Pm za wadada ni kipimo cho utulivu wetu!

Humu ni kijiwe cha mastory,milupo ipo huko badoo, hi5 na fb

Post sent using JamiiForums mobile app
 
Msipotongozwa mnaanza kusema mnagundu Mara sijui mnalogwa na blah blah kibao humu.....Acheni tusaidiane na tuvumiliane tu....

KIMEO CHANGU
 
Lakini msipotongozwa mnajiona kama mna mkosi fulani vile. Halafu hamna cha ajabu maana mwanaume kumtongoza mwanamke ni jambo la kawaida tu.
 
Kutongozwa wanatangaza. Wakigongwa wanapiga kimya.

Post sent using JamiiForums mobile app
 
Duh, mtoto wa kike anashangaa kutongozwa!

Sasa tukiacha kutongoza humu kwenye sosho netiweki, tutaenda kutongoza wapi?
Any way, kuna kaneno nataka nikuambie. Acha nine pm!
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]
[emoji125] [emoji125] [emoji125] [emoji125] [emoji125]

- KANA -
 
Hahaha me ukipm nakujibu tu kwani unaondoka Nayoo...
jf ingevutia zaidi wangekuepo watu kama nyinyi halafu watu kama mleta mada wasingekuepo

Post sent using JamiiForums mobile app
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…