma nyaraka makusudi, tutegemee nini ktk uchunguzi wa PCCB.

- PM amesharudNganya mara kadhaa na la mwisho ni alipokurupuka huko Kagera kwa ajili ya. kujijenga kisiasa na kumpa sifa hewa kijana majaliwa. Yote kuficha mapungufu ya uokoaji.

- Susla labkutaka tumuonee huruma. Mama kisa anahangaika na kazi ngumu ya kutafuta fedha, mbona wako bize kupambana kujitejesha madarakani 2025?

- Iko wapi ripoti ya Soko la Kariakoo?

Wafuate taratibu za ajira, mamlaka za kiuchunguzi zifanye kazi na kuja na majibu sahihi, hatutaki majibu yao ya kisiasa kujjijenga kwa ajenda ya kutuonea huruma sisi. Kuna huruma gani wakat kodi ya Mafuta tu wameshindwa kutupunguzia.

NOBODY IS PERFECT HATA YEYE PM.
Dokta hangaya kapiga elfu, majaliwa kumi elfu. Walisikika wakiimba.
Majaliwa ni bora zaidi mara 100, kuliko hangaya ndio maana yeye kazi awezayo ni kusafiri tu.
 
Sisis ndiyo walipa kodi mkuu. Serikali ilitujulisha kuwa inaunda tume. Ripoti ya tume imewekwa chini ya kapeti mpk leo. Na hakuna hatua zozote zilizchukuliwa.

Yasemekana mama alikutana na vigogo zaidi yake wakamtisha kuwa ukithubutu kutugusa utatwaliwa.

Serikali imechoka hii
Bora Magu alikuwa anaita Media na kutusomea majibu ya ripoti za tume alizounda, ndio maana Mimi naona bora yeye maana baadhi ya vitu ambavyo nilikuwa navijua kama mwananchi kuhusu mambo ya serikali kidogo nilikuwa naweza kuvifafanua tofauti na sasa

#Nisichokijua...!!
 
watumishi wa umma mlio aminiwa kusimamia miradi ya Serikali acheni wizi.

nashauri wale wote watakao thibitika kuiba au kusababisha ubadhirifu wa fedha za umma wafilisiwe mali zao zote.
Waanze na waliochota mizigo Benki kuu
 
Ninyi wapuuzi ndio mnalikwamisha taifa Letu kwa masilahi yenu. Mali ya umma ni Mali ya umma bila kujali thamani au udogo wake. Mali ya umma lazima ilindwe Kwa uwajibikaji wa kisheria.
 
Ninyi wapuuzi ndio mnalikwamisha taifa Letu kwa masilahi yenu. Mali ya umma ni Mali ya umma bila kujali thamani au udogo wake. Mali ya umma lazima ilindwe Kwa uwajibikaji wa kisheria.
HUWAJUI WALIOLIKWAMISHA TAIFA YAANI..

mavi wewe
 
PM alizidiwa taarifa na KIGOGO kuhusu afya ya Bwana yule.

PM aliyetupiga saundi kule Kagera .

PM wa Mwendazake ?????

PM alizidiwa taarifa na KIGOGO kuhusu afya ya Bwana yule.

PM aliyetupiga saundi kule Kagera .

PM wa Mwendazake ?????
Alizidiwa taarifa au alitumika kuficha ukweli!?..yaani pm asijue taarifa za rais ajue kigogo!?
 
Alizidiwa taarifa au alitumika kuficha ukweli!?..yaani pm asijue taarifa za rais ajue kigogo!?
UKISEMA ALIUDANGANYA UMMA UTAPUNGUKIWA NINI??

SUBIRINI RIPOTI YA TAKUKURU NA MAAMUZI YA MAHAKAMA.

Siyo kulalamika Mama anahagaika sijui wanatuhurumia waTz . This is cheap Popularity brooo.
 
UKISEMA ALIUDANGANYA UMMA UTAPUNGUKIWA NINI??

SUBIRINI RIPOTI YA TAKUKURU NA MAAMUZI YA MAHAKAMA.

Siyo kulalamika Mama anahagaika sijui wanatuhurumia waTz . This is cheap Popularity brooo.
Unafikiri aliudanganya umma kwa maamuzi yake!?..wajamaa tu huwa waongo,ni tabia yao,si ulimsikia mkuu wa majeshi mstaafu akidai waliofanya kazi kubwa kuhakikisha Katiba inafuatwa baada ya kifo!
 
UKISEMA ALIUDANGANYA UMMA UTAPUNGUKIWA NINI??

SUBIRINI RIPOTI YA TAKUKURU NA MAAMUZI YA MAHAKAMA.

Siyo kulalamika Mama anahagaika sijui wanatuhurumia waTz . This is cheap Popularity brooo.
Taarifa za ugonjwa ni siri Kati ya daktari na mgonjwa leo ulitaka PM atoe siri za ugonjwa wa Rais hadharani? Tumieni akili basi
 
Na
PUMBAVU WEWE,


Kaainisha vielelezo gani pale?

Small mind kabisa wewe!!!

Kabwabwaja tu kutuhadaa sisi. Ripoti ya mzigo wa benki kuu iko wapi?.. Ripoti ya moto wa soko la kariakoo iko wapi??

Amemshutumu muhasibu kuchoma moto nyaraka, halafu anawaomba Pccb wachunguze.

Hamuoni kuwa amecompromise huo uchunguzi??

Subiria ripoti mje mtukane
Natamani nikutukane we UMBWA
 
Mjinga kweli weee, Wewe suala kama Hilo unaona dogo? Kuchoma nyaraka, kupoteza ushahidi?

Hapa suala sio tu kuchoma, suala hapa ni Nia ovu ya wachomaji na sababu ilopelekea kuchoma.

ACHA KUA MJINGA.

Huyo waziri mkuu mpaka leo ana ripoti ya mtu aliyekutwa kajiunganishia bomba la mafuta hapa mjini, hadi leo yuko kimya licha ya kuahidi kuweka ripoti hiyo hadharani. Anasaka kiki za bei rahisi kwa vidagaa huku hana ubavu na mambo makubwa kama issue ya mgao wa umeme. Aache siasa za kiki za kitoto. Hayo mambo madogo kuna Dc, RC, Takukuru, diwani, mbunge nk.
 
We jamaa mwache afanye KAZI!

Unafikiri na yeye akiwa mpole kama NAMBA Moja nchi italiwa na mchwa hii!

Naona Baada ya kushindwa kumuingiza mtu wenu kwenye ukatelephone mmeanza kushambulia Mamlaka yake!

Tufanye kazi tujenge nchi,go go katelephone go!

Anatakiwa awe mkali kwa issue za maana sio hizo pety issues. Yeye mwenyewe yuko madarakani kwa wizi wa kura, uadilifu atatoa wapi?
 
PM siyo chombo cha kiuchunguzi, hakupaswa kufanya aliyoyafanya kuikuza ishu yenyewe ndogo sana.

Ameongea asiyopaswa kuyaongea na kujifanya ana huruma sana na watanzania, akaenda mbali na kumuonea huruma Mama eti 'anahangaika kutafuta fedha kwa ajili yetu'.

Hii ni kutafuta umaarufu wa kisiasa:

- Ameomba TAKUKURU wachunguze ilhali na yeye aneshatoa hukumu yake kuwa wamechoma nyaraka makusudi, tutegemee nini ktk uchunguzi wa PCCB.

- PM amesharudNganya mara kadhaa na la mwisho ni alipokurupuka huko Kagera kwa ajili ya. kujijenga kisiasa na kumpa sifa hewa kijana majaliwa. Yote kuficha mapungufu ya uokoaji.

- Susla labkutaka tumuonee huruma. Mama kisa anahangaika na kazi ngumu ya kutafuta fedha, mbona wako bize kupambana kujitejesha madarakani 2025?

- Iko wapi ripoti ya Soko la Kariakoo?

Wafuate taratibu za ajira, mamlaka za kiuchunguzi zifanye kazi na kuja na majibu sahihi, hatutaki majibu yao ya kisiasa kujjijenga kwa ajenda ya kutuonea huruma sisi. Kuna huruma gani wakat kodi ya Mafuta tu wameshindwa kutupunguzia.

NOBODY IS PERFECT HATA YEYE PM.
Pumbavu kabisa. Mpige fedha halafu mchome nyaraka kwamba ni issue ndogo!!!. Majizi mliokubuhu.
 
Back
Top Bottom