PM Kassim Majaliwa piga kazi, achana na ndoto za Urais, umemponza SG Dk. Bashiru Ally

PM Kassim Majaliwa piga kazi, achana na ndoto za Urais, umemponza SG Dk. Bashiru Ally

Sisi wajumbe toka mikoa ya kusini, kwa maana ya mtwara,Lindi,Ruvuma ,mbeya iringa ,Rukwa na Katavi, tumeapa piga Ua, fila garagaza kura yetu kwa Dr. Emmanuel Nchimbi. Tutafia uwanjani, na sisi zamu yetu kula bata mitano ijayo
Si mpaka apite kwenye 5 bora. Unaweza kukaa na kalamu yako vizuri na usiweze kumchagua.
 
Maoni yako yanaonyesha nawe ni mmojawapo ya wana kambi za wasaka Urais. Umeandika majungu mengi bila ushahidi wowote.
Huu ujinga wenu wa kuwaza uchaguzi kila baada ya uchaguzi ndo unasababisha Taifa hili lizidi kurudi nyuma.
Uchaguzi unapokwisha wote mnapaswa kuweka akili sawa kuisaidia Nchi kwenda kwenye malengo yake, lkn badala yake Chama kimekuwa na desturi ya kuzalisha makundi ya kutafuta nafasi kwa uchaguzi ujao.
Siku Wananchi wakielewa na kutupumzisha, pengine kuanzia hapo Nchi inaweza kuanza safari ya maendeleo.
 
Mleta uzi unaonekana una chuki na huyu Bwana mkubwa, unataarifu kwa hasira na huku mwishoni ndio umedhihirisha uzaifu wako kwa kutangaza chuki kwa PM. kila ntu anataka afike na abaki pazuri
 
Sisi wajumbe toka mikoa ya kusini, kwa maana ya mtwara,Lindi,Ruvuma ,mbeya iringa ,Rukwa na Katavi, tumeapa piga Ua, fila garagaza kura yetu kwa Dr. Emmanuel Nchimbi. Tutafia uwanjani, na sisi zamu yetu kula bata mitano ijayo
Je atafika tano bora?? Nchimbi,Kimbisa na Sofia Simba si walikua kambi ya Lowasa,na ndio hawa walipinga hadharani uteuzi wa Jiwe?? Hee he he! Subiri uje uone rangi ya jiwe ilivyo!
 
Anafaa kuchukua nafasi hio muda ukifika kwani amepata uzoefu kutoka kwa Rais.
 
Wanabodi heshima kwenu!

Taarifa zilizonifikia kutoka chanzo ninachokiamini ni kwamba ziara za Waziri Mkuu Kassim Majaliwa mikoani pamoja na mambo mengine anazitumia kujiweka sawa kwa ajili ya kumrithi Rais Magufuli.

Duru za siasa mikoani zinaeleza kwamba, sehemu kubwa ya Wabunge waliopitishwa na CCM na hatimaye kuwa Wabunge wa Bunge la Jamhuri ya Muungano ni mipango mahsusi iliyopangwa na PM Kassim na kuratibiwa na Katibu Mkuu Dk. Bashiru Ally kama hatua ya kwanza ya kujiweka sawa kwa 2025.

Hatua ya pili kupitia wabunge hao ni kupanga safu katika Uchaguzi Mkuu wa ndani ya Chama 2022 ambapo "wabunge wa PM" wamepewa jukumu la kushawishi wajumbe mikoani na wilayani kuunga mkono harakati hizo butu.

Taarifa zinaeleza kwamba, harakati hizo zinam-keep busy Waziri Mkuu kiasi kwamba utendaji wake kuwa shakani au dhaifu.

Hata hivyo, taarifa kutoka kwenye korido za Lumumba zinaeleza kuwa mamlaka za juu zimepata taarifa na hivyo hatua kadhaa zimeanza kuchukuliwa dhidi ya SG na PM likiwemo uteuzi wa Polepole Ubunge kufuatilia nyendo za PM bungeni.

My Take! Kutamani Urais si dhambi. Lakini tamaa hiyo inapokuondoa katika utendaji kazi basi ni kheri kujiuzulu ili kuwa huru kusaka Urais. Lakini pia ikumbukwe Waziri Mkuu naye ni Mkulu kiprotokali. Anaishi Ikulu. Kuutamani Urais ni kutaka kuishi Ikulu kwa miaka 20 tofauti na Rais aliyeishi 10 years. Hawezi kuruhusu ajali hiyo kutokea. Huu ni muda wa kujenga nchi si kusaka madaraka.

Ni ushauri tu!
Wote ni wabovu
 
Safi kabisa hii ni team makamba na team jafo zinapambana na team majaliwa.

Team wasira inapika majungu soon itaibuka.

Team kigwangala ipo inatafakari.

Team Mwigulu hii ndiyo balaa imepania sana kufanya chochote kupambana na vikwazo vya team zote.

Team Kabudi haina hela na ushawishi imekufa kabla haijazaliwa.
Makonda?
 
Je atafika tano bora?? Nchimbi,Kimbisa na Sofia Simba si walikua kambi ya Lowasa,na ndio hawa walipinga hadharani uteuzi wa Jiwe?? Hee he he! Subiri uje uone rangi ya jiwe ilivyo!
Hana madhara 2025, kama huamini utaona,CCM ina utaratibu wa kuheshimiana unapokuwa madarakani lakini unapoondoka hali inakuwa tofauti sana kwa chaguzi zote, yangu enzi za nyerere, tena wajumbe wakushajua unampigia debe Fulani ndio hapiti kabisa. Muulize Jk
 
Back
Top Bottom