Johnny Impact
JF-Expert Member
- Sep 12, 2017
- 5,502
- 9,070
Hii nchi huwezi kuijenga. Tangu 1961 serikali ya CCM inahangaika na maji, umeme wa mgao, matundu ya choo shuleni, madawati, elimu na afya ambapo vitu hivi vingekuwa vimeisha kabisa 100%. Wewe utaweza kujenga nchi?We jamaa mwache afanye KAZI!
Unafikiri na yeye akiwa mpole kama NAMBA Moja nchi italiwa na mchwa hii!
Naona Baada ya kushindwa kumuingiza mtu wenu kwenye ukatelephone mmeanza kushambulia Mamlaka yake!
Tufanye kazi tujenge nchi,go go katelephone go!
Umeelewa lakini?Ninyi wapuuzi ndio mnalikwamisha taifa Letu kwa masilahi yenu. Mali ya umma ni Mali ya umma bila kujali thamani au udogo wake. Mali ya umma lazima ilindwe Kwa uwajibikaji wa kisheria.
Umeelewa lakini?Wewe na pm nani ana taarifa!?
hujajibuUnafikiri aliudanganya umma kwa maamuzi yake!?..wajamaa tu huwa waongo,ni tabia yao,si ulimsikia mkuu wa majeshi mstaafu akidai waliofanya kazi kubwa kuhakikisha Katiba inafuatwa baada ya kifo!
Mkapa alituamvia hali ya Juliasi siyo nzuri.Taarifa za ugonjwa ni siri Kati ya daktari na mgonjwa leo ulitaka PM atoe siri za ugonjwa wa Rais hadharani? Tumieni akili basi
NDO NACHOMAANISHA.Huyo waziri mkuu mpaka leo ana ripoti ya mtu aliyekutwa kajiunganishia bomba la mafuta hapa mjini, hadi leo yuko kimya licha ya kuahidi kuweka ripoti hiyo hadharani. Anasaka kiki za bei rahisi kwa vidagaa huku hana ubavu na mambo makubwa kama issue ya mgao wa umeme. Aache siasa za kiki za kitoto. Hayo mambo madogo kuna Dc, RC, Takukuru, diwani, mbunge nk.
Nakazia ..Anatakiwa awe mkali kwa issue za maana sio hizo pety issues. Yeye mwenyewe yuko madarakani kwa wizi wa kura, uadilifu atatoa wapi?
Una uhakika zimechomwa?Pumbavu kabisa. Mpige fedha halafu mchome nyaraka kwamba ni issue ndogo!!!. Majizi mliokubuhu.
Fact ..Hii nchi huwezi kuijenga. Tangu 1961 serikali ya CCM inahangaika na maji, umeme wa mgao, matundu ya choo shuleni, madawati, elimu na afya ambapo vitu hivi vingekuwa vimeisha kabisa 100%. Wewe utaweza kujenga nchi?
Unataka nijibu unavyotaka wewe,utanipa cheti!?hujajibu
Hilo yanipasa kukuuliza,maana uelewa wako wa mambo ya serikali una mushkeliUmeelewa lakini?
Pole mkuu..inaelekea utakumbwa na fagio hilo...wacha PM atekeleze majukumu yake..Acha kulialia.PM siyo chombo cha kiuchunguzi, hakupaswa kufanya aliyoyafanya kuikuza ishu yenyewe ndogo sana.
Ameongea asiyopaswa kuyaongea na kujifanya ana huruma sana na watanzania, akaenda mbali na kumuonea huruma Mama eti 'anahangaika kutafuta fedha kwa ajili yetu'.
Hii ni kutafuta umaarufu wa kisiasa:
- Ameomba TAKUKURU wachunguze ilhali na yeye aneshatoa hukumu yake kuwa wamechoma nyaraka makusudi, tutegemee nini ktk uchunguzi wa PCCB.
- PM amesharudNganya mara kadhaa na la mwisho ni alipokurupuka huko Kagera kwa ajili ya. kujijenga kisiasa na kumpa sifa hewa kijana majaliwa. Yote kuficha mapungufu ya uokoaji.
- Susla labkutaka tumuonee huruma. Mama kisa anahangaika na kazi ngumu ya kutafuta fedha, mbona wako bize kupambana kujitejesha madarakani 2025?
- Iko wapi ripoti ya Soko la Kariakoo?
Wafuate taratibu za ajira, mamlaka za kiuchunguzi zifanye kazi na kuja na majibu sahihi, hatutaki majibu yao ya kisiasa kujjijenga kwa ajenda ya kutuonea huruma sisi. Kuna huruma gani wakat kodi ya Mafuta tu wameshindwa kutupunguzia.
NOBODY IS PERFECT HATA YEYE PM.
Atoe ripoti ya wizi wa mabomba ya mafuta.Hilo yanipasa kukuuliza,maana uelewa wako wa mambo ya serikali una mushkeli
Ushahamia kwenye Bomba la mafuta Tena!!?Atoe ripoti ya wizi wa mabomba ya mafuta.
Serikali inahitaji Transparecy mzee. Siyo kufanya kiki nyingi halafu ripoti zijija zinakaliwa ofisini.
Haijathibitishwa mhasibu kuchoma karatasi hizo. Na neno la PM siyo hukumu ya mahakama.
Ndo PM huyo.Ushahamia kwenye Bomba la mafuta Tena!!?
Kitendo cha kubadili kufuli pia baada ya moto kuzimwa umeme ulikutwa upo salama Sasa chanzo cha moto ni nini wakati jamaa hapiki mule wala fegi havuti?Umejuaje Nia ovu ya wachomaji???
uthibitisho!!!
Huyo mlalamikaji si ndio alichoma ofisiDaaah ila wabongo πππ sasa hata hilo alofanya bado analaumiwa tu?
Dah,nenda kale babu!!Ndo PM huyo.
Cheap popularity