Tetesi: PM, Philips, Foreign na February wamekalia kuti kavu?

Tetesi: PM, Philips, Foreign na February wamekalia kuti kavu?

Kama kweli bac yajayo yanasikitisha,
Wakulima WA Kahawa,Maindi na Mbaazi nao wanasubli bei elekezi.
 
Kama atamtema PM basi atakuwa amefanya kosa kubwa sana la kiufundi. Itamgharimu zaidi ya anavyodhani.

PM ni very dedicated katika kila anachokifanya. Pia PM anajitofautisha na bosi wake katika matumizi sahihi ya kuweka mizania ya maamuzi.

PM anajua ni wakati gani awe mwanasiasa na ni wakati gani asicheke na mtu aliye mbele ya uso wake. Hao wengine haswa february, anaweza kupigwa chini muda wowote, kwa sababu keshaonyesha kejeli za zile katuni zake.
1. PM hawezi kumtoa kwa sasa atamuacha amalize muda wake lakini sina hakika kama atarudi kuwa PM 2020 mara baada ya Uchaguzi.
2. Philips nae atamuacha amalize muda uhakika wa kurudi pale ninao 100% ila naibu waziri aweza kuwa Charles Kimei
3. Foregn hawezi kumng'oa pale hana mwana diplomasia makini kama yule kwasasa ndani ya CCM ukizingatia zile nafasi zake za ubunge kamaliza, ata 2020 uhakika ninao anarudi wizara yake.
 
Sababu ulizotoa zote hazina mashiko. Tatizo la uchumi kuporomoka sio kosa la philipo ni magufuli mwenyewe. Swala la korosho nalo sio la PM ni magufuli mwenyewe kuchanganya biashara na siasa za kutaka utukufu. Mambo ya nje nayo hahusiki hata kidogo, mahusiano yetu na nch za nje kavurugwa magufuli mwenyewe na mwanaye kwa kauli zao zisizokuwa na vichwa wala miguu.
 
Msimu wa kutumbua tumbua katika utawala wa mtukufu hautakoma kamwe. Kila baada ya muda kuna kigogo ndani ya utawala anatumbuliwa. Ndio mtindo wake, hivyo tunapaswa kuuelewa na kuuzoea tu.

Wadadisi wa mambo wameshaweza kumsoma mtukufu na kuweza kutengeneza baadhi ya tabiri ambazo mara kadhaa zimekuwa kweli kabisa. Na JF ndio imekuwa kinara wa kuweza kuzisoma Codes na kuunganisha mambo.

Ukitazama kauli kadhaa za mtukufu kuhusiana na PM wake utagundua kabisa ipo siku atatemwa tu. PM huenda ameshachokwa na bosi wake na kilichobakia ni kutengenezewa sababu nzito ya kwenda na maji. Hili la korosho ndio lilikuwa jaribio la pili, limewakumba wenzake na kumuacha salama PM, lakini kwa jicho la karibu sana, linaonekana bado bichi mnoo, hivyo PM akae kwa umakini.....

Upande wa Philips nako hali si hali, uchumi umeyumba, makusanyo ya kodi anadai yameshuka, hakuna vyanzo vipya vya mapato, mambo hayaendi, lugha zinagongana tu na bosi wake au mtoto wa bosi. Lazima mchawi atafutwe tu. Waswahili wanasema mchawi ndio alipewa alee mtoto, na mtoto ameshaangamia, kitakachofuata ni mchawi naye kuangamizwa. Philips hawezi kukwepa mtego tena. Ni suala la muda tu.....

Foreign naye huenda ameshachoka, amebanwa mnoo, hana pakusimamia, diplomasia ya Tz imepwaya mno, uwaziri kwake umegeuka kuwa shubiri, anatamani huo mzigo autue lakini anaona aibu na woga umemjaa, hana ujanja, msimamo wa bosi hauwezi kuivusha nchi kimataifa, mabalozi wamelala fofofo, hawana mbinu mbadala. Mtego uliopo mbele yake kwa sasa ni kuwa dalali wa kuuza korosho kimaitaifa. Huo ni mtihani kwake, Kitakachofuata ni kwenda na maji tu...

February yeye anajua tayari yuko kwenye blacklist, hatakiwi kuwepo kwenye baraza, anatuhumiwa kuwa ana ndimi mbili, haaminiki kabisa, anatajwa kama ndiye mjumbe mkuu wa yule adui ndani ya serikali. Kwake ni suala la muda tu, uamuzi ulishafanyika toka kitambo na mwenyewe anajua hilo. Ni

Hizo zote ni ndoto za Zanzibar-ASP.
Sababu zote za msingi zipo za kuwatumbua.January(a.k.a February), sijui kwa nini yupo mpaka sasa,huyu kweli ni kinyonga,na wengi tulishasema huyu ni mali ya Kikwete,he can't change.Phillip nae kweli mambo hayaendi, uchumi umedorora.Mahiga naye si uongo, diplomasia ya nchi za nje imemshinda, Mkulu anakosolewa ughaibuni kila kukicha.Mahiga kashindwa kui-brand nchi kabisa.Wapo wengine wanne ambao nao sijui kwa nini wapo:Mwakyembe,
Kagairuki,Lugola na Ndalichako.
Mwakyembe kaegeshwa tu michezo, lakini kiukweli si mahali pake.Ndalichako naye sioni analofanya Elimu,nilitegemea elimu yetu iwe overhauled ili kuiboresha, lakini sioni la msingi linalofanyika,matatizo yanayofanya elimu yetu iwe duni yako pale pale.Kagaruki naye ni kama old wine in a new bottle,sioni jipya.Lugola naye alianza kufurukuta furukuta wee, lakini matatizo ya Wizara ya Mambo ya Ndani yako pale.It is business as usual.Sijui Rais wetu msaada ataupata wapi,there is simply too much sabotage from within.Naweza kusema adui zake wapo nyumbani mwake.
 
Msimu wa kutumbua tumbua katika utawala wa mtukufu hautakoma kamwe. Kila baada ya muda kuna kigogo ndani ya utawala anatumbuliwa. Ndio mtindo wake, hivyo tunapaswa kuuelewa na kuuzoea tu.

Wadadisi wa mambo wameshaweza kumsoma mtukufu na kuweza kutengeneza baadhi ya tabiri ambazo mara kadhaa zimekuwa kweli kabisa. Na JF ndio imekuwa kinara wa kuweza kuzisoma Codes na kuunganisha mambo.

Ukitazama kauli kadhaa za mtukufu kuhusiana na PM wake utagundua kabisa ipo siku atatemwa tu. PM huenda ameshachokwa na bosi wake na kilichobakia ni kutengenezewa sababu nzito ya kwenda na maji. Hili la korosho ndio lilikuwa jaribio la pili, limewakumba wenzake na kumuacha salama PM, lakini kwa jicho la karibu sana, linaonekana bado bichi mnoo, hivyo PM akae kwa umakini.....

Upande wa Philips nako hali si hali, uchumi umeyumba, makusanyo ya kodi anadai yameshuka, hakuna vyanzo vipya vya mapato, mambo hayaendi, lugha zinagongana tu na bosi wake au mtoto wa bosi. Lazima mchawi atafutwe tu. Waswahili wanasema mchawi ndio alipewa alee mtoto, na mtoto ameshaangamia, kitakachofuata ni mchawi naye kuangamizwa. Philips hawezi kukwepa mtego tena. Ni suala la muda tu.....

Foreign naye huenda ameshachoka, amebanwa mnoo, hana pakusimamia, diplomasia ya Tz imepwaya mno, uwaziri kwake umegeuka kuwa shubiri, anatamani huo mzigo autue lakini anaona aibu na woga umemjaa, hana ujanja, msimamo wa bosi hauwezi kuivusha nchi kimataifa, mabalozi wamelala fofofo, hawana mbinu mbadala. Mtego uliopo mbele yake kwa sasa ni kuwa dalali wa kuuza korosho kimaitaifa. Huo ni mtihani kwake, Kitakachofuata ni kwenda na maji tu...

February yeye anajua tayari yuko kwenye blacklist, hatakiwi kuwepo kwenye baraza, anatuhumiwa kuwa ana ndimi mbili, haaminiki kabisa, anatajwa kama ndiye mjumbe mkuu wa yule adui ndani ya serikali. Kwake ni suala la muda tu, uamuzi ulishafanyika toka kitambo na mwenyewe anajua hilo. Ni

Hizo zote ni ndoto za Zanzibar-ASP.

Mambo ya msingi:
1: Sifa za KIONGOZI ni nini? - ikizingatia kwamba uongozi ni dhamana
2: Lip service, nikimaanisha UWEZO WA KUCHONGA, hususani pumba, una nafasi gani katika siasa za nchi yetu ?
3: Haitatokea kamwe SOTE tuwe na mawazo ya aina moja. Hatujaumbwa kihivo. Uwezo wa kupambanua mambo, meaning critical analysis hukolezwa pia na ELIMU ya juu. Facts zingine huwezi jua kama wewe ulikimbia shule, husomi na umebakia kushabikia upuuzi based on sheer IGNORANCE. Magna ignoramus wewe. Naandika hivi ili nikumbushie kwamba kuna wakati fulani wenye maono tofauti waliwekwa kwenye kundi la wenye KASUMBA. Aha, leo hii wa aina hiyo wanasakamwa kwa majina kama vile WASALITI, SIO RAIA na hata kibaguzi kwamba ni wale wa KASKAZINI!

Nchi yetu haitapiga hatua zile tunazotaka kwa wakati tunaotegemea kimasihara (issue 1,2,3 n.k) ... tunapoteza muda adimu kwa kuhangaika na mambo yasiyo na TIJA.

ADUI mkuu wa nchi yetu ni MFUMO unaoruhusu yote hayo katika awamu yoyote ile. Yanayotokea sasa ni kile kiitwacho, tip of the iceberg. Dark times ahead imminent.
 
Na yule wa makinikia nae ajiandae endapo tutashindwa kesi na sakata zima likafeli huki tukishindwa kulipwa chochote.

Mkulu huwa sambamba na wasaidizi wake pale wanapotekeleza alitakalo, ila likibuma, basi yeye hujinasua kwa kuwatema ili wao ndio waonekane ni chanzo/wazembe.

Msisahau yeye anapenda kuonekana ni mtu wa mafanikio siku zote na si vinginevyo na kwamba hashindwi jambo kitu ambacho si kweli na katika hali ya kawaida hakiwezekani.

Jana pale 95Kj amesema yeye ni kisiki, hatikisiki na waliojaribu kumtikisa walitikisika wenyewe!
 
Msimu wa kutumbua tumbua katika utawala wa mtukufu hautakoma kamwe. Kila baada ya muda kuna kigogo ndani ya utawala anatumbuliwa. Ndio mtindo wake, hivyo tunapaswa kuuelewa na kuuzoea tu.

Wadadisi wa mambo wameshaweza kumsoma mtukufu na kuweza kutengeneza baadhi ya tabiri ambazo mara kadhaa zimekuwa kweli kabisa. Na JF ndio imekuwa kinara wa kuweza kuzisoma Codes na kuunganisha mambo.

Ukitazama kauli kadhaa za mtukufu kuhusiana na PM wake utagundua kabisa ipo siku atatemwa tu. PM huenda ameshachokwa na bosi wake na kilichobakia ni kutengenezewa sababu nzito ya kwenda na maji. Hili la korosho ndio lilikuwa jaribio la pili, limewakumba wenzake na kumuacha salama PM, lakini kwa jicho la karibu sana, linaonekana bado bichi mnoo, hivyo PM akae kwa umakini.....

Upande wa Philips nako hali si hali, uchumi umeyumba, makusanyo ya kodi anadai yameshuka, hakuna vyanzo vipya vya mapato, mambo hayaendi, lugha zinagongana tu na bosi wake au mtoto wa bosi. Lazima mchawi atafutwe tu. Waswahili wanasema mchawi ndio alipewa alee mtoto, na mtoto ameshaangamia, kitakachofuata ni mchawi naye kuangamizwa. Philips hawezi kukwepa mtego tena. Ni suala la muda tu.....

Foreign naye huenda ameshachoka, amebanwa mnoo, hana pakusimamia, diplomasia ya Tz imepwaya mno, uwaziri kwake umegeuka kuwa shubiri, anatamani huo mzigo autue lakini anaona aibu na woga umemjaa, hana ujanja, msimamo wa bosi hauwezi kuivusha nchi kimataifa, mabalozi wamelala fofofo, hawana mbinu mbadala. Mtego uliopo mbele yake kwa sasa ni kuwa dalali wa kuuza korosho kimaitaifa. Huo ni mtihani kwake, Kitakachofuata ni kwenda na maji tu...

February yeye anajua tayari yuko kwenye blacklist, hatakiwi kuwepo kwenye baraza, anatuhumiwa kuwa ana ndimi mbili, haaminiki kabisa, anatajwa kama ndiye mjumbe mkuu wa yule adui ndani ya serikali. Kwake ni suala la muda tu, uamuzi ulishafanyika toka kitambo na mwenyewe anajua hilo. Ni

Hizo zote ni ndoto za Zanzibar-ASP.
Wanaweza kufukuzwa wote lakini sio January makamba kumbuka hata wakati anapanga Baraza la mawaziri la kwanza wakati kaingia ikulu hakumteua January ndipo kikwete akamshauri asimwache January nje ya baraza akaamua kumpa Wizara ya muungano kwa shingo Upande tu lakini January na yeye katengeneza Bajeti kubwa juu ya kutatua kero za muungano akaipiga pesa yote pasipo kukaa vikao vyevyote na kumaliza kero, baada ya magufuli kugundua huo Ufisadi akataka kumtumbua lakini kikwete akamtetea kuwa akimtupa January kule 2020 CCM itaweza kupata Taabu sana kwani Siri na mbinu za ushindi wa ccm anazo January makamba ni vyema magufuli aendelee kumuabudu kama mungu kuliko kukaa kupanga mipango ya kumtumbua.
 
lakini yule mwanaume mwenye kalio kubwa kama demu bado kakalia kiti cha ofisi ya serikali
kweli tako lina nguvu sana
Bashite ni Mlinzi na msiri wa magufuli Miladi yote, pesa za familia , migao ya percent za madili ya magufuli na kila kitu ikiwemo Sangoma na mengineyo ni Bashite kapewa jukumu la kusimamia mali zote za magufuli , hivyo ni vigumu atumbuliwe hata ilitokea ampe Mtoto wa magufuli ujauzito.
 
foreign Kwa kweli amepwaya mno..kama sio ndimi mbili za February nadhani angefaa sana kujaza Ile nafasi ya foreign..pm sioni tatizo lake..sioni mtu anayeweza kumrithi Kwa sasa.philip Sisi watu wa mpira tunasema katoa boko,kafungisha..naamini mwigulu angekuwa msaada Mkubwa Sana pale.ila kama itampendeza jiwe anaweza kumuondoa ndalichako pale elimu akamuweka jaffo.
 
1. PM hawezi kumtoa kwa sasa atamuacha amalize muda wake lakini sina hakika kama atarudi kuwa PM 2020 mara baada ya Uchaguzi.
2. Philips nae atamuacha amalize muda uhakika wa kurudi pale ninao 100% ila naibu waziri aweza kuwa Charles Kimei
3. Foregn hawezi kumng'oa pale hana mwana diplomasia makini kama yule kwasasa ndani ya CCM ukizingatia zile nafasi zake za ubunge kamaliza, ata 2020 uhakika ninao anarudi wizara yake.
Foreign anaficha udhaifu mwingi wa Bwana Mkubwa, kaona mengi katika umri wa zaidi ya miaka 70.
 
Back
Top Bottom