Wakusoma 12
JF-Expert Member
- Jul 3, 2017
- 4,035
- 11,462
kuna watu wanahujumu taifa.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
1. PM hawezi kumtoa kwa sasa atamuacha amalize muda wake lakini sina hakika kama atarudi kuwa PM 2020 mara baada ya Uchaguzi.Kama atamtema PM basi atakuwa amefanya kosa kubwa sana la kiufundi. Itamgharimu zaidi ya anavyodhani.
PM ni very dedicated katika kila anachokifanya. Pia PM anajitofautisha na bosi wake katika matumizi sahihi ya kuweka mizania ya maamuzi.
PM anajua ni wakati gani awe mwanasiasa na ni wakati gani asicheke na mtu aliye mbele ya uso wake. Hao wengine haswa february, anaweza kupigwa chini muda wowote, kwa sababu keshaonyesha kejeli za zile katuni zake.
Tatizo mwanafunzi gani atamwamini tena baada ya kujiingiza na siasa za CCM zilizo jaa uongo na unafiki? Profesa kajishusha hadhi sana. Aende tuu kwao Mvumi akalime au awafundishe kina LusindeProf atarudia chaki hana wasiwasi
Nyumba ni choolakini yule mwanaume mwenye kalio kubwa kama demu bado kakalia kiti cha ofisi ya serikali
kweli tako lina nguvu sana
Sababu zote za msingi zipo za kuwatumbua.January(a.k.a February), sijui kwa nini yupo mpaka sasa,huyu kweli ni kinyonga,na wengi tulishasema huyu ni mali ya Kikwete,he can't change.Phillip nae kweli mambo hayaendi, uchumi umedorora.Mahiga naye si uongo, diplomasia ya nchi za nje imemshinda, Mkulu anakosolewa ughaibuni kila kukicha.Mahiga kashindwa kui-brand nchi kabisa.Wapo wengine wanne ambao nao sijui kwa nini wapo:Mwakyembe,Msimu wa kutumbua tumbua katika utawala wa mtukufu hautakoma kamwe. Kila baada ya muda kuna kigogo ndani ya utawala anatumbuliwa. Ndio mtindo wake, hivyo tunapaswa kuuelewa na kuuzoea tu.
Wadadisi wa mambo wameshaweza kumsoma mtukufu na kuweza kutengeneza baadhi ya tabiri ambazo mara kadhaa zimekuwa kweli kabisa. Na JF ndio imekuwa kinara wa kuweza kuzisoma Codes na kuunganisha mambo.
Ukitazama kauli kadhaa za mtukufu kuhusiana na PM wake utagundua kabisa ipo siku atatemwa tu. PM huenda ameshachokwa na bosi wake na kilichobakia ni kutengenezewa sababu nzito ya kwenda na maji. Hili la korosho ndio lilikuwa jaribio la pili, limewakumba wenzake na kumuacha salama PM, lakini kwa jicho la karibu sana, linaonekana bado bichi mnoo, hivyo PM akae kwa umakini.....
Upande wa Philips nako hali si hali, uchumi umeyumba, makusanyo ya kodi anadai yameshuka, hakuna vyanzo vipya vya mapato, mambo hayaendi, lugha zinagongana tu na bosi wake au mtoto wa bosi. Lazima mchawi atafutwe tu. Waswahili wanasema mchawi ndio alipewa alee mtoto, na mtoto ameshaangamia, kitakachofuata ni mchawi naye kuangamizwa. Philips hawezi kukwepa mtego tena. Ni suala la muda tu.....
Foreign naye huenda ameshachoka, amebanwa mnoo, hana pakusimamia, diplomasia ya Tz imepwaya mno, uwaziri kwake umegeuka kuwa shubiri, anatamani huo mzigo autue lakini anaona aibu na woga umemjaa, hana ujanja, msimamo wa bosi hauwezi kuivusha nchi kimataifa, mabalozi wamelala fofofo, hawana mbinu mbadala. Mtego uliopo mbele yake kwa sasa ni kuwa dalali wa kuuza korosho kimaitaifa. Huo ni mtihani kwake, Kitakachofuata ni kwenda na maji tu...
February yeye anajua tayari yuko kwenye blacklist, hatakiwi kuwepo kwenye baraza, anatuhumiwa kuwa ana ndimi mbili, haaminiki kabisa, anatajwa kama ndiye mjumbe mkuu wa yule adui ndani ya serikali. Kwake ni suala la muda tu, uamuzi ulishafanyika toka kitambo na mwenyewe anajua hilo. Ni
Hizo zote ni ndoto za Zanzibar-ASP.
Msimu wa kutumbua tumbua katika utawala wa mtukufu hautakoma kamwe. Kila baada ya muda kuna kigogo ndani ya utawala anatumbuliwa. Ndio mtindo wake, hivyo tunapaswa kuuelewa na kuuzoea tu.
Wadadisi wa mambo wameshaweza kumsoma mtukufu na kuweza kutengeneza baadhi ya tabiri ambazo mara kadhaa zimekuwa kweli kabisa. Na JF ndio imekuwa kinara wa kuweza kuzisoma Codes na kuunganisha mambo.
Ukitazama kauli kadhaa za mtukufu kuhusiana na PM wake utagundua kabisa ipo siku atatemwa tu. PM huenda ameshachokwa na bosi wake na kilichobakia ni kutengenezewa sababu nzito ya kwenda na maji. Hili la korosho ndio lilikuwa jaribio la pili, limewakumba wenzake na kumuacha salama PM, lakini kwa jicho la karibu sana, linaonekana bado bichi mnoo, hivyo PM akae kwa umakini.....
Upande wa Philips nako hali si hali, uchumi umeyumba, makusanyo ya kodi anadai yameshuka, hakuna vyanzo vipya vya mapato, mambo hayaendi, lugha zinagongana tu na bosi wake au mtoto wa bosi. Lazima mchawi atafutwe tu. Waswahili wanasema mchawi ndio alipewa alee mtoto, na mtoto ameshaangamia, kitakachofuata ni mchawi naye kuangamizwa. Philips hawezi kukwepa mtego tena. Ni suala la muda tu.....
Foreign naye huenda ameshachoka, amebanwa mnoo, hana pakusimamia, diplomasia ya Tz imepwaya mno, uwaziri kwake umegeuka kuwa shubiri, anatamani huo mzigo autue lakini anaona aibu na woga umemjaa, hana ujanja, msimamo wa bosi hauwezi kuivusha nchi kimataifa, mabalozi wamelala fofofo, hawana mbinu mbadala. Mtego uliopo mbele yake kwa sasa ni kuwa dalali wa kuuza korosho kimaitaifa. Huo ni mtihani kwake, Kitakachofuata ni kwenda na maji tu...
February yeye anajua tayari yuko kwenye blacklist, hatakiwi kuwepo kwenye baraza, anatuhumiwa kuwa ana ndimi mbili, haaminiki kabisa, anatajwa kama ndiye mjumbe mkuu wa yule adui ndani ya serikali. Kwake ni suala la muda tu, uamuzi ulishafanyika toka kitambo na mwenyewe anajua hilo. Ni
Hizo zote ni ndoto za Zanzibar-ASP.
Na yule wa makinikia nae ajiandae endapo tutashindwa kesi na sakata zima likafeli huki tukishindwa kulipwa chochote.
Mkulu huwa sambamba na wasaidizi wake pale wanapotekeleza alitakalo, ila likibuma, basi yeye hujinasua kwa kuwatema ili wao ndio waonekane ni chanzo/wazembe.
Msisahau yeye anapenda kuonekana ni mtu wa mafanikio siku zote na si vinginevyo na kwamba hashindwi jambo kitu ambacho si kweli na katika hali ya kawaida hakiwezekani.
Wanaweza kufukuzwa wote lakini sio January makamba kumbuka hata wakati anapanga Baraza la mawaziri la kwanza wakati kaingia ikulu hakumteua January ndipo kikwete akamshauri asimwache January nje ya baraza akaamua kumpa Wizara ya muungano kwa shingo Upande tu lakini January na yeye katengeneza Bajeti kubwa juu ya kutatua kero za muungano akaipiga pesa yote pasipo kukaa vikao vyevyote na kumaliza kero, baada ya magufuli kugundua huo Ufisadi akataka kumtumbua lakini kikwete akamtetea kuwa akimtupa January kule 2020 CCM itaweza kupata Taabu sana kwani Siri na mbinu za ushindi wa ccm anazo January makamba ni vyema magufuli aendelee kumuabudu kama mungu kuliko kukaa kupanga mipango ya kumtumbua.Msimu wa kutumbua tumbua katika utawala wa mtukufu hautakoma kamwe. Kila baada ya muda kuna kigogo ndani ya utawala anatumbuliwa. Ndio mtindo wake, hivyo tunapaswa kuuelewa na kuuzoea tu.
Wadadisi wa mambo wameshaweza kumsoma mtukufu na kuweza kutengeneza baadhi ya tabiri ambazo mara kadhaa zimekuwa kweli kabisa. Na JF ndio imekuwa kinara wa kuweza kuzisoma Codes na kuunganisha mambo.
Ukitazama kauli kadhaa za mtukufu kuhusiana na PM wake utagundua kabisa ipo siku atatemwa tu. PM huenda ameshachokwa na bosi wake na kilichobakia ni kutengenezewa sababu nzito ya kwenda na maji. Hili la korosho ndio lilikuwa jaribio la pili, limewakumba wenzake na kumuacha salama PM, lakini kwa jicho la karibu sana, linaonekana bado bichi mnoo, hivyo PM akae kwa umakini.....
Upande wa Philips nako hali si hali, uchumi umeyumba, makusanyo ya kodi anadai yameshuka, hakuna vyanzo vipya vya mapato, mambo hayaendi, lugha zinagongana tu na bosi wake au mtoto wa bosi. Lazima mchawi atafutwe tu. Waswahili wanasema mchawi ndio alipewa alee mtoto, na mtoto ameshaangamia, kitakachofuata ni mchawi naye kuangamizwa. Philips hawezi kukwepa mtego tena. Ni suala la muda tu.....
Foreign naye huenda ameshachoka, amebanwa mnoo, hana pakusimamia, diplomasia ya Tz imepwaya mno, uwaziri kwake umegeuka kuwa shubiri, anatamani huo mzigo autue lakini anaona aibu na woga umemjaa, hana ujanja, msimamo wa bosi hauwezi kuivusha nchi kimataifa, mabalozi wamelala fofofo, hawana mbinu mbadala. Mtego uliopo mbele yake kwa sasa ni kuwa dalali wa kuuza korosho kimaitaifa. Huo ni mtihani kwake, Kitakachofuata ni kwenda na maji tu...
February yeye anajua tayari yuko kwenye blacklist, hatakiwi kuwepo kwenye baraza, anatuhumiwa kuwa ana ndimi mbili, haaminiki kabisa, anatajwa kama ndiye mjumbe mkuu wa yule adui ndani ya serikali. Kwake ni suala la muda tu, uamuzi ulishafanyika toka kitambo na mwenyewe anajua hilo. Ni
Hizo zote ni ndoto za Zanzibar-ASP.
Bashite ni Mlinzi na msiri wa magufuli Miladi yote, pesa za familia , migao ya percent za madili ya magufuli na kila kitu ikiwemo Sangoma na mengineyo ni Bashite kapewa jukumu la kusimamia mali zote za magufuli , hivyo ni vigumu atumbuliwe hata ilitokea ampe Mtoto wa magufuli ujauzito.lakini yule mwanaume mwenye kalio kubwa kama demu bado kakalia kiti cha ofisi ya serikali
kweli tako lina nguvu sana
Duh Rasta have some wise words.lakini yule mwanaume mwenye kalio kubwa kama demu bado kakalia kiti cha ofisi ya serikali
kweli tako lina nguvu sana
Hahaha...Mimi nadhani PM ungemuita katelephone wishes/maexpectation
Foreign anaficha udhaifu mwingi wa Bwana Mkubwa, kaona mengi katika umri wa zaidi ya miaka 70.1. PM hawezi kumtoa kwa sasa atamuacha amalize muda wake lakini sina hakika kama atarudi kuwa PM 2020 mara baada ya Uchaguzi.
2. Philips nae atamuacha amalize muda uhakika wa kurudi pale ninao 100% ila naibu waziri aweza kuwa Charles Kimei
3. Foregn hawezi kumng'oa pale hana mwana diplomasia makini kama yule kwasasa ndani ya CCM ukizingatia zile nafasi zake za ubunge kamaliza, ata 2020 uhakika ninao anarudi wizara yake.