Tetesi: PM, Philips, Foreign na February wamekalia kuti kavu?

Tetesi: PM, Philips, Foreign na February wamekalia kuti kavu?

natamani itokee siku mawaziri wenye akili wote wajiuzuru then jiwe awape wizara akina kibajaj maana kwa aibu iliyopo njaa tuu ndio zinafanya mawaziri waendelee kuhold on na nafasi zao
 
kwangu wakitumbuliwa poa tu. majaliwa kawasahau mpaka walimu wenzie. hakuna cha madaraja wala kupandishwa mishahara...
Sio yeye plz! Hayo yote yanasababibwa na baba jesca mwenyewe, hawana la kufanya hawana namna, baba jesca hashauriki na mbaya zaidi anasema hatikiswi...... Na bado tutaona nyota zote
 
Sababu ulizotoa zote hazina mashiko. Tatizo la uchumi kuporomoka sio kosa la philipo ni magufuli mwenyewe. Swala la korosho nalo sio la PM ni magufuli mwenyewe kuchanganya biashara na siasa za kutaka utukufu. Mambo ya nje nayo hahusiki hata kidogo, mahusiano yetu na nch za nje kavurugwa magufuli mwenyewe na mwanaye kwa kauli zao zisizokuwa na vichwa wala miguu.
Anavuruga yeye lakini zigo anaangushia Kwa watumishi wake shida ndo iko hapo
 
Sababu zote za msingi zipo za kuwatumbua.January(a.k.a February), sijui kwa nini yupo mpaka sasa,huyu kweli ni kinyonga,na wengi tulishasema huyu ni mali ya Kikwete,he can't change.Phillip nae kweli mambo hayaendi, uchumi umedorora.Mahiga naye si uongo, diplomasia ya nchi za nje imemshinda, Mkulu anakosolewa ughaibuni kila kukicha.Mahiga kashindwa kui-brand nchi kabisa.Wapo wengine wanne ambao nao sijui kwa nini wapo:Mwakyembe,
Kagairuki,Lugola na Ndalichako.
Mwakyembe kaegeshwa tu michezo, lakini kiukweli si mahali pake.Ndalichako naye sioni analofanya Elimu,nilitegemea elimu yetu iwe overhauled ili kuiboresha, lakini sioni la msingi linalofanyika,matatizo yanayofanya elimu yetu iwe duni yako pale pale.Kagaruki naye ni kama old wine in a new bottle,sioni jipya.Lugola naye alianza kufurukuta furukuta wee, lakini matatizo ya Wizara ya Mambo ya Ndani yako pale.It is business as usual.Sijui Rais wetu msaada ataupata wapi,there is simply too much sabotage from within.Naweza kusema adui zake wapo nyumbani mwake.
Huyo kairuki hata ukimminya poumbou kamwe hatamtumbua
 
Wa fedha sitashangaa sana ili abaki inabidi apige kazi kweli maana elimu ya kodi kwa wananchi bado hajatoa vya kutosha, kunakipindi walijitahidi sana ila sasa kimya.

Ni kiri wazi mimi sio mtaalumu wa maswala ya kodi ila ninakauelewa kadogo kuhusu umuhimu wa kodi., Sasa inapofikia mahali makusanyo ya kodi yanapungua wakati ukinunua bidhaa baadhi ya maduka makubwa na baadhi ya min supermakert ukidai risiti za EFD hawana, kidogo hii linashangaza kama kweli taifa kimedhamiria kukusanya kodi na kutekekeza miradi mikubwa kama ya ujenzi wa SGR.

Mheshimiwa raisi anania nzuri sana na nchi hii ila atakwamishwa na baadhi ya watendaji
wake aidha kwa kujua au kuto kujua.
Hana nia nzuri ni boya tu
 
Sababu ulizotoa zote hazina mashiko. Tatizo la uchumi kuporomoka sio kosa la philipo ni magufuli mwenyewe. Swala la korosho nalo sio la PM ni magufuli mwenyewe kuchanganya biashara na siasa za kutaka utukufu. Mambo ya nje nayo hahusiki hata kidogo, mahusiano yetu na nch za nje kavurugwa magufuli mwenyewe na mwanaye kwa kauli zao zisizokuwa na vichwa wala miguu.
Normally Mpenda kusifiwa yeyote mambo yakienda mrama hutafuta wa kumtupia zigo la lawama....
 
Wa fedha sitashangaa sana ili abaki inabidi apige kazi kweli maana elimu ya kodi kwa wananchi bado hajatoa vya kutosha, kunakipindi walijitahidi sana ila sasa kimya.

Ni kiri wazi mimi sio mtaalumu wa maswala ya kodi ila ninakauelewa kadogo kuhusu umuhimu wa kodi., Sasa inapofikia mahali makusanyo ya kodi yanapungua wakati ukinunua bidhaa baadhi ya maduka makubwa na baadhi ya min supermakert ukidai risiti za EFD hawana, kidogo hii linashangaza kama kweli taifa kimedhamiria kukusanya kodi na kutekekeza miradi mikubwa kama ya ujenzi wa SGR.

Mheshimiwa raisi anania nzuri sana na nchi hii ila atakwamishwa na baadhi ya watendaji
wake aidha kwa kujua au kuto kujua.
Ungejua sasa hivi kodi inalipwa kuliko awamu zote usingesingizia elimu ya kodi. Tatizo sasa hivi uchumi umekufa kulingana na sera za awamu hii, makampuni mengi ya na fungwa, mzunguko ni mdogo wananchi wanalia Hali ngumu, mwanzo serikali ilijua hii Hali ni utani na wanao lalamika ni mafisadi kumbe si kweli, ukichangia na ukosefu wa ajira ndo kabisa.

Ningekuwa Raisi ningebadilisha waziri wa fedha heeeh Hali ni mbaya sana ya uchumi kwa sasa
 
Mi naona January angefaa foreign minister yuko na exposure sana, yani awamu hii hyo wizara imelala sana aisee had tunaonekana zero kimataifa. Huyo Philipp sijajua alilofanya zaidi ya Kuua tu uchumi wa hii nchi yetu.

Mama ndalichako ndo utafikiri sio prof. Mheshimiwa angejua ma prof utendaji wao huwa sifuri wamezoea ku cremisha ma theory utendaji zero angewaweka tu bench kwanza, Jaffo yuko vzuri
foreign Kwa kweli amepwaya mno..kama sio ndimi mbili za February nadhani angefaa sana kujaza Ile nafasi ya foreign..pm sioni tatizo lake..sioni mtu anayeweza kumrithi Kwa sasa.philip Sisi watu wa mpira tunasema katoa boko,kafungisha..naamini mwigulu angekuwa msaada Mkubwa Sana pale.ila kama itampendeza jiwe anaweza kumuondoa ndalichako pale elimu akamuweka jaffo.
 
Ungejua sasa hivi kodi inalipwa kuliko awamu zote usingesingizia elimu ya kodi. Tatizo sasa hivi uchumi umekufa kulingana na sera za awamu hii, makampuni mengi ya na fungwa, mzunguko ni mdogo wananchi wanalia Hali ngumu, mwanzo serikali ilijua hii Hali ni utani na wanao lalamika ni mafisadi kumbe si kweli, ukichangia na ukosefu wa ajira ndo kabisa.

Ningekuwa Raisi ningebadilisha waziri wa fedha heeeh Hali ni mbaya sana ya uchumi kwa sasa
Amewatenga wafanyabiashara akasema ni mafidadi sasa anataka hela yao ya nini anatakiwa afanye yeye biashara, jiwe akili hana akikosea amatafuta wakumtwisha kosa lake .Hata apewe nani hawezi kufaulu
 
Mi naona January angefaa foreign minister yuko na exposure sana, yani awamu hii hyo wizara imelala sana aisee had tunaonekana zero kimataifa. Huyo Philipp sijajua alilofanya zaidi ya Kuua tu uchumi wa hii nchi yetu.

Mama ndalichako ndo utafikiri sio prof. Mheshimiwa angejua ma prof utendaji wao huwa sifuri wamezoea ku cremisha ma theory utendaji zero angewaweka tu bench kwanza, Jaffo yuko vzuri
Ni kweli, kuteua kwa PhD sio ishu. Sitetei watu wasiipate lakini wengi utendaji ni mdogo au sufuri.
Kuna watu wanapiga kazi bila PhD, mfano Lukuvi, Jafo, PM Majaliwa, naona wanawazidi PhD wengi katika baraza.
 
Back
Top Bottom